What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Hahahaha aise, nadhani hii dunia ya sasa vitu vingi sana tumelishwa ni uongo.
Mi nafikiri watu huwa hawapendi kuwa bored, wakiwa bored siku ya "slow news" wanatengeneza conspiracy theory.

Ni aina fulani ya kuji entertain.

Halafu sasa kuna conspiracy theories zingine, kama ya crop circles, zinakuja kuwa kubwa mpaka wao wenyewe waliozianzisha hawaamini.

Yani unaanzisha conspiracy theory, inakuwa kubwa, unakutana na mtu anakuambia habari za conspiracy theory uliyoianzisha mwenyewe, huku anaamini kabisa.

Hapo lazima useme kimoyomoyo "ungejua kwamba unaongea na muanzilishi wa conspiracy theory hii..."
 
Daah, ziko nyingi sana, ngoja nitaje chache.

1. Mtu kwenda mwezini.
2. Uwepo wa Aliens
3. Nadharia ya Evolution
4. Solar System
5. Time Travelling
6. The Big Bang Cosmology
7. Ukimwi ni Ugonjwa wa zao la Maabara. (Kwa ufupi hakuna mtu anae weza kutengeneza ugonjwa wala kutengeneza kirusi, na hatakuja kutokea).

Na nyingine kibao....
Hii "6. The Big Bang Cosmology" ipoje?
 
Pili, kuna muda kutokujua sababu ni bora kuliko kujua sababu,lakini swali la msingi ni kuwa kwanini wanadanganye watu ? Hapa ndipo pa msingi, huko kwingine ni ziada na si jambo la msingi sana.
Hamna au hapakuwa na sababu yoyote ya kudanganya watu. Hivo hawakudanganya.
 
Hii "6. The Big Bang Cosmology" ipoje?

By Definition kwa ufupi sana.

Cosmology ni study of the origins and destination of the universe.

Sasa nadharia ya "Big Bang" (Kishindo Kikubwa) kama chanzo cha ulimwengu na maisha.

Nadharia hii si ya kweli hata kwa bahati mbaya.
 
Hamna au hapakuwa na sababu yoyote ya kudanganya watu. Hivo hawakudanganya.

Hawakudanganya nini au juu ya nini ?

Unakubali kuna mtu aliwahi kufika mwezini ?

Sababu kubwa na maarufu ni kuwaonyesha watu ya kuwa wana uwezo mkubwa sana katika fani ya Sayansi,na husemwa ule ulikuwa mchezo wa kuonyeshana na USSR kwa wakati ule (Hapa sijafatilia uhakika wake, ila husemwa hivyo, kwahiyo kwa muda wako unaweza kufatilia kwa undani).
 
Mimi sio "flat earther" kwa kukata kabisa, bali naamini dunia ni Duara ila kwa ukubwa wake,sisi tunaona ni tambarare, na ardhi imefanywa kama tandiko.

Maana naona unatuchukulia poa sana, hatuko kibiashara bali sisi wengine tuna vyanzo vya kuamikia zaidi juu ya hili.
Zurri unanikoroga, sasa hiyo si ndio wanaita flat?
 
Liverpool beaten by Atletico because of complacency.
Very weird conspiracy theory!

Liverpool's 30 shots against Atletico's 10 shows the desire and intent to win the match.
 
Back
Top Bottom