Wewe ni mnene mweupe? Natoa mahari milioni 5, ndoa mwaka huu

Wewe ni mnene mweupe? Natoa mahari milioni 5, ndoa mwaka huu

🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa mbona vya kutafuta ni vingi sana🙆🙆🙆

Au basi.
Hao wenye mambo mengi hautawezana nao. Kuna wanetu hawana mambo mengi ruka nao

 
Hao wenye mambo mengi hautawezana nao. Kuna wanetu hawana mambo mengi ruka nao

Aaah hata huyu ana masharti sana. Mimi sijiwezi kiuchumi.
 
Unene naupatia wapi? Mi kimbaumbau mweupe and I'm taken 😉
That guy is the luckiest in the whole world. Hope he will not play with the once and a billion chance/opportunity.

Ila wanawake wanene ni wazuri sana na ikitokea wamekonda wanakuwa wabayaaaa. Hata mange kipindi flani alikuwa mnene alikuwa mzuri balaa sijui mashetani gani. Njoo sasa kwa Wema yanii.. faaaak
 
That guy is the luckiest in the whole world. Hope he will not play with the once and a billion chance/opportunity.

Ila wanawake wanene ni wazuri sana na ikitokea wamekonda wanakuwa wabayaaaa. Hata mange kipindi flani alikuwa mnene alikuwa mzuri balaa sijui mashetani gani. Njoo sasa kwa Wema yanii.. faaaak
Wema Sepetu enzi zake alikuwa anatamanisha kweli.sasa hivi hata bure sipigi
 
Back
Top Bottom