Wewe sio tajiri ila una hela

Wewe sio tajiri ila una hela

Sijafosi, nimekemea. Nimetupa jiwe gizani. Soma kwa makini.
Hamna ulichokemea pale, umeonesha CHUKI yako ya wazi kabisa kwa waliofanikiwa.

Wanaorusha jiwe gizani hutumia lugha ya picha kufikisha ujumbe wao bila kumlenga mtu Wala kuonesha CHUKI kwa yeyote.
 
Hukutakiwa kulaumu watu kwa kutosaidia wengine, hakuna mtu anahustle kwa ajili ya kumnufaisha au kumsaidia mwingine.

Unapoleta excuse Kama hizo,
Lazima turudi Kwny background yako tujue tatizo liko wapi na tunalitatua vipi.

Ulivyotafsirika Ni kwamba,
Una manung'uniko na masononeko mengi moyoni kwa mafanikio ya Wenzio.

Yaani tunaita HUSDA, au kiroho Cha kwanini.

TATIZO LAKO LIKO HAPO MKUU[emoji4]
Sawa, ni kweli nimetafsririka hivyo. Ila back ground yangu bado haitoi/haikupi majibu toshelezi katika hili. Sawa ni mimi tu nimefika chuo kikuu, ila huna uhakika kama tunaishi maisha mabovu! Pia huna uhakika km hao ndugu zangu wana njaa japo hawajavuka form 4. Kifupi ni kutosoma kwao, si umasikini mkuu!
 
Hamna ulichokemea pale, umeonesha CHUKI yako ya wazi kabisa kwa waliofanikiwa.

Wanaorusha just gizani hutumia lugha ya picha kufikisha ujumbe wao bila kumlenga mtu Wala kuonesha CHUKI.
Kwa hiyo nimemlenga mtu gani special mkuu?
 
Kwa hiyo nimemlenga mtu gani special mkuu?
Hatujui umemlenga mtu gani hasa, Maana sijawai sikia mtu kajiita fogo humu jf.

Huo umekua Ni msamiati mpya

Kwa maelezo yako labda mwenzetu kidukulilo,

Ila sijawai sikia mtu humu Kaenda kwa kiduku Lilo kaomba msaada kanyimwa.

Kwaiyo sijajua ulimlenga Nani hasa
 
Hatujui umempenga mtu gani Maana sijawai sikia mtu kajiita fogo humu.

Kwa maelezo yako labda mwenzetu kidukulilo,

Ila sijawai sikia mtu humu Kaenda kwa kiduku Lilo kaomba msaada kanyimwa.

Kwaiyo sijajua ulimlenga Nani hasa
Sikumlenga mtu. Ila niliandika haya baada ya kutafakari kwa kina kuhusu uhusiano wa waliopata neema ya kufanikiwa ikiwemo hawa wasanii wetu na wananchi wa kawaida.

Mifano ipo, suala la ugonjwa imekuwa km return way yao kwa jamii. Hii inaumiza. Kila mTZ mwenye akili timamu ni lazima aumie kwa hili. Ni picha inayohuzunisha...

So nikatumia lugha kali kudogo kuwasilisha hili. Hivyo tu mkuu.
 
Sawa, ni kweli nimetafsririka hivyo. Ila back ground yangu bado haitoi/haikupi majibu toshelezi katika hili. Sawa ni mimi tu nimefika chuo kikuu, ila huna uhakika kama tunaishi maisha mabovu! Pia huna uhakika km hao ndugu zangu wana njaa japo hawajavuka form 4. Kifupi ni kutosoma kwao, si umasikini mkuu!
Post yako imekaa kimaskini Sana,

Afu Uzi wako inaonekana imeandikwa ktk mood ya masononenko na majuto Sana., Hivyo kuzaa jazba

Na inaonyesha jazba yako hii imekomaa baada ya kuukosa kila Mara msaada ule ulioutegemea kutoka kwa watu ulioamini kabisa wana uwezo wa kukusaidia.

Nowdays,
Mtu anaweza kukusoma Kupitia uandishi wako TU, achilia mbali iyo historia yako.
 
Sikumlenga mtu. Ila niliandika haya baada ya kutafakari kwa kina kuhusu uhusiano wa waliopata neema ya kufanikiwa ikiwemo hawa wasanii wetu na wananchi wa kawaida.

Mifano ipo, suala la ugonjwa imekuwa km return way yao kwa jamii. Hii inaumiza. Kila mTZ mwenye akili timamu ni lazima aumie kwa hili. Ni picha inayohuzunisha...

So nikatumia lugha kali kudogo kuwasilisha hili. Hivyo tu mkuu.
Ulipaswa Sasa uweke specific kabisa ili tuchangie kwa Uhuru tukijua hii mada inawalenga watu wa Aina flan flani.
 
Iwapo mlipakodi halipikodi kodi stahiki au akawa mkwepakodi halafu akaonekana tajiri utajiri huo utakuwa wa mashaka!
 
Post yako imekaa kimaskini Sana,

Afu Uzi wako inaonekana imeandikwa ktk mood ya masononenko na majuto Sana., Hivyo kuzaa jazba

Na inaonyesha jazba yako hii imekomaa baada ya kuukosa kila Mara msaada ule ulioutegemea kutoka kwa watu ulioamini kabisa wana uwezo wa kukusaidia.

Nowdays,
Mtu anaweza kukusoma Kupitia uandishi wako TU, achilia mbali iyo historia yako.
Sawa upo sahihi, mtu anaweza kukusoma kupitia post yako, sikatai. Ila mimi sikuwahi kutaka kukopa kwa yeyote yule(namshukuru Mungu kwa hilo). Kama ni kukopa labda ikitokea nitakopa kwa taasisi maalum za kifedha ikiwemo banks and related ones, na si mtu tu kisa ana hela eti niombe mkopo. Kwangu no.!

Also, familia yangu haina njaa 'kihivyo' mkuu, though mzee alikuwa mlinzi ila alikuwa analipwa hela ndefu na alikuwa anafanya kazi mashirika makubwa mkuu. Huwezi kulinganisha mshahara afisa elimu wilaya wa TZ na mfanya usafi chooni wa UN.

Ni kweli niliandika kwa jazba ila si manung'uniko kwa kukosa mkopo. Suala la post kukaa kimasikini sijajua, sina uhakika wa hili.
 
Back
Top Bottom