WFP mmeanza lini uswahili?

Mara nyingi ukiona kimya hivi jiandae kupokea Thank you for your interest... , unfortunately/we regret to inform... , we appreciate your time, etc
 
Hahahaha
 
mimi kuna kampuni inaitwa GF truck, niliwapa cv mwaka 2012...aisee mimi mwenyewe nikasahau kama nimewahi ku apply kazi kwao...mwaka 2018 wakanipigia simu niende dar tukashauriane kuhusu kazi na mshahara...nikagoma kama nimewahi apply kwao, wakanitolea cv yangu nikashangaa sana....cv ya mwanzo mwanzo ndio walikuwa nayo miaka yote hiyo. Nikagundua usikate tamaa mapema haloo...japokuwa sikuanza kazi mshahara ulikuwa mdogo alafu walitaka nianze kazi siku ilelile baada ya kumaliza maongezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…