Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 653
- 1,698
Hi.
Karibuni tuelezane mambo (facts) mbali mbali kutuhusu sisi, ambazo sio kila mtu anazijua.
Mimi naanza.
1. I am a Coma survivor. Nilipata ajali ya gari na nikaa coma kwa muda wa wiki mbili. Sikumbuki kitu chochote kuhusu hizo wiki mbili.
2. I am a landlord. Hii ni nyumba yangu ya juhudi zangu. Wapangaji wangu wananiheshimu sana. Niliona mmoja kanisave MAMA MWENYE NYUMBA nilijihisi natembea mawinguni.
3. Sijawahi kula chipsi mayai au mayai tangu nimezaliwa.
Karibuni.
Karibuni tuelezane mambo (facts) mbali mbali kutuhusu sisi, ambazo sio kila mtu anazijua.
Mimi naanza.
1. I am a Coma survivor. Nilipata ajali ya gari na nikaa coma kwa muda wa wiki mbili. Sikumbuki kitu chochote kuhusu hizo wiki mbili.
2. I am a landlord. Hii ni nyumba yangu ya juhudi zangu. Wapangaji wangu wananiheshimu sana. Niliona mmoja kanisave MAMA MWENYE NYUMBA nilijihisi natembea mawinguni.
3. Sijawahi kula chipsi mayai au mayai tangu nimezaliwa.
Karibuni.