The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Tafuta mganga mzuri uwaroge. Police watakuchelewesha tuWakuu hali si shwari kichwa moto hapa nilipo kijana wenu..
Sijui nifanyaje yaani mambo ni ovyo huu mtaaa aiseee
Mshana Jr
Wakuu naombeni utaratibu hapa nianze vipi nende polisi au nikaushe tu niachane nayo maana kwa walivyo chukua sio kama tashindwa kuendelea mazima hapana.
Ila biashara ina move on na hapa nipo nafungua ila sasa hiki kitendo kimeniuma sana..
Nimefanikiwa kutoa taarifa kituo cha polisi na nimepata RB View attachment 3223400
Kampuni yoyote ya Bima wanalipa kama umekatia bima duka lako. Ila inaweza kuchukua hata mwaka, hawa wapuuzi wanazungusha sana.Swali kwa wataalam
Je Tanzania kuna kampuni ya bima ambayo inaweza kukufidia endapo wezi wakiiba kwenye biashara yako? Au moto ukiunguza?
Naomba mtutajie majina ya kampuni na Gharama ya bima kulingana na thamani ya biashara
Duh!Kampuni yoyote ya Bima wanalipa kama umekatia bima duka lako. Ila inaweza kuchukua hata mwaka, hawa wapuuzi wanazungusha sana.
Tena Mwandamizi kabisaa.Kumbe marioo
Sis tayar huku nimedakwa tenaTena Mwandamizi kabisaa.
Mambo yashaiva hukuPole sana mkuu
Ni hapo Malapa?.Hapana baati nzuri vtu vyote muhimu huwa naweka ndani mkuu.
Ila ndo hvo wamechukua flat nchi 32 mpyaaaa
Nini..!!?Ni hapo Malapa?.
Ndio maana wakikamatwa watu huwapiga kiberiti.Mijitu mijizi inaudhi sana.Wamemrudisha huyu mkuu nyuma hadi amechanganyikiwa kabisa.
Mpaka wamekuja na vitu vya kuvunja kofuli, wanjua ndani kuna nini.Yaah mkuu vijana kwa vijana na usikute ni hawa hawa ambao huwa nawapa access ya WiFi hapa mtaani
Watu wana deal nawee, hadi useme aunt Dorry kapata wapi pesa za kukuanzishia biashara.Sis tayar huku nimedakwa tena
nchi ni kama vile Tanzania, Kenya, Uganda nk. Nchi 32.Hapana baati nzuri vtu vyote muhimu huwa naweka ndani mkuu.
Ila ndo hvo wamechukua flat nchi 32 mpyaaaa
Kichwa kama kalio ya Nyani, usichoelewa kipi?Kwani hela zina usingizi?
Pole sanaMkuu acha tu.
Mpaka sasa hamu ya kula sina nimejua kuvurugana