Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 653
- 1,698
Ndiyo maana ukawa mwanamke.I am afraid of snakes, spiders, chameleon and lizard ever since I was a little kid.
Sio wanawake wote wana herpetophobia.Ndiyo maana ukawa mwanamke.
[emoji2959][emoji2959][emoji2959]Kiukweli namuogopa sana MWANAMKE.
Hapa nimelizingatia sana hili, mwanamke kuogopa hivi vitu ni kawaida ila kwa mwanaume si kawaida, yaani huwa ni habari. Tupo sisi wanaume miongoni mwetu tunaogopa sana DAMU, mpaka kuchinja kuku mtu anashindwa, ila mimi bi mkubwa wangu anauwa nyoka kama anaua sisimizi vile, ila mshua ilikuwa hawezi kuuwa nyoka.Sio wanawake wote wana herpetophobia.
Na pia kuna wanaume waoga pia. Hivyo hiyo si sababu.
Nimeelewa.Hapa nimelizingatia sana hili, mwanamke kuogopa hivi vitu ni kawaida ila kwa mwanaume si kawaida, yaani huwa ni habari. Tupo sisi wanaume miongoni mwetu tunaogopa sana DAMU, mpaka kuchinja kuku mtu anashindwa, ila mimi bi mkubwa wangu anauwa nyoka kama anaua sisimizi vile, ila mshua ilikuwa hawezi kuuwa nyoka.
Duniani kuna vidhaifu viwili navyo ni mtoto mdogo na mwanamke.
Nasubiri na wewe utuambie ukweli kuhusu wewe,ukweli ambao sisi hatuujui.[emoji2959][emoji2959][emoji2959]
Hujaelewa. Mimi siogopi damu ila nimesema miongoni mwetu sisi wannaume tupo tunaogopa DAMU.Nimeelewa.
Wewe unaogopa damu pia? Na ni mdudu gani unaogopa?
Hiyo sisi, ukiwemo? Au?Nasubiri na wewe utuambie ukweli kuhusu wewe,ukweli ambao sisi hatuujui.