[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama umekunya kweny miguu ya mama wewe ni muhenga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama umetumia Majani ya mpapai kama sabuni wewe ni muhengaKama umeoga kwa kutumia majani mabichi ya mulenda kama sabuni, wewe ni muhenga
Wanatupotezea uhenga aiseeSana maji yanakuwa matamu. Siku hz watu wana dispenser
Kama umeambiwa naomba nanii ukalia ukaenda kumwambia mama... wewe ni kahenga haswa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unang'ata kucha ukitongozwa wewe ni muhenga
Kama bado unajipitisha pitisha nyumbani kwa mpenz wako ili akuone wewe ni muhenga
Kama bado unamvizia mpenz wako njiani wewe ni muhenga
-Kama unapigiwa simu unainyanyua juu kisha unauliza nani huyu tena anapiga! Wewe ni mhenga
-Kama ulitumia mafuta ya kimbo ya kopo la chuma wewe ni mhenga ndugu yangu.
-Lingine kama ulioga kwenye bafu lenye mlango wa gunia huku unatoka kwa kukanyagia visigino usichafuke...wewe pia ni mhenga tena mhenga kweli.
Kama ulienda kucheza ngoma usiku nyumbani kwa msichana baada ya tarehe ya kuolewa kutangazwa, wewe ni Muhenga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unang'ata kucha ukitongozwa wewe ni muhenga
Kama bado unajipitisha pitisha nyumbani kwa mpenz wako ili akuone wewe ni muhenga
Kama bado unamvizia mpenz wako njiani wewe ni muhenga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama umeambiwa naomba nanii ukalia ukaenda kumwambia mama... wewe ni kahenga haswa.
Siku hz kuna poti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi kuna vifaa maalumu Muhenga mwenzangu
Wewe ni mhenga mkuu...ukiongezea wale waliokuwa wanadanganya watoto wa jirani wakacheze kwenye mchanga kisha wanawadanganya vitumbua vimeingia mchanga wawasaidie kufuta.Na wale waliojifunza Kufanya Ngono kwa mara yao ya Kwanza kwa Hisani za Wafanyakazi wa Ndani ( House Maids ) miaka hiyo ya nyuma nao wanastahili Kuitwa Wahenga Mkuu au?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama bado unapiga mawe juu ya bati ya nyumbani kwa binti kwa lengo la kumuita wewe ni muhenga nanusuKama ulienda kucheza ngoma usiku nyumbani kwa msichana baada ya tarehe ya kuolewa kutangazwa, wewe ni Muhenga
Kama ulikuwa unafunga kanga rubega kuficha chuchu saa 6, wewe ni muhengaKama ulikua unatongozwa na kung'ata kucha au kuchezea jani la mti wewe ni muhenga mwenzangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama umecheza mchezo wa rede bila chupi kitumbua kikaingia mchanga.Kama ulikua unatongozwa na kung'ata kucha au kuchezea jani la mti wewe ni muhenga mwenzangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mm huyo kabisaKama ulikuwa unafunga kanga rubega kuficha chuchu saa 6, wewe ni muhenga
Kama kwenye sherehe bado unaweka soda za rangi tofauti fanta na sprite kisha unapiga picha ili urembo utokee huku umekaa kwenye makochi yako yenye vitambaa vya kutarizi wewe ni mhenga.Kama ulirudisha chupa za soda dukani uku unalamba lamba wewe ni mhenga
Huyo mhenga wa Grade A kabisaKama umepaka maua mekundu mdomoni kama lipstick...wewe ni mhenga