Wewe ni mhenga?

Simaanishi nimeitumia shuleni, yaani nilikuwa naitumia nyumbani nikiwa shule ya msingi
 
Jero yenye picha ya karafuu ndio nimeitumia sana japo nilikuwa mdogo ila mia mbili ndio kidogo sana
 
Hahaaa hatari sana. .ule mchezo mpaka leo sijui kucheza. ... Kuna michezo ilinishinda sana mpaka leo licha ya kuzungukwa na watu walio kuwa wanaicheza. ... mmoja wapo ukiwa ni kucheza karata
Mdako sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] macho juu
 

🤣🤣🤣[emoji1426][emoji1426][emoji1426]🤣🤣🤣
 
Hiyo jero yenye picha ya wavuvi mimi sikuwahi kuitumia mkuu... unaikumbuka Tsh 15 ya coin ..... ?
Jero yenye picha ya wavuvi ndio nimeitumia sana japo nilikuwa mdogo ila mia mbili ndio kidogo sana
 
Kwenda mashineni hii ya juzi? Si tulikuwa tunavizia wakienda mtoni kuchota maji. Ikipita wiki hujamwona anastuliwa na kelele za bati lllilorushiwa jiwe

Wakienda kwenye kuni ndiyo mnamalizana huko, guest na lodge zilikuwa ni kwa wageni tuu!! Wasafiri ambao kweli hawana pa kulala
 
Hiyo jero yenye picha ya wavuvi mimi sikuwahi kuitumia mkuu... unaikumbuka Tsh 15 ya coin ..... ?
Nilikosea mkuu, nilimaanisha jero yenye Karafuu na wala sio pamba kama ulivyosema wewe.

15 ya coins sijawahi kuiona, ila nimeona 5, 10 na 20 tu
 
Kuna zile cents, 1,2 5, 10, 20, 50 dah Tumetoka mbali sana, na mimi ni muhenga miongoni mwa wahenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…