Wewe Uliskia wapi amehojiwa katika station ya Kenya

Wewe Uliskia wapi amehojiwa katika station ya Kenya

Ni "Ulisikia wapi?" Siyo "Olisikia wapi?".

Unafikiri hawajui? Wanajua sana kama ni ulisikia lakini wanajifanya Wazungu, kwa hiyo ,, u '' ili waitamke wanaandika ,,oo'' oolisikia, hao jamaa wajinga sana nilifika Mombasa huko Wakenya udongo mwekundu, wao wanaita dongo kundu, si unaona hata Hujambo wanasema jambo, yote hii ni kujifanya Wazungu, Kibera wanaita kibra, lakini cha kushangaza labda kuliko vyote, Wakenya wengi ni Wabantu hivyo kama anaweza kuongea kikikuyu hawezi kushindwa kusema udongo mwekundu, au hujambo badala ya jambo, au Mkikuyu hawezi kushindwa kusoma ulisikia mpaka aandike oolisikia
 
Unafikiri hawajui? Wanajua sana kama ni ulisikia lkn wanajifanya Wazungu, kwa hiyo ,, u '' ili waitamke wanaandika ,,oo'' oolisikia, hao jamaa wajinga sana nilifika Mombasa huko Wakenya udongo mwekundu, wao wanaita dongo kundu, si unaona hata Hujambo wanasema jambo, yote hii ni kujifanya Wazungu, Kibera wanaita kibra, lkn cha kushangaza labda kuliko vyote, Wakenya wengi ni Wabantu hivyo kama anaweza kuongea kikikuyu hawezi kushindwa kusema udongo mwekundu, au hujambo badala ya jambo, au Mkikiuyu hawezi kushindwa kusoma ulisikia mpaka aandike oolisikia, ...
Hahaha. Unachekesha sana.
 
Duh! Huyu naye aliliwa, nilijua ni jamaa wa kijani......ila Watz wamerudi nyuma miaka mingi sana, watakaa waandike kwenye vitabu vya historia namna gani waliharibu wakiona kwa macho yao wenyewe. Miaka ijayo mitano bila mtu wa kuhoji ubabe wa serikali ni jambo la hatari sana.
 
Unafikiri hawajui? Wanajua sana kama ni ulisikia lkn wanajifanya Wazungu, kwa hiyo ,, u '' ili waitamke wanaandika ,,oo'' oolisikia, hao jamaa wajinga sana nilifika Mombasa huko Wakenya udongo mwekundu, wao wanaita dongo kundu, si unaona hata Hujambo wanasema jambo, yote hii ni kujifanya Wazungu, Kibera wanaita kibra, lkn cha kushangaza labda kuliko vyote, Wakenya wengi ni Wabantu hivyo kama anaweza kuongea kikikuyu hawezi kushindwa kusema udongo mwekundu, au hujambo badala ya jambo, au Mkikiuyu hawezi kushindwa kusoma ulisikia mpaka aandike oolisikia
oooliskia wapi wakenya wengi ni wabantu 😎😎

Kenyan map.png
Kenya 2.jpg
 
Lakini Wakenya siyo Germanic people pia, sasa iweje washindwe kusoma Kiafrika?
Hamitic ipo karibu na semitic pamoja na Nilotic ilivyo karibu na Cushitic.
Hahahahaha.
Wabantu wengi ni nyie wahutu watangayika.
Wakikuyu wamechanganya damu Sana na wa nilo hamitic kwahiyo hao siyo wabantu ni hybrid.
 
Hamitic ipo karibu na semitic pamoja na Nilotic ilivyo karibu na Cushitic.
Hahahahaha.
Wabantu wengi ni nyie wahutu watangayika.
Wakikuyu wamechanganya damu Sana na wa nilo hamitic kwahiyo hao siyo wabantu ni hybrid.

Lkn Semitic siyo Germanic, Wajaluo siyo Germanic people, Waingereza ni Germanic people na ndio maana ni ngumu kutamka maneno ya Kibantu, lakini Wakenya siyo Germanic, ...
 
Huna akili watanzania wanahitaji watu wa kuleta maendeleo sio wapiga kelele. Hujielewi unavyosema Watz tumerudi nyuma.
Duh! Huyu naye aliliwa, nilijua ni jamaa wa kijani......ila Watz wamerudi nyuma miaka mingi sana, watakaa waandike kwenye vitabu vya historia namna gani waliharibu wakiona kwa macho yao wenyewe. Miaka ijayo mitano bila mtu wa kuhoji ubabe wa serikali ni jambo la hatari sana.
 
Washenzi nq misamiati yao ovyo ovyo. Mbona watu wa malindi wale ndio wa bantu pure na wana misamiati pia ya kijinga jinga
Eti marehemu wanaita mwendazake ....sasa mwenda zake ndio upuuzi gani yaan wao wame pindua the dead one ...wakaona waite mwendazake ....hawa ndio wana chukua nafasi nq kwenda kuwafundisha watu kiswahil kibovu huko majuu
 
Duh! Huyu naye aliliwa, nilijua ni jamaa wa kijani......ila Watz wamerudi nyuma miaka mingi sana, watakaa waandike kwenye vitabu vya historia namna gani waliharibu wakiona kwa macho yao wenyewe. Miaka ijayo mitano bila mtu wa kuhoji ubabe wa serikali ni jambo la hatari sana.
Nyie mnahoji na bado cartels zinawapiga
 
Weye mdaku,alokwambia lugha ni lenu binafsi nani?
Hao wa Amu unaowasimanga wanayo hati miliki pia na lafdhi ni nyingi tu,Kuna kiamu,kiunguja,kipemba n.k.
Wote hawa ni familia ya waswahili waliotawanyika.
Na kwa taarifa yako hao waunguja mnaowaiga walitokea kaskazini tu.
Refer Bantu migration.
Kwahiyo hamna la zaidi nyie.
Zote ni lafudhi zilizo halali.
Siyo eti kitu kiwe tofauti na unavyokifahamu basi hakijakamilika.
Weye wacha ujuha.
 
Washenzi nq misamiati yao ovyo ovyo. Mbona watu wa malindi wale ndio wa bantu pure na wana misamiati pia ya kijinga jinga
Eti marehemu wanaita mwendazake ....sasa mwenda zake ndio upuuzi gani yaan wao wame pindua the dead one ...wakaona waite mwendazake ....hawa ndio wana chukua nafasi nq kwenda kuwafundisha watu kiswahil kibovu huko majuu
Jinsi mnavyoona msamiati wetu ni wa kijinga ndivyo tunavyoona msamiati wenu ni wa kijinga. Shida yenu hamuelewaki linguistics.
 
Unafikiri hawajui? Wanajua sana kama ni ulisikia lkn wanajifanya Wazungu, kwa hiyo ,, u '' ili waitamke wanaandika ,,oo'' oolisikia, hao jamaa wajinga sana nilifika Mombasa huko Wakenya udongo mwekundu, wao wanaita dongo kundu, si unaona hata Hujambo wanasema jambo, yote hii ni kujifanya Wazungu, Kibera wanaita kibra, lkn cha kushangaza labda kuliko vyote, Wakenya wengi ni Wabantu hivyo kama anaweza kuongea kikikuyu hawezi kushindwa kusema udongo mwekundu, au hujambo badala ya jambo, au Mkikiuyu hawezi kushindwa kusoma ulisikia mpaka aandike oolisikia
Wewe jamaa ni mshamba kupindukia. Yaani leo hii wewe mnyamwezi ndio unakashifu kiswahili cha wa 'Thenashara Taifa', koo kumi na mbili za waswahili(wamvita). Ambao ndio waliibuka na jina Dongo Kunduu, kumaanisha sehemu ambayo ina udongo mwekundu. Kwahivyo inamaanisha kwamba jina Nairobi linatumiwa vibaya pia? Maanake kwa kimaasai ni 'Enkare Nairobi', kumaanisha sehemu yenye maji baridi.
 
Back
Top Bottom