What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Nini maana ya tambarare ?
Mimi sio "flat earther" kwa kukata kabisa, bali naamini dunia ni Duara ila kwa ukubwa wake,sisi tunaona ni tambarare, na ardhi imefanywa kama tandiko.

Maana naona unatuchukulia poa sana, hatuko kibiashara bali sisi wengine tuna vyanzo vya kuamikia zaidi juu ya hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1, The Planet Earth is hollow and there could be other civilization living in it.

2, Prince Charles is a vampire.

3, Princess Diana was assassinated.

4, Queen Elizabeth is a cannibal.

5, An elite cohort of reptiles rule the earth, an Justine Bieber is one of them.

6, NASA know about a second SUN, and they have hidden it from us.

7, The moon does not exist (It is just a projection put there for a reason).

8, Barack Obama could control the weather

9, Obama is Malcolm X`s son.

10, Nigeria president Mr Muhammadu Buhari is a clone.
"4, Queen Elizabeth is a cannibal." Where did this conspiracy even start.
 
Zurri unanikoroga, sasa hiyo si ndio wanaita flat?

Kuna vitu viwili hapo. Ukubwa wa dunia na kile tunacho kiona.

Kinachoonekana kulingana na upeo na ukomo wetu ni utambarare na ndio uhalisia wenyewe, ila umbile zima ni Duara.

Kama wanasema Flat tu kisha hawaendi mbele ziadi, basi kuna dosari kwao wao.

Kama hujaelewa nitakuelewesha siku nyingine usijali. Tukijaaliwa.
 
Ukienda kwenye safi za milima utaionaje dunia ni tambarare au ardhi imefanywa kama tandiko?
Nonsense.
Mimi sio "flat earther" kwa kukata kabisa, bali naamini dunia ni Duara ila kwa ukubwa wake,sisi tunaona ni tambarare, na ardhi imefanywa kama tandiko.

Maana naona unatuchukulia poa sana, hatuko kibiashara bali sisi wengine tuna vyanzo vya kuamikia zaidi juu ya hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia ni duara,nukta,sio flat,uende mbele zaidi au urudi nyuma zaidi ni duara tu.
Kuna vitu viwili hapo. Ukubwa wa dunia na kile tunacho kiona.

Kinachoonekana kulingana na upeo na ukomo wetu ni utambarare na ndio uhalisia wenyewe, ila umbile zima ni Duara.

Kama wanasema Flat tu kisha hawaendi mbele ziadi, basi kuna dosari kwao wao.

Kama hujaelewa nitakuelewesha siku nyingine usijali. Tukijaaliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Many people have died/ dying from it. But some people still believe it is hoax.
We'll be waiting for more.

No one has died.feom AIDS, Absolutly no one. check your facts clearly.
Ceteris peribus,Every person who has passed away had a know disease which could be cured.
They just use HIV/AIDS as a scape goat.
 
Mkuu hiyo ni chai umenyweshwa apo.

BTW ni kweli carote zinasaidia kuona vizuri pia zinatibu baadhi ya magonjwa ya macho hii nime prove mimi mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
I think You've missed the point Executive Diary.
Ni kweli kwamba UK walikuwa wanaona ndege zikiwa mbali kwa sababu walikuwa wanakula karoti?
Nahisi UK walikuwa tayari na advanced technology ambayo ujerman alikuwa hajaijua na Uk hakutaka kufichua siri akawaambia wale karoti.

Karoti inaweza ikawa kweli inasaidia uwezo wa kuona, lakini jee ukila carot utakuwa na uwezo wa kuona vifu vya masafa marefu?
Jibu ni hapana, you need Technology.
 
Mkuu kuna site moja ya conspiracy theories wamewahi kusema hivyo kuna lizard people tunaishi nao walimtaja pia na Justin bieber
Yeah,

Kuna jamaa mmoja Mmarekani nilikuwa namuheshimu kabisa, akasema hivyo hivyo George W. Bush ni lizard.

Halafu akasema anatabiri George W. Bush atajiuzulu urais, kwa sababu siri yake kwamba ni lizard imejulikana.

George W. Bush akaenda kushinda urais na kuwa a two term president!
 
Haiwezi kuwa kama tandiko au kuonekana kama Tambarare kwa mtu aliyeko Morogoro mjini ambaye amezungukwa na milima ya Uluguru,labda inaweza kuonekana hivyo kwa wewe uliye jangwani.
Natumia lugha nyepesi mno. Sasa sijui unapinga nini na unathibitisha nini.

Nasema hivi dunia ni duara ila kulingana na ukubwa wake ardhi ipo kama tandiko na huonekana tambarare(flat).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom