Yani nilipogundua Nifah ni mnene mweupe yani nikadata japo simfaham na sijawahi kumuona ama kukutana nayeUmri wowote,dini yoyote,kabila lolote,
Kama ww ni mweusi au kimbaumbau no thank you!
Cc beautiful Nifah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nilipogundua Nifah ni mnene mweupe yani nikadata japo simfaham na sijawahi kumuona ama kukutana nayeUmri wowote,dini yoyote,kabila lolote,
Kama ww ni mweusi au kimbaumbau no thank you!
Sa mbona unawabishia wachumba?We umenenepa lini nakujua kimbaumbau
Nauza vipako mixed na jikUnene tayari bado weupe 😅😅😅😅
Hao wenye mambo mengi hautawezana nao. Kuna wanetu hawana mambo mengi ruka nao🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa mbona vya kutafuta ni vingi sana🙆🙆🙆
Au basi.
Aaah hata huyu ana masharti sana. Mimi sijiwezi kiuchumi.Hao wenye mambo mengi hautawezana nao. Kuna wanetu hawana mambo mengi ruka nao
Mke anatafutwa, awe anajiheshimu
Natafuta dada au mama yeyote awe na watoto au la. Awe anajiheshimu na kujua majukumu ya kumtunza mme. Umri wowote mpaka miaka 35. Awe anajiweza kiuchumi sitaki wakuja kulialia bila kuchangia maendeleo ya maisha Yetu. Asiwe mshirikina, awe nahofu ya Mungu. Mimi ni kati ya .wafanya biashara...www.jamiiforums.com
Haiwezekani wanawake weusi tunyanyasike kiasi hiki......ndani ya nchi yetu ndani ya jfHii nalo inatakiwa watu wa haki za binadamu walisemee😭😭😭😭
Kweli kabisa, huu ni unyanyapaa usiokubalika kabisa.Haiwezekani wanawake weusi tunyanyasike kiasi hiki......ndani ya nchi yetu ndani ya jf
si ni mwaka wa kuforceUsijiumize sana sbb ya hao viumbe 😂😂
ni huzuniHaiwezekani wanawake weusi tunyanyasike kiasi hiki......ndani ya nchi yetu ndani ya jf
Wanawake weusi woteee tunalaani hii kauli.Kweli kabisa, huu ni unyanyapaa usiokubalika kabisa.
😅😅😅😅😅Nauza vipako mixed na jik
Siku 3 tu unakuwa ngariiiii, ila sugu utapaka rangi
That guy is the luckiest in the whole world. Hope he will not play with the once and a billion chance/opportunity.Unene naupatia wapi? Mi kimbaumbau mweupe and I'm taken 😉
Kwani leo umeuza moo mia ngapi wa mipembe mirefu mnadani,na je ni dar au rockcity🤪Umri wowote,dini yoyote,kabila lolote,
Kama ww ni mweusi au kimbaumbau no thank you!
Mwambie ndugu dalali biashara ya binaadamu ni haramu🤭Madalali washaona fursa hiyo
Wema Sepetu enzi zake alikuwa anatamanisha kweli.sasa hivi hata bure sipigiThat guy is the luckiest in the whole world. Hope he will not play with the once and a billion chance/opportunity.
Ila wanawake wanene ni wazuri sana na ikitokea wamekonda wanakuwa wabayaaaa. Hata mange kipindi flani alikuwa mnene alikuwa mzuri balaa sijui mashetani gani. Njoo sasa kwa Wema yanii.. faaaak