Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kubadili jina ni wewe tu mkuu unazama mahakani chap wala hakishindikani kituNashauri kuwe na utaratbu wa mtoto kubadili jina akifika umri flan maa weng sana hawapend majna yao
unafaa sana kila shule ingepata mwalimu mmoja tu kama wewe hakika watoto wetu wangebadilika kwakiasi kikubwaHuwa nafuatilia tabia ya mwanafunzi hadi mtaani na kwenye instagram[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mbona wanakoma. Vikao vya wazazi kila leo mpaka mtoto abadilike. Na nikiamua kula sahani moja na wewe nitaacha tuu endapo utabadilika.
Form 4 wa miaka kadhaa nyuma walinikatia jina.
Sikuwahi kulijua hadi siku ya mahafali yao. Wakati walimu wanaitwa mimi zamu yangu MC akanitaja jina langu, masomo ninayofundisha akamalizia kwa kusema "wengi wanamjua kama ...." Wanafunzi wakalitaja wote kwa pamoja. Nilicheka sana.
Sema wanafunzi wananipenda. Hadi wazazi wao wananipenda na simu wananipigia kunishitakia tabia za watoto wao na awards wameshanipa mbili.
Aisee uko kama Mimi, na watu wa aina hii tunaaminika sana.Ni mtunzaji mzuri wa siri, zangu mwenyewe na za watu wengine hivyo ukiniambia jambo kisha ukalikuta mtaani hebu kumbuka vizuri...hukuniambia mimi peke yangu
Kweli mkuu nilifikiria icho kitu, napata wakati mgumu na hili jina langu kiasi kwamba nashindwa hadi kujitambulisha hasa kwenye makundi ya watu, najikuta sipendi kuulizwa jina langu.Kubadili jina ni wewe tu mkuu unazama mahakani chap wala hakishindikani kitu
Tatzo n kwamba kwny vyeti vya kitaaluma majina hayabadilikiKubadili jina ni wewe tu mkuu unazama mahakani chap wala hakishindikani kitu
Mimi sasa ndo balaa....
Sina rafiki sababu kubwa ni uwezo wangu wa kujua hisia za mwingine plus nimesoma vitabu vingi (1000+)kiasi kwamba najua kutofautisha fake people na really.
Sina rafiki sababu wote nimewakopa wamepotezea kunilipa,nkijaribu kumzoea mtu ananikopa hanilipi si mdai urafiki unakufa saivi sizoei mtu sababu nimestuka. More than 7 million ipo kwa marafiki zangu ambayo saivi sio marafiki tena ni watu wakupiga nao story tu.
Nina depression sometimes sababu najua vitu vingi sana kupita uwezo wangu wa kuvibeba na nafeel almost kila kitu.
Nahitaji mda wakukaa mwenyewe na siwezi kukaa na mtu yeyote duniani kwa mda mrefu.Nikitoka sehemu zenye kelele lazima nikae mwenyewe kwa mda.
Nina roho nzuri sana ingawa na improve kdg kuwa na roho mbaya.
Sipendi kelele na kila nachokisikiliza lzm nikipende kwanza,hivyo radio sisikilizi unless mada naipenda au mziki naupenda.
Siwezi kuwa mnafiki hivyo siwezi kujikomba kwa maboss.
Naongeaga ukweli ht pasipostahili hivyo kuna watu wananipemda sana kuna watu wananichukia sana
Napenda comedy movies sana bila hizo napata shida kubalance mood changes zangu
Na huruma sana ila na hasira za karibu kama Mtu hanielewi au ana mdharau mwingine
I can’t handle stress bahati mbaya sana nipo kama sponchi navyonza hisia za wengine haraka sana ziwe mbaya ziwe nzuri.
Namjua mtu kiundani sana kipaji chake ,uwezo wake ,udhaifu wake mda mchache sana nikiwa nae karibu.
Na uwezo wa kupiga story na mtu yeyote bila kujali status yake kwa kiwango kile kile cha heshima,mada nyingi nazijua hivyo sikosagi cha kuongea na mtu.
Shy kidogo,very spiritual but sipendi kwenda kanisani naona kama kupoteza mda hivi ila naamini nalindwa na nguvu kubwa sana ya kiMungu
MapenZi ya kugandana siyawezi naogopa sana mahusiano,napenda kulala mwenyewe,Nikiwa mwenyewe nakuwa na furaha zaidi ingawa najichanganya sana sometimes.
Napenda sana kucheka
Sina rafiki but i am friend material [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]
Uwaga nahisi sijaumbwa kuwa dunia hii huku kama nimepachikwa Tu.
Uwaga nahisi nimebarikiwa ila sijui hasa nimebarikiwa na nini ila najua nimebarikiwa sana kupita wengine.
Mimi sasa ndo balaa....
Sina rafiki sababu kubwa ni uwezo wangu wa kujua hisia za mwingine plus nimesoma vitabu vingi (1000+)kiasi kwamba najua kutofautisha fake people na really.
Sina rafiki sababu wote nimewakopa wamepotezea kunilipa,nkijaribu kumzoea mtu ananikopa hanilipi si mdai urafiki unakufa saivi sizoei mtu sababu nimestuka. More than 7 million ipo kwa marafiki zangu ambayo saivi sio marafiki tena ni watu wakupiga nao story tu.
Nina depression sometimes sababu najua vitu vingi sana kupita uwezo wangu wa kuvibeba na nafeel almost kila kitu.
Nahitaji mda wakukaa mwenyewe na siwezi kukaa na mtu yeyote duniani kwa mda mrefu.Nikitoka sehemu zenye kelele lazima nikae mwenyewe kwa mda.
Nina roho nzuri sana ingawa na improve kdg kuwa na roho mbaya.
Sipendi kelele na kila nachokisikiliza lzm nikipende kwanza,hivyo radio sisikilizi unless mada naipenda au mziki naupenda.
Siwezi kuwa mnafiki hivyo siwezi kujikomba kwa maboss.
Naongeaga ukweli ht pasipostahili hivyo kuna watu wananipemda sana kuna watu wananichukia sana
Napenda comedy movies sana bila hizo napata shida kubalance mood changes zangu
Na huruma sana ila na hasira za karibu kama Mtu hanielewi au ana mdharau mwingine
I can’t handle stress bahati mbaya sana nipo kama sponchi navyonza hisia za wengine haraka sana ziwe mbaya ziwe nzuri.
Namjua mtu kiundani sana kipaji chake ,uwezo wake ,udhaifu wake mda mchache sana nikiwa nae karibu.
Na uwezo wa kupiga story na mtu yeyote bila kujali status yake kwa kiwango kile kile cha heshima,mada nyingi nazijua hivyo sikosagi cha kuongea na mtu.
Shy kidogo,very spiritual but sipendi kwenda kanisani naona kama kupoteza mda hivi ila naamini nalindwa na nguvu kubwa sana ya kiMungu
MapenZi ya kugandana siyawezi naogopa sana mahusiano,napenda kulala mwenyewe,Nikiwa mwenyewe nakuwa na furaha zaidi ingawa najichanganya sana sometimes.
Napenda sana kucheka
Sina rafiki but i am friend material [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]
Uwaga nahisi sijaumbwa kuwa dunia hii huku kama nimepachikwa Tu.
Uwaga nahisi nimebarikiwa ila sijui hasa nimebarikiwa na nini ila najua nimebarikiwa sana kupita wengine.
Au serikali itunge sheria dhidi baadhi ya majina kwa watoto kama vile Chausiku, Shida, MasumbukoNashauri kuwe na utaratbu wa mtoto kubadili jina akifika umri flan maa weng sana hawapend majna yao
Hi.
Karibuni tuelezane mambo (facts) mbali mbali kutuhusu sisi, ambazo sio kila mtu anazijua.
Mimi naanza.
1. I am a Coma survivor. Nilipata ajali ya gari na nikaa coma kwa muda wa wiki mbili. Sikumbuki kitu chochote kuhusu hizo wiki mbili.
2. I am a landlord. Hii ni nyumba yangu ya juhudi zangu. Wapangaji wangu wananiheshimu sana. Niliona mmoja kanisave MAMA MWENYE NYUMBA nilijihisi natembea mawinguni.
3. Sijawahi kula chipsi mayai au mayai tangu nimezaliwa.
Karibuni.
Mm ni muoga wa vitu virefu.
Kupanda miti..Kuvuka daraja refu..kupanda ghorofa ninaogopa mno
Sipendi fujo zozote zile,
Mwepesi sana wa kusahau vitu