What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Ndio maana najiuliza mbona unashupalia sana kuhusu ushindani na kupingwa ? Jibu linaonyesha ya kuwa hauko makini juu ya kuhakiki habari, na kila anaye nituhumu kwa ubishi na ushindani mwisho wake aibu inarudi kwake kwani wengi huwa hawajui wanachokiegemea au kukurupuka.

Swali langu halijakutaka unitajie abiria walio potea, swali langu limekuta unitajie watu japo watatu tu ambao wamepotelewa na ndugu na jamaa zao, ungekuwa makini hili swali ungekaa na ukajiuliza kwanini nimeuliza walio potelewa na ndugu na sio walio potea ? Sasa umakimi unatakiwa uwe nao.

Usichokijua ni kuwa, nimefunzwa kuutafuta ukweli tokea shinani yaani kwenye msingi,msingi ambao bilo huo msingi jengo halisimami.

Sasa nimekuliza "A" unajibu "B" yaani unajibu nisicho kuuliza. Kwa kutokuwa kwako makini, kule mwanzo ukajidai unanikosoa, hatimae ukakosea kunikosoa.

Nahitimisha ya kuwa, sina haja ya kuanzisha uzi sababu maswali yangu yako wazi na yamejitosheleza, narudia tena na tena, kama hivi tu hujibu ulichoulizwa nikianzisha mada itakuwaje ?

Umenikumbusha kitabu fulani kiitwacho "The Incoherence of the Incoherence" cha Ibn Rushd. Yaani kuna watu mnakosea kukosoa, yaani unahisi unamkosoa fulani kumbe unakosea wewe unaekosea.

Ukirudi tena, uongeze umakini mzee,ujibi unachoulizwa.
Sishangai ulicho andika hapa sababu umesema haujui kiingereza.
Karudie kusoma yale majina kisha angalia kwa makini, kila baada ya jina la muhanga na kazi au cheo chake kuna mabano linafuata jina la ndugu wa muhanga, kisha mambo ya anuani n.k.

Unaelewa nini ukiona father, wife, Sister?

Mimi nimekujibu ulicho uliza na taarifa za ziada.
Unajiaibisha mkuu wangu, na huu ndio tunaoita ubishi sio mijadala.
Ingekuwa majadiliano basi ungejipa muda kusoma taarifa nilizokuwekea na kuuliza usichoelewa na kukiri ulicho kosea.
 
Nachukizwa na wale wachungaji na mashehe waliokua wanapiga kelele kuhusu freemason. Wao kila kitu freemason mara usivae hiki, mara usiweke vidole hivi. Walivyo wajinga wanajifanya hawatumii vitu vya freemason halafu wanatumia Teknolojia ya hao wanaosema ni freemason kama vile Frequency, Waves, Wireless, Recording, CD nk nk. Katika kurekodi mahubiri yao

Sasa mtu kama huyu ni mpumbavu tu hutaki kutumia vitu vya freemason halafu unawahubiria watu na kurekodi kwenye CD zente Teknolojia ya Blueray ambayo imetoka kwa makafiri Marekani.

Ukiwa mjinga unakua mtaji wa kila mtu, Majamaa sijui waneishia wapi. Au Freemason wenyewe wamekwisha?
Pumzika kwa Amani Kanumba. Kifo chako ndio kilileta yote haya.
Ishiii kakudanganya nani Marekani ni Makafiri..?? kauli mbiu ya Taifa la Marekani "In God we Trust" afu useme eti ni makafiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sishangai ulicho andika hapa sababu umesema haujui kiingereza.
Karudie kusoma yale majina kisha angalia kwa makini, kila baada ya jina la muhanga na kazi au cheo chake kuna mabano linafuata jina la ndugu wa muhanga, kisha mambo ya anuani n.k.

Unaelewa nini ukiona father, wife, Sister?

Mimi nimekujibu ulicho uliza na taarifa za ziada.
Unajiaibisha mkuu wangu, na huu ndio tunaoita ubishi sio mijadala.
Ingekuwa majadiliano basi ungejipa muda kusoma taarifa nilizokuwekea na kuuliza usichoelewa na kukiri ulicho kosea.

Swali la msingi ni kutaja ndugu na ulichokiandika katika mabano nimekiona, ndio maana nikaandika kwanini hukujiuliza utaje majina ya ndugu ? Sababu kutokea kwa ndugu ndio tunaanza kuhakiki habari zenyewe au yenyewe.
 
Swali la msingi ni kutaja ndugu na ulichokiandika katika mabano nimekiona, ndio maana nikaandika kwanini hukujiuliza utaje majina ya ndugu ? Sababu kutokea kwa ndugu ndio tunaanza kuhakiki habari zenyewe au yenyewe.
Wewe si umesema sikujibu swali lako A bali nimejibu B?
Sasa nimekuliza "A" unajibu "B" yaani unajibu nisicho kuuliza.
Hao ndugu sikuwataja kwenye mabano?

Haukumbuki hata ulicho andika mwanzo na unataka tubishane, mimi naishia hapa ili watu wapime nani nitatizo na nani ana majibu sahihi na ukweli wa The Bermuda Triangle ni upi.
Hakuna swali ambalo umeuliza limekosa majibu, kama sikujibu anzisha thread nakuja.

Nilikuwa sipendi mabishano na wewe muda ule au muda huu sababu nilikuwa na kazi zangu zingine, nilihisi utaniharibia ratiba na ndicho kilichotokea.
Angalau basi ningekuwa nimesoma kitabu chochote walau kurasa 50 nikalala mapema ningepata kujifunza kitu kipya.
 
InterpretationEdit
Judaism sees the Messiah as a human male descendant of King David who will be anointed as the king of Israel and sit on the throne of David in Jerusalem. He will gather in the lost tribes of Israel, clarify unresolved issues of halakha, and rebuild the Holy Temple in Jerusalem according to the pattern shown to the prophet Ezekiel. During this time Jews believe an era of global peace and prosperity will be initiated, the nations will love Israel and will abandon their gods, turn toward Jerusalem, and come to the Holy Temple to worship the one God of Israel. Zechariah prophesied that any family among the nations who does not appear in the Temple in Jerusalem for the festival of Sukkoth will have no rain that year. Isaiah prophesied that the rebuilt Temple will be a house of prayer for all nations. The city of YHWH Shamma, the new Jerusalem, will be the gathering point of the world's nations, and will serve as the capital of the renewed Kingdom of Israel. Ezekiel prophesied that this city will have 12 gates, one gate for each of the tribes of Israel. The book of Isaiah closes with the prophecy "And it will come to pass, that from one new moon to another, and from one sabbath to another, all flesh will come to worship before Me, says YHWH".
 
Swali langu halijakutaka unitajie abiria walio potea, swali langu limekuta unitajie watu japo watatu tu ambao wamepotelewa na ndugu na jamaa zao, ungekuwa makini hili swali ungekaa na ukajiuliza kwanini nimeuliza walio potelewa na ndugu na sio walio potea ? Sasa umakimi unatakiwa uwe nao.
Wewe una matatizo makubwa sana ya kusoma na kuelewa na kisha kufanya mijadala sahihi.
Ulitaka nitaje majina tu ya ndugu wa wahanga bila kukutajia na majina ya wahanga wenyewe na ndugu zao ni nani na walikuwa wanaishi wapi?

Ungejuaje kwa mfano huyu John Zurri ni ndugu wa mhanga Hamis Zimmerman?
 
Swali langu halijakutaka unitajie abiria walio potea, swali langu limekuta unitajie watu japo watatu tu ambao wamepotelewa na ndugu na jamaa zao, ungekuwa makini hili swali ungekaa na ukajiuliza kwanini nimeuliza walio potelewa na ndugu na sio walio potea ? Sasa umakimi unatakiwa uwe nao.
Kuonesha ulikuwa haujasoma vizuri nilicho kujibu yaani ulishindwa hata kusoma hapo chini niliandika kabla ya majina ya wahanga na ndugu kwamba nimekuwekea vyote(wahanga na ndugu zao uliotaka majina yao).

Zingatia maandishi yaliyo kolezwa wino yaani bold font.
Baadhi ya abiria waliopotea kwanye meli moja tu iitwayo USS Cylops Tarehe 4 Machi 1918 wapo hapo chini na majina ya ndugu zao, anuani za makazi yao kabla ya kupotea, tarehe ya kujiunga na kazi n.k.

CAIN, JOHN J, Ensign, USNRF, (sister, Mrs Ellen Purcell, Fairview, Colo; appointed Colorado), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918
 
Ushawahi kumokosoa mtu kisha umekosea kumkosoa ? Nakujuza ya kuwa wewe umekosea kunikosoa. Ulipokosoa mimi kuandika "...hizo marine traffic" kisha ukatibibisha usahihi wa kile nilichokiandika. Ndio maana nilitaka nisikujibu.
Unaweza kujitetea kwamba hapo ulipotaka nikutajie hizo marine traffic ulikusudia idadi ya vyombo vya majini.
Unaweza kutaja hizo marine traffic ?
Sasa kwanini urudie kuuliza idadi ya kitu au vitu hivyo hivyo mara mbili kama hapo chini umeulizia meli zimefika ngapi?
Meli hizo zimefika ngapi mpaka sasa ?
Ukweli ni kuwa haukujua maana ya "authorities controlling marine traffic" na bado unabisha haukukosea tafsiri.
Hapo nilimaanisha mamlaka za kuongoza vyombo vya majini/baharini.

Ungeuliza nikutajie hizo authorities controlling marine traffic nigeona swali lako lina mantiki na umuhimu wa kujibiwa.
Na hili lingekuwa swali tofauti na idadi ya meli au vyombo vya usafiri wa majini.

Hadi sasa umejiona tatizo lako la ubishi wa kitoto au wa uswahilini?
Nilipo kuomba tuache mjadala ukadhani nimeshindwa hoja, mimi sijisikii vizuri au fahari kukuaibisha kama hivi, kiukweli najisikia vibaya nahisi watu wananiona mtu wa kupenda kujikweza.
 
Sijui kama haya yameshatajwa:

1. Rais wa Marekani huwa hachaguliwi na wapiga kura siku ya kupiga kura, bali, kuna kikundi cha watu [kama Freemason...whatever the fcuk that is] ambao ndo huamua nani awe Rais. I say it’s bullshit just like the rest of the conspiracy theories.

2. Kile kifimbo cha Nyerere eti hakuna mtu aliyekuwa anaweza kukibeba zaidi yake yeye. Mfano, eti alipokuwa anakiacha mezani, hakuna mtu mwingine aliyekuwa na uwezo wa kukinyanyua. Eti kilikuwa ni kizito kupita maelezo. Bullshit.

3.The legendary, the late great Tupac Amaru Shakur, faked his own death. Over the years there have been so many Tupac ‘sightings’. Mara sijui anaishi Cuba. Mara kaonekana huko Belize. Mara yupo Ethiopia. Conspiracy theorists ni kama hawana[ga] common sense. Imagine mtu kama Tupac with his big mouth eti akae kimya huko aliko na hizi social media platforms zilizopo. Pata picha Tupac angekuwa hai halafu ana platform ya Twitter. Pac was woke before woke was woke. Way ahead of his time.

4. Kupotea kwa ndege ya Malaysia, MH370 miaka 6 iliyopita. Ndege hiyo iliyokuwa inatokea Kuala Lumpur kuelekea Beijing, China, ilipotea tarehe 8, Machi 2014!
Mpaka leo hakuna ajuaye kilichoitokea ndege hiyo zaidi ya kwamba ilipotea.
Kukosekana huko kwa sababu iliyoifanya ndege hiyo kupotea ndiko kumetoa mwanya kwa kila aina ya conspiracy theory. Kuanzia kumezwa na black hole hadi kutekwa na Warusi...Putin 🤣. Bullshit.
 
Another one.

There was no holocaust, it is just a propaganda.

Yaani pamoja na ushahidi wa makaburi, mpaka uwepo wa wahanga wa mauaji ya wayahudi milioni sita yaliyofanywa na Nazi, bado kuna watu wanaamini hayo mauaji hayakufanyika.

Point yao kubwa wanadai kipindi hicho, idadi ya wayahudi wote waliokuwepo Ulaya ilikuwa haifiki milioni sita.

Lakini pia katika camp hakukuonekana gas chambers kama inavyodaiwa zilitumika kufanya mauaji.

Another one.

Global warming ain't real, it is a lie perpetuated by politicians, environmental stakeholders and media for financial motives.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingetakiwa itengenezwe bila kuwa na tofauti hata ndogo na hao ndege... vinginevyo ndege wangezikimbia hizo drons kila wakutanapo nazo.. MFANO TU MCHUKUE NGEDERE MPAKE RANGI TOFAUTI NA YAO THEN MWACHIE AKACHANGANYIKE NA WENZIE HUKU AHANA RANGI KAMA YA WENZAO... wallah watakesha wanfukuzana mpaka wafe
Basi hawa jamaa wana mahesabu ya mbali sana.
 
By Definition kwa ufupi sana.

Cosmology ni study of the origins and destination of the universe.

Sasa nadharia ya "Big Bang" (Kishindo Kikubwa) kama chanzo cha ulimwengu na maisha.

Nadharia hii si ya kweli hata kwa bahati mbaya.
Sasa haujaniambia bado hiyo nadharia inasemaje.
 
Mkuu hiyo ni chai umenyweshwa apo.

BTW ni kweli carote zinasaidia kuona vizuri pia zinatibu baadhi ya magonjwa ya macho hii nime prove mimi mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalam wa tiba za mbogamboga na matunda bana.. Eti uliprove mwenyewe! Umeprove wakati hata neno karoti huwezi kuliandika? Lipia king'amuzi uanze kuona channel za documentaries hasa NAT GEO, DISCOVERY, VIASAT, SMITHONIAN nk.. Hiki nilichokiongelea huwezi kukiona Channel Ten au TBC 2
 
Sasa haujaniambia bado hiyo nadharia inasemaje.
everything in the universe imetokana na huo mlipuko wanakwambia wana hadi ushahidi wa radiation walizokuta deep in the ground





😷😷😷😷😷😷😷😷
 
Kwa nini maiti haikuonyeshwa na kwa nini alitupwa baharini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Osama alikuwa ni muislam.
Islamic law requires burial within 24 hrs
Maziko waliyomfanyia ya kuzikwa baharini ni aina ya maziko ambayo uislam unayakubali if was the probably option available.
Sababu ya kumzika baharini ni kuepusha eneo lake la maziko to become a shrine or monument to him for other terrorists.
Kumbuka al-Qaeda hawakupendezwa na hiko kitendo cha kuuliwa.

Kwanini unadhani ilikuwa ni lazima kupiga picha ya marehemu na kuwawekea mtandaoni? Hata marehemu anastahili kustiriwa haijalishi enzi za uhai wake alikuwa tishio vipi.
So kumzika mapema, bila picha, na baharini was the only way they could avoid committing an offense against Islam.
 
Kuna vitu viwili hapo. Ukubwa wa dunia na kile tunacho kiona.

Kinachoonekana kulingana na upeo na ukomo wetu ni utambarare na ndio uhalisia wenyewe, ila umbile zima ni Duara.

Kama wanasema Flat tu kisha hawaendi mbele ziadi, basi kuna dosari kwao wao.

Kama hujaelewa nitakuelewesha siku nyingine usijali. Tukijaaliwa.
Kwahiyo ni duara sio tufe?
 
Back
Top Bottom