Wewe ni msomi halafu unavuta sigara, usomi wako una faida gani sasa?

Wewe ni msomi halafu unavuta sigara, usomi wako una faida gani sasa?

Kwa mujibu wa Uislamu ni haramu mtu kunidhuru na kuhatarisha afya yake kwa hiyo mtu akitumia vitu ambavyo vinaenda kudhuru na kuhatarisha afya yake moja kwa moja na kwa makusudi pasi na udhuru wa kisheria anakuwa ametenda dhambi.

Sigara , pombe, mirungi, bangi nk ni haramu moja kwa moja.
[emoji120][emoji120]Asante kwa maarifa
 
Daah nakumbuka mbali sana!! zamani chiga niliiona Atari Sana na wanaovuta pia niliwaona watu wa ajabu Ila ndo Ivo same time stress zinatufanya tufanye tusivyotegemea kabisa kufanya.
Nakumbuka sigara ya Kwanza kutumia ilikuwa embassy click ila sasa ivi nimekuwa gari Moshi nawasha Kila ubalozi na asikwambie mtu huo mziki wa nyota ukitoka kupuliza unakuwa Kama umegonga wida lazima utembee na ukuta miksa kusikia aja kubwa
 
Usomi ni kwenda shule kujaza makaratasi na kufaulu Sasa sijui inahusianaje na kuvuta sigara

Usitafute laana kwa nguvu
View attachment 2275423


Mwenye biashara yake kakuambi kabisa hii bidhaa ni hatari kwa afya yako bado unanunua sa tunakutafsiri vipi wewe?

Kwanini usomi wako usiutumie kufundisha wengine madhara ya sigara?

 
Kumbuka wauza sigara wanategemea pia sisi tuwaungishe ili wapate hela ya kuhudumia watoto wao, Sometimes mtu hutaki kuvuta ila ukiona anaeuza anavyohangaika huruma inakujia unaamua ku-support
 
Kila mtu na starehe yake, kikubwa hajavunja sheria ya nchi
 
View attachment 2275423


Mwenye biashara yake kakuambi kabisa hii bidhaa ni hatari kwa afya yako bado unanunua sa tunakutafsiri vipi wewe?

Kwanini usomi wako usiutumie kufundisha wengine madhara ya sigara?

Kwani ewe usiyevuta una faida gani, pia hii ni starehe kama zingine, wapi imeelezwa msomi asivute sigara, tena wavutaji wanachangia kodi ya nchi, endelea kupata juice ya miwa.
 
Kwani ewe usiyevuta una faida gani, pia hii ni starehe kama zingine, wapi imeelezwa msomi asivute sigara, tena wavutaji wanachangia kodi ya nchi, endelea kupata juice ya miwa.
Msomi avute sigara,asie soma nae avute sigara, tofauti iko wapi?
 
Niliwahi kufanyakazi kwenye kampuni flani ya nje moja ya nchi zile zilizopiga hatua kubwa kiteknolojia ktk hizo ofisi zao walitenga sehemu maalum kabisa ya kuvutia sigara na karibia maboss wote walikuwa wavuta sigara waume kwa wake na ni wasomi wabobezi, sasa sijajua ni wasomi wapi mtoa mada unaowazungumzia? au mimi ndiyo sijaelewa?
 
Daah nakumbuka mbali sana!! zamani chiga niliiona Atari Sana na wanaovuta pia niliwaona watu wa ajabu Ila ndo Ivo same time stress zinatufanya tufanye tusivyotegemea kabisa kufanya.
Nakumbuka sigara ya Kwanza kutumia ilikuwa embassy click ila sasa ivi nimekuwa gari Moshi nawasha Kila ubalozi na asikwambie mtu huo mziki wa nyota ukitoka kupuliza unakuwa Kama umegonga wida lazima utembee na ukuta miksa kusikia aja kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Back
Top Bottom