WFP mmeanza lini uswahili?

WFP mmeanza lini uswahili?

Duu Aisee hope hajakusahau Ticha wake ata iphone 14😁 kama zawadi
Katika kazi nyingi za kimataifa referees ni watu wa muhimu sana. Na wakati mwingine inabidi wawatafute na kuongea nao ana kwa ana kukuhusu wewe.

Kuna mwanafunzi wangu mmoja nilimwandikia recommendation letter nikawa nimesahau. Siku moja pisi ya kizungu inanitafuta inataka tuonane. Kumbe inataka first hand info kumhusu huyo dogo. Ubaya sasa dogo nikawa hata simkumbuki vizuri. Ilibidi nimtafute na kumwambia anitumie bio yake haraka sana. Itoshe tu kusema kuwa dogo alipata ile kazi na sasa anabadilisha BMW na Audi tu...

Zingatieni sana referees hasa katika kazi za kimataifa ambako kidogo kuna unafuu katika suala zima la nepotism na connections...
 
Duu Aisee hope hajakusahau Ticha wake ata iphone 14😁 kama zawadi
Dogo bado yuko grounded; na bado ni mtu wa karibu sana.

Mwenyewe niliwahi kosa kazi ya US $12K/M (+marupurupu kibao!) kisa tu jamaa niliyedhani tunashibana aliniandikia recommendation letter mbaya. Haya mambo tunayachukulia kirahisi ila wakati mwingine yana gharama sana!
 
Hi wakuu.

Niliomba kazi kwenye hili shirika la kimataifa, nashukuru walini shortlist. Nilipiga interview ya kwanza nkafahuru.

Niliitwa Kwa second interview nkapiga nayo majibu yakaja nime be selected Kwa third interview.

Nilipiga third interview, mwisho wakasema watanipa feedback after few couple of days


Sasa mwezi na wiki umepita, no feedback,,,nilijua Hawa WFP watakuwa hawana uswahili kumbe nilikosea.

How come mtu afanye multiple rounds of interview afu msimpe majibu?


Wakuu hii ni sawa?
Wamefanya la maana kukuacha! Ungetia aibu. Umeaibisha neno ni nikafaulu
 
Hi wakuu.

Niliomba kazi kwenye hili shirika la kimataifa, nashukuru walini shortlist. Nilipiga interview ya kwanza nkafahuru.

Niliitwa Kwa second interview nkapiga nayo majibu yakaja nime be selected Kwa third interview.

Nilipiga third interview, mwisho wakasema watanipa feedback after few couple of days


Sasa mwezi na wiki umepita, no feedback,,,nilijua Hawa WFP watakuwa hawana uswahili kumbe nilikosea.

How come mtu afanye multiple rounds of interview afu msimpe majibu?


Wakuu hii ni sawa?
Wait for feedback, ushauri usiwasumbue, you have to be patient
 
Mwezi mmoja tu unatoka public kuanza kulalamika? Watu wapo busy ku run background check zenu. Wakati mwingine wanaochelewesha ni hao referees wako.
Kuwa mvumilivu. Mpaka kuitwa inaweza ikachukua hadi miezi sita. Na wakiona haya malalamiko huenda wakaipiga chini batch yenu waka shortlist wengine.
Kuna mashirika yKo serious sana. Wanapiga simu hadi ulipopita pita
 
Hi wakuu.

Niliomba kazi kwenye hili shirika la kimataifa, nashukuru walini shortlist. Nilipiga interview ya kwanza nkafahulu

Niliitwa Kwa second interview nkapiga nayo majibu yakaja nime be selected Kwa third interview.

Nilipiga third interview, mwisho wakasema watanipa feedback after few couple of days


Sasa mwezi na wiki umepita, no feedback,,,nilijua Hawa WFP watakuwa hawana uswahili kumbe nilikosea.

How come mtu afanye multiple rounds of interview afu msimpe majibu?


Wakuu hii ni sawa?
Umewafuatilia kuwauliza feedback?
 
KiBO Kama sio kufukua makaburi ni Nini sasa
Yah! Wengine wanatakaga na recommendation letter kabisa. Mm niliwahi kufabya kaz ofis flani kuna kadogo kaliweka kuwa kalipita ofisin kwetu wakatupigiaga kuuliza kama tuliwah kuwa nae na tabia zake zikoje.

Mm ile ofisi niliondokaga sikuaga so nikiandikaga CV siiwekagi kabisa. Mana najua kabisa hawawez kurecomend yaliyo mazuri. Na jamaa walijua nikiacha kaz kwao naenda kufeli
 
Back
Top Bottom