Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
-Kama unapigiwa simu unainyanyua juu kisha unauliza nani huyu tena anapiga! Wewe ni mhenga
-Kama ulitumia mafuta ya kimbo ya kopo la chuma wewe ni mhenga ndugu yangu.
-Lingine kama ulioga kwenye bafu lenye mlango wa gunia huku unatoka kwa kukanyagia visigino usichafuke...wewe pia ni mhenga tena mhenga kweli.
-Kama ulitumia mafuta ya kimbo ya kopo la chuma wewe ni mhenga ndugu yangu.
-Lingine kama ulioga kwenye bafu lenye mlango wa gunia huku unatoka kwa kukanyagia visigino usichafuke...wewe pia ni mhenga tena mhenga kweli.