WFP mmeanza lini uswahili?

Duu Aisee hope hajakusahau Ticha wake ata iphone 14😁 kama zawadi
 
Duu Aisee hope hajakusahau Ticha wake ata iphone 14😁 kama zawadi
Dogo bado yuko grounded; na bado ni mtu wa karibu sana.

Mwenyewe niliwahi kosa kazi ya US $12K/M (+marupurupu kibao!) kisa tu jamaa niliyedhani tunashibana aliniandikia recommendation letter mbaya. Haya mambo tunayachukulia kirahisi ila wakati mwingine yana gharama sana!
 
Wamefanya la maana kukuacha! Ungetia aibu. Umeaibisha neno ni nikafaulu
 
Wait for feedback, ushauri usiwasumbue, you have to be patient
 
Kuna mashirika yKo serious sana. Wanapiga simu hadi ulipopita pita
 
Umewafuatilia kuwauliza feedback?
 
KiBO Kama sio kufukua makaburi ni Nini sasa
Yah! Wengine wanatakaga na recommendation letter kabisa. Mm niliwahi kufabya kaz ofis flani kuna kadogo kaliweka kuwa kalipita ofisin kwetu wakatupigiaga kuuliza kama tuliwah kuwa nae na tabia zake zikoje.

Mm ile ofisi niliondokaga sikuaga so nikiandikaga CV siiwekagi kabisa. Mana najua kabisa hawawez kurecomend yaliyo mazuri. Na jamaa walijua nikiacha kaz kwao naenda kufeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…