Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Kufagia ndani usiku kunaondoa riziki nyumbani
Kula na kisu kunasababisha kichomi
Kurusha chumvi jikoni wakati bundi analia karibu na nyumba usiku
Hiyo ya kwanza wazee walikua wana avoid kufagia vitu vya thamani ndani usiku since hakukua na umeme
Ya pili walikua wana avoid mtu kujikata ukila na kisu kwani hasa watoto walipendelea kula na kisu baada ya kukata eg tunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula na kisu kunasababisha kichomi
Kurusha chumvi jikoni wakati bundi analia karibu na nyumba usiku
Hiyo ya kwanza wazee walikua wana avoid kufagia vitu vya thamani ndani usiku since hakukua na umeme
Ya pili walikua wana avoid mtu kujikata ukila na kisu kwani hasa watoto walipendelea kula na kisu baada ya kukata eg tunda
Sent using Jamii Forums mobile app