Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Kwa niaba ya wanawake weusi wote, nimelia sana shemegi....
Hahaha unene unao tayari au nao wa kuutafuta?Ngoja niusake mkorogo.
🚶🚶🚶🚶
Tunaruhusiwa kuja na maboga yetu?Umri wowote,dini yoyote,kabila lolote,
Kama ww ni mweusi au kimbaumbau no thank you!
Sasa mkuu mdukuzi Mimi dada ana vigezo vyote Ila kwakuwa nakujua Sina shaka na hela ya matunzo Ila je itakuwa unanikumbuka na Mimi shemeji yako walau vilaki laki vya hapa na pale ,nimlete leo hapo kwako tumalize biashara mkuu
With a big NOUmri wowote,dini yoyote,kabila lolote,
Kama ww ni mweusi au kimbaumbau no thank you!
🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha unene unao tayari au nao wa kuutafuta?
Hii nalo inatakiwa watu wa haki za binadamu walisemee😭😭😭😭Kwa niaba ya wanawake weusi wote, nimelia sana shemegi....