Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zombie apocalypse, the thread is asking for conspiracies not straight facts.globe earth
Unawaonea kuwauliza hayo maswali, wengi wanaongozwa na hisiamkuu prove wrong kwa maarifa zaidi
mkuu prove wrong kwa maarifa zaidi
Inatakiwa watakaohisi sio conspiracies bali ni facts ndio wapinge kwa kuthibitisha.muwe mna prove wrong hizo mnazoziita conspiracy theories[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
its just a conspiracy mamaaZombie apocalypse, the thread is asking for conspiracies not straight facts.
😷😷😷😷😷😷😷😷Tunapambana na COVID -19 mkuu.
Hiyo namba 9 imenikumbusha conspiracy theory moja ya ajabu sana inayodai kuwa Angela Merkel ni mtoto wa Adolf Hitler.1, The Planet Earth is hollow and there could be other civilization living in it.
2, Prince Charles is a vampire.
3, Princess Diana was assassinated.
4, Queen Elizabeth is a cannibal.
5, An elite cohort of reptiles rule the earth, an Justine Bieber is one of them.
6, NASA know about a second SUN, and they have hidden it from us.
7, The moon does not exist (It is just a projection put there for a reason).
8, Barack Obama could control the weather
9, Obama is Malcolm X`s son.
10, Nigeria president Mr Muhammadu Buhari is a clone.
Mnaruhusiwa Asprin.Tusiojua kiinglish tunaruhusiwa kuchangia chochote?
Yaani kama Doomsday conspiracy... mambo ya UFO?
Kama tunaruhusiwa basi muwege mnatutafsiria mlichoandika maana wengine wazazi wetu hawakuwa na ada ya kutusomesha St. Mtakatifu english medium academy schools
Hizi hawadanganywi waafrika tuu, hata hao wazungu mambo mengi wamedanganya na wamefichwa.Kwa hali hii sie waafrika tuna wakati mgumu sana wa kudanganyika, maana mifumo yetu ya elimu ni ya kuambiwa (copy& paste), wala hatuchanganyi za kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi sio kwamba ni beliefs Don?Afadhali, maana nilishindwa kabisa kukoment.
1. Mvua ikinyesha huku jua linawaka eti simba amezaa
2. Ukijinyoa nywele wewe mwenyewe utakufa haraka
Lol, Corona Virus ?That one day the earth will be attacked by deadly diseases and only black people will survive this.
Kwa hiyo sasa hivi tupo wapi?Wanasema Mayan calendar na Mandela Effect na mambo mengine kibao yanayoonesha dunia iliisha 2012. Mimi binafsi naamini It did end.
I beg your pardon.You told me to be bold and strong..I'm trying
BTW, you didn't uphold what you pledged to Vers..your Vows
Hizi sio kwamba ni beliefs Don?
Darasa Duara hii Finland Conspiracy ni evidence gani wanatumia kusema haipo?Hiyo ya Michelle Obama hata mimi ilinishangaza sana. Conspiracy theories za ajabu kwangu ni;-
1. Eminem amefariki toka mwaka 2006 kwa drug overdose. Huyu tunayemuona sasa ni clone tu.
2. Paul McCartney amefariki toka mwaka 1967 kwa ajali ya gari. Huyu tunayemuona sasa sio mwenyewe.
3. Baadhi ya watu maarufu ni mijusi kiuhalisia na wala si binadamu.
4. WaIran ndio waliomuua Michael Jackson ili kuhamisha attention ya dunia ambayo ilikuwa inafuatilia ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2009.
5. Finland haipo.
6. Robert De Niro ndie aliyempiga risasi Malala Yousafzai.
7. Ile ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea March 2014 ndio MH17 iliyodunguliwa kule Ukraine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol,That's what the UK wants them to believe. I can't stop laughing.Baada ya Waingereza kugundua long range radars wakaanza kudetect na kuzitrack ndege za wajerumani na kuanza kuzidondosha.. Wajerumani kuona vile wakaanza kufuatilia waingereza wanazionaje ndege zao zikiwa mbali.. Mwingereza akawaingiza chaka kuwa wanajeshi wao wanakula sana karoti ndo maana wanaona mbali, wajerumani wakatoka nalo na kuitangazia dunia kuwa karoti zinafanya uone mbali ndo hadi leo tunakomaa na huu uzushi
ukipata muda tupia hapa hiyo kitu tupotezee tym..Ukiisoma aiseeh utaona watu wana imagination kali sana...
Bado sijapata file lake. Kila nikimwita aje nimkague ananisemesha kimombo. Nshalipa ada kwa Ras Simba...muda si mrefu ntakuletea ripoti
Sawa babu, naisubiri hiyo report.
Huyu mtoto amesababisha mpaka siku hizi najifanya kusoma soma ovyo ili tu nielewe anachokiandika, ila shida iko pale pale.
Dah umefanya nicheke msibani we jamaa
Pole na msiba babu, ila ukweli kabla hujafungua thread ya huyu mtoto inabidi ujue tu kuna ngeli ya ukweli.
Pengine napita zangu mbali, au natafuta kinywaji kiasi ili ngeli ipande ndo natafuta nyuzi zake.
Jamani. You guys are awesome.Usiwe unasoma thread zake kabla hujagonga K Vant... utatoka kapa tu
In a parallel universe.Kwa hiyo sasa hivi unaamini upo wapi? JUPITA AU? au haupo popote?