Mimi sio "flat earther" kwa kukata kabisa, bali naamini dunia ni Duara ila kwa ukubwa wake,sisi tunaona ni tambarare, na ardhi imefanywa kama tandiko.
Maana naona unatuchukulia poa sana, hatuko kibiashara bali sisi wengine tuna vyanzo vya kuamikia zaidi juu ya hili.
"4, Queen Elizabeth is a cannibal." Where did this conspiracy even start.1, The Planet Earth is hollow and there could be other civilization living in it.
2, Prince Charles is a vampire.
3, Princess Diana was assassinated.
4, Queen Elizabeth is a cannibal.
5, An elite cohort of reptiles rule the earth, an Justine Bieber is one of them.
6, NASA know about a second SUN, and they have hidden it from us.
7, The moon does not exist (It is just a projection put there for a reason).
8, Barack Obama could control the weather
9, Obama is Malcolm X`s son.
10, Nigeria president Mr Muhammadu Buhari is a clone.
Prove it..its just a conspiracy mamaa
Zurri unanikoroga, sasa hiyo si ndio wanaita flat?
Mimi sio "flat earther" kwa kukata kabisa, bali naamini dunia ni Duara ila kwa ukubwa wake,sisi tunaona ni tambarare, na ardhi imefanywa kama tandiko.
Maana naona unatuchukulia poa sana, hatuko kibiashara bali sisi wengine tuna vyanzo vya kuamikia zaidi juu ya hili.
Kuna vitu viwili hapo. Ukubwa wa dunia na kile tunacho kiona.
Kinachoonekana kulingana na upeo na ukomo wetu ni utambarare na ndio uhalisia wenyewe, ila umbile zima ni Duara.
Kama wanasema Flat tu kisha hawaendi mbele ziadi, basi kuna dosari kwao wao.
Kama hujaelewa nitakuelewesha siku nyingine usijali. Tukijaaliwa.
Sehemu nyoofu katika uso wa dunia.
Ogopa sana kamati ya propaganda ya tanu watu waliamian mdingi wetu ni super human
Utaiona tambarare kama ulivyo uhalisia wake, sababu hakuna aliye udiriki ukomo wa dunia, na hii inathibitisha ukubwa wake hata ukiwa angani ni hivyo hivyo.Ukienda kwenye safi za milima utaionaje dunia ni tambarare au ardhi imefanywa kama tandiko?
Nonsense.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka kabisa kwa kukuzingatia sehemu husika na kwa marejeo husika.
Many people have died/ dying from it. But some people still believe it is hoax.
We'll be waiting for more.
Do you know there are some people who can't get AIDS? although they might have the virus(HIV) in their bodily fluid?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ni duara,nukta,sio flat,uende mbele zaidi au urudi nyuma zaidi ni duara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka kabisa kwa kukuzingatia sehemu husika na kwa marejeo husika.
I think You've missed the point Executive Diary.Mkuu hiyo ni chai umenyweshwa apo.
BTW ni kweli carote zinasaidia kuona vizuri pia zinatibu baadhi ya magonjwa ya macho hii nime prove mimi mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah,Mkuu kuna site moja ya conspiracy theories wamewahi kusema hivyo kuna lizard people tunaishi nao walimtaja pia na Justin bieber
Natumia lugha nyepesi mno. Sasa sijui unapinga nini na unathibitisha nini.
Nasema hivi dunia ni duara ila kulingana na ukubwa wake ardhi ipo kama tandiko na huonekana tambarare(flat).
We have reports of missing ships around that area.Uhalisia wake ukoje ?