mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
- Thread starter
- #61
Sawa! Whatever you think. You are free!Ule uzi wako unaeleza mlihamia kutoka Msumbiji unaakisi akili yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa! Whatever you think. You are free!Ule uzi wako unaeleza mlihamia kutoka Msumbiji unaakisi akili yako
Thanks for advice.Ulipaswa Sasa uweke specific kabisa ili tuchangie kwa Uhuru tukijua hii mada inawalenga watu wa Aina flan flani.
Mmmh is that the code? Tufafanulie mkuu.Iwapo mlipakodi halipikodi kodi stahiki au akawa mkwepakodi halafu akaonekana tajiri utajiri huo utakuwa wa mashaka!
Upi uhusiano wa zama za kikoloni kupita na watu kuwa na pesa ndefu? Ni zama zipi hizo za kikoloni? Za mwaka gani?Zama za kikoloni zimeshapitaga ndugu siku hizi watu wana pesa ndefu
Inasikitisha lakini, yanatokea kila uchwao haya.Hamna mkuu,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]utani tu
Huyp jamaa simfahamu. Yupo humu JF?Mkuu kidukulilo ni fogo au siyo fogo....
Ni sahihi. Sipingi!Japo mnaisha siyo kutesa kila siku ila pesa ndiyo kila kitu...
Ngoja jamaa wakuitie....Huyp jamaa simfahamu. Yupo humu JF?
Itakuwa vizuri, ila post haijamlenga yeye.Ngoja jamaa wakuitie....
Hapana, hajalengwa yeyoteDuuh,ujumbe umefika!
Augue pole huko aliko
Akipona atalipa,Asipo pona basi itakuwa sadaka.Hapana, hajalengwa yeyote
Huelewi maana ya fogo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fogo ndo nini acha uwaki
Yap yupo huyo ndiye boss hapa pia ni fogo , japo sijui yuko nchi gani kwa sasaHata simhitaji huyo jamaa. Kumbe kuna mtu anaitwa kidukulilo humu JF?
Oooh nafurahi kujua hili.Yap yupo huyo ndiye boss hapa pia ni fogo , japo sijui yuko nchi gani kwa sasa
Fogo ni rejesta iliyopitwa na wakati labda watu wa Kanda ya ziwa ndo bado wanaitumia maana huwa wapo nyumaHuelewi maana ya fogo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemjibu vema. Au angesema don!Fogo ni rejesta iliyopitwa na wakati labda watu wa Kanda ya ziwa ndo bado wanaitumia maana huwa wapo nyuma
Tajiri wa Magari.... I see aje tuChief @Kidukulilo Kuna mtu hapa anateseka Sana kwa ajili yako[emoji4]