Mi nafikiri watu huwa hawapendi kuwa bored, wakiwa bored siku ya "slow news" wanatengeneza conspiracy theory.
Ni aina fulani ya kuji entertain.
Halafu sasa kuna conspiracy theories zingine, kama ya crop circles, zinakuja kuwa kubwa mpaka wao wenyewe waliozianzisha hawaamini.
Yani unaanzisha conspiracy theory, inakuwa kubwa, unakutana na mtu anakuambia habari za conspiracy theory uliyoianzisha mwenyewe, huku anaamini kabisa.
Hapo lazima useme kimoyomoyo "ungejua kwamba unaongea na muanzilishi wa conspiracy theory hii..."
Thank you.Ofcourse I have got your point, Thank you.
And btw your English is good Titicomb.
Umewahi kuona picha zake akiwa mjamzito? Wanasema wale watoto hajawazaa yeye.Is a man ?. How come a man become a woman and bare children. Birds inawezekana kweli ni spy
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii "6. The Big Bang Cosmology" ipoje?Daah, ziko nyingi sana, ngoja nitaje chache.
1. Mtu kwenda mwezini.
2. Uwepo wa Aliens
3. Nadharia ya Evolution
4. Solar System
5. Time Travelling
6. The Big Bang Cosmology
7. Ukimwi ni Ugonjwa wa zao la Maabara. (Kwa ufupi hakuna mtu anae weza kutengeneza ugonjwa wala kutengeneza kirusi, na hatakuja kutokea).
Na nyingine kibao....
Hamna au hapakuwa na sababu yoyote ya kudanganya watu. Hivo hawakudanganya.Pili, kuna muda kutokujua sababu ni bora kuliko kujua sababu,lakini swali la msingi ni kuwa kwanini wanadanganye watu ? Hapa ndipo pa msingi, huko kwingine ni ziada na si jambo la msingi sana.
Nimaelezo marefu kidogo nitakuja kuyaandika hapa.
Hii "6. The Big Bang Cosmology" ipoje?
The Bermuda Triangle is real.The Bermuda Triangle....this theory scares me a lot
Hamna au hapakuwa na sababu yoyote ya kudanganya watu. Hivo hawakudanganya.
Wait you are telling us kwamba hajafa?
What evidence even remotely supports the theory that Osama didn't die?
The Bermuda Triangle is real.
Mimi ndio nimeanzisha hayo mambo ya fimbo ya jk?@paula paul
Hio nadhani ni practical mkuu
Zurri unanikoroga, sasa hiyo si ndio wanaita flat?Mimi sio "flat earther" kwa kukata kabisa, bali naamini dunia ni Duara ila kwa ukubwa wake,sisi tunaona ni tambarare, na ardhi imefanywa kama tandiko.
Maana naona unatuchukulia poa sana, hatuko kibiashara bali sisi wengine tuna vyanzo vya kuamikia zaidi juu ya hili.