Wewe ni msomi halafu unavuta sigara, usomi wako una faida gani sasa?

Wewe ni msomi halafu unavuta sigara, usomi wako una faida gani sasa?

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
IMG_20220628_140323.jpg



Mwenye biashara yake kakuambi kabisa hii bidhaa ni hatari kwa afya yako bado unanunua sa tunakutafsiri vipi wewe?

Kwanini usomi wako usiutumie kufundisha wengine madhara ya sigara?

 
View attachment 2275423


Mwenye biashara yake kakuambi kabisa hii bidhaa ni hatari kwa afya yako bado unanunua sa tunakutafsiri vipi ww ?
Kwanini usomi wako usiutumie kufundisha wengine madhara ya sigara?

Aliyeweka hii picha ya paketi ya sigara, alikuwa na maana gani kughushi maandishi ya jina halali la kibiashara la "SPORTSMAN"?
 
Hivi kuvuta Sigara Chanzo chake nini??
Je dini nazo zinasemaje??
na nna hakika asilimia ya watz 30% wanatumia kabisa
Kwa mujibu wa Uislamu ni haramu mtu kunidhuru na kuhatarisha afya yake kwa hiyo mtu akitumia vitu ambavyo vinaenda kudhuru na kuhatarisha afya yake moja kwa moja na kwa makusudi pasi na udhuru wa kisheria anakuwa ametenda dhambi.

Sigara , pombe, mirungi, bangi nk ni haramu moja kwa moja.
 
Mshua hakuna andiko la kiislam linalo sema bangi Ni haram
 
Huu ni wivu tu! Usomi unahusianaje na chiga? Ile ni starehe kama starehe zingine. We kama hauvuti huez kujua.
Almost kila kitu kina madhara, it depends na matazamo wako tu.
Mtuache!
 
Back
Top Bottom