Wewe ni mnene mweupe? Natoa mahari milioni 5, ndoa mwaka huu

Wewe ni mnene mweupe? Natoa mahari milioni 5, ndoa mwaka huu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe inaonekana una gubu. Hiyo miili ya dada wa taifa ni tatizo
Jamaniiiii jamaniiiii,,acha kuniharbia soko basi loooh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ najuta kureply kwenye comment yako
 
Jamaniiiii jamaniiiii,,acha kuniharbia soko basi loooh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ najuta kureply kwenye comment yako
Basi yameisha mdogo angu kumbe uko market kujisell 🀣🀣🀣
Nimefunga mdomo 🀐
Ila si niliona mdogo wangu kajiweka kwako?? Eti Poor Brain
 
Back
Top Bottom