What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Kufagia ndani usiku kunaondoa riziki nyumbani

Kula na kisu kunasababisha kichomi

Kurusha chumvi jikoni wakati bundi analia karibu na nyumba usiku

Hiyo ya kwanza wazee walikua wana avoid kufagia vitu vya thamani ndani usiku since hakukua na umeme

Ya pili walikua wana avoid mtu kujikata ukila na kisu kwani hasa watoto walipendelea kula na kisu baada ya kukata eg tunda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachukizwa na wale wachungaji na mashehe waliokua wanapiga kelele kuhusu freemason. Wao kila kitu freemason mara usivae hiki, mara usiweke vidole hivi. Walivyo wajinga wanajifanya hawatumii vitu vya freemason halafu wanatumia Teknolojia ya hao wanaosema ni freemason kama vile Frequency, Waves, Wireless, Recording, CD nk nk. Katika kurekodi mahubiri yao

Sasa mtu kama huyu ni mpumbavu tu hutaki kutumia vitu vya freemason halafu unawahubiria watu na kurekodi kwenye CD zente Teknolojia ya Blueray ambayo imetoka kwa makafiri Marekani.

Ukiwa mjinga unakua mtaji wa kila mtu, Majamaa sijui waneishia wapi. Au Freemason wenyewe wamekwisha?
Pumzika kwa Amani Kanumba. Kifo chako ndio kilileta yote haya.
Niliwahi muuliza mlokole flani kama ulivyosema akanijibu kuwa "wanavikomboa kabla hawajatumia" aisee nilienda chekea mbaliiiii
 
The craziest conspiracy theory has got to be the existence of an all knowing, all capable and all loving God.

It doesn't get any crazier than that.

Sent from my typewriter using Tapatalk

You mean there is no God?
 
That, they are done with him as far as Microsoft Company is concerned and has been dispatched to another mission- depopulating the world working alongside with MONSANTO, UNFPA and WHO.

The word goes that even in his documented WILL there is no mentioning of any of his siblings. The only thing that will be inherited by his blood is his personal property

Why was he and he only chosen for the conspiracy?
 
Kufagia ndani usiku kunaondoa riziki nyumbani

Kula na kisu kunasababisha kichomi

Kurusha chumvi jikoni wakati bundi analia karibu na nyumba usiku

Hiyo ya kwanza wazee walikua wana avoid kufagia vitu vya thamani ndani usiku since hakukua na umeme

Ya pili walikua wana avoid mtu kujikata ukila na kisu kwani hasa watoto walipendelea kula na kisu baada ya kukata eg tunda

Sent using Jamii Forums mobile app
Ya kurusha chumvi bundi akiimba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom