Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
kuhusu pesa nitampa connection m mwenyewe ππMdogo angu huyo, ila pesa ndo hana sasa π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuhusu pesa nitampa connection m mwenyewe ππMdogo angu huyo, ila pesa ndo hana sasa π
π€£π€£π€£ Wifi ongeza volume ukoo haujasikiakuhusu pesa nitampa connection m mwenyewe ππ
akiishiwaaaaa nitamwachaaaaaπππ€£π€£π€£ Wifi ongeza volume ukoo haujasikia
Si umesema unazo ww!! πππakiishiwaaaaa nitamwachaaaaaππ
io furaha imenishtua sanaππnikajua apa nitaona cha moto.Si umesema unazo ww!! πππ
Mi nishaanza kufurahi tumepata wifi ana pesa
Hamna mi wifi yako mzungu bana.!! Karibu nyumbani wifi aririririiiiiiiiiiiiiiiiii πio furaha imenishtua sanaππnikajua apa nitaona cha moto.
ππWiiiifiiiii weeeee mzungu wa mbagala,,au kariakoo je mnataka niwafungulie duka la simu au viyoyozi?Hamna mi wifi yako mzungu bana.!! Karibu nyumbani wifi aririririiiiiiiiiiiiiiiiii π
πππacha bwan rangi adimu hii.Mablackmamba tukae kushoto π€
Wa bonyokwa, nifungulie banda la mkaa lantosha mie wifi au nipe mtaji wa kuuza miguu na vichwa vya kuku π€£π€£π€£ππWiiiifiiiii weeeee mzungu wa mbagala,,au kariakoo je mnataka niwafungulie duka la simu au viyoyozi?
sitaki aibu za kujitakia mimi,,nakufungulia duka la vifaa vya ujenzi πππfanya ivi...tafuta mji ambao bado watu wanajenga sana,, itakua location nzuri sana ππWa bonyokwa, nifungulie banda la mkaa lantosha mie wifi au nipe mtaji wa kuuza miguu na vichwa vya kuku π€£π€£π€£
Wifi mi hiyo sitaki nishazoea uswahilini kuuza vijora vyangu na miguu ya kuku πππsitaki aibu za kujitakia mimi,,nakufungulia duka la vifaa vya ujenzi πππfanya ivi...tafuta mji ambao bado watu wanajenga sana,, itakua location nzuri sana ππ
ππSasa kama wifi una akili fupi ivi,,je kaka ako jeee apana nmesanuka byeeeeππΎππΎββοΈWifi mi hiyo sitaki nishazoea uswahilini kuuza vijora vyangu na miguu ya kuku πππ
Ww wifi una gubu kwender, ww mwenyewe kila mwanaume unasema mpz wako mnajuana humu π€£π€£π€£ππSasa kama wifi una akili fupi ivi,,je kaka ako jeee apana nmesanuka byeeeeππΎππΎββοΈ
πππππππππππ Nmecheka jamani we dada khaah ππΎππΎWw wifi una gubu kwender, ww mwenyewe kila mwanaume unasema mpz wako mnajuana humu π€£π€£π€£
Nimeona wifi una ngenga ππππππππππππππ Nmecheka jamani we dada khaah ππΎππΎ
badae akamtoe kafala mshupe wa watu.Masharti ya Mganga
sasa msiambiwe ukweli jamani ππwifi mchonganishi wewe,,, kwaio humu kila mtu mpenz wangu!?Nimeona wifi una ngenga πππ
Unatukanaje familia ya mmeo??
π€£π€£π€£ Ndio wifi kuna sehemu niliona kuna kitu ulijibu na uzi ukafutwa.sasa msiambiwe ukweli jamani ππwifi mchonganishi wewe,,, kwaio humu kila mtu mpenz wangu!?
uuuuiiiiii ujue ata sikumbuki mimiππππhukujarubu ku screenshot,,uzi gani nikumbushe basiπ€£π€£π€£ Ndio wifi kuna sehemu niliona kuna kitu ulijibu na uzi ukafutwa.
Wifi kaa kwa kutulia ndoa itakushinda nakwambia ohhh.!!