Wewe ni Mlevi wa Kitu/Jambo gani?

Wewe ni Mlevi wa Kitu/Jambo gani?

Kusoma vitabu, kusoma review na kuwa na muendelezo wa kuandika reports za research ni lazima kwenye laptop hata usiku wa manane nikikosa usingizi naanza kazi.
Hakika hii ina ambatana na kazi yako. ...huna budi uwe "up to date"...
 
Nilianza taratibu hivyo hivyo....najitahidi kuacha kwa sasa.
Niko 1884
Mimi kuna kipindi niliacha kabisa kucheza mwaka mzima nimeanza tena last year december yani nimekuwa addicted!

Kuna simu nililetewa ilikuwa haisupport fb nikasema siwezi kuanza upya level ya 1 aiseeee hapana ndo nikaanza upya last year ila ningekuwa mbali sana
 
Mimi kuna kipindi niliacha kabisa kucheza mwaka mzima nimeanza tena last year december yani nimekuwa addicted!

Kuna simu nililetewa ilikuwa haisupport fb nikasema siwezi kuanza upya level ya 1 aiseeee hapana ndo nikaanza upya last year ila ningekuwa mbali sana
Na jinsi ya kupata 'life' kinyemela?
 
93BD0145-9E61-4660-B055-E6AAE8992FB7.jpeg
118179CC-A143-4C89-B207-4E6CA1A199CA.jpeg
118179CC-A143-4C89-B207-4E6CA1A199CA.jpeg
71F5784B-3546-41FD-B92E-A454E135C3EE.jpeg
6B08EA7F-65FF-4841-8611-580ED94C2E93.jpeg
6B08EA7F-65FF-4841-8611-580ED94C2E93.jpeg
835BF055-3A04-4534-8E06-84F0551B4830.jpeg
1023130B-7BBD-4D4B-9C98-77F89FD0637C.jpeg
Mkuu, mbona unaitumia avatar yangu vibaya!!?
Wewe ndiyo umeitoa kwangu, kwani unajua hapo ni wapi?
 
Back
Top Bottom