What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Maziko waliyomfanyia ya kuzikwa baharini ni aina ya maziko ambayo uislam unayakubali if was the probably option available.

Umepata wapi hizi habari ?

Hivi ni kweli chaguzi zilikuwa zimeisha ? Mpaka akazikwa(kama unavyodai) kwenye maji ? Ufafanuzi juu ya hili tafadhali.
Sababu ya kumzika baharini ni kuepusha eneo lake la maziko to become a shrine or monument to him for other terrorists.

Kuna walio fanya makubwa na utukufu mkubwa mno kuliko huyo Usama, lakini wamezikwa.

Hii si hoja bibie.

Pili, kwanini iwe hivyo unavyodhani wakati mtu alikuwa katika mlengo ambao hata dini yake unaukataa ?
 
Im sorry .
Nadhani utakuwa hujanielewa vizuri.. mimi nnajua maana ya deja vu vizuri tu na nilishaona watu wenye real deja vu pale milembe.. na deja vu inaweza kuwa explained kisayansi na sio conspiracy..

Lakini point yangu ambayo hujanielewa ni kwamba wazee wa conspiracy theory wametumia deja vu kama evidence ya reincarnation.. ndio kitu ambacho ninejaribu kuelezea..

Yaani watu wanatumia ile feelinga ya familiarity ya sehemu ambayo mtu hajawahi kufika kama evidence ya kusupport conspiracy ya incarnation.. kwamba may be kwenye past life yako ulikua unaishi ile sehemu ambayo unahisi ni familiar..
Ooooopss, my bad!
Akili ilishachoka nisamehe bure.
 
Umepata wapi hizi habari ?

Hivi ni kweli chaguzi zilikuwa zimeisha ? Mpaka akazikwa(kama unavyodai) kwenye maji ? Ufafanuzi juu ya hili tafadhali.


Kuna walio fanya makubwa na utukufu mkubwa mno kuliko huyo Usama, lakini wamezikwa.

Hii si hoja bibie.

Pili, kwanini iwe hivyo unavyodhani wakati mtu alikuwa katika mlengo ambao hata dini yake unaukataa ?
Unazungumzia habari gani? Kwamba mazishi ya kwenye maji ni aina ya maziko yanayokubalika kiislam au?

Ndio option iliyokuwa imebaki kwa sababu, kumzika eneo linalojulikana pangeleta mikusanyiko isiyo ya msingi and no country would take his body, providing a grave for followers to flock to, so they opted to bury him at sea.

Walitaka kuepusha hilo, unadhani ni option gani ilibaki mbali na kumzika baharini watu wasipopajua?
 
Unazungumzia habari gani? Kwamba mazishi ya kwenye maji ni aina ya maziko yanayokubalika kiislam au?

Ndio option iliyokuwa imebaki kwa sababu, kumzika eneo linalojulikana pangeleta mikusanyiko isiyo ya msingi and no country would take his body, providing a grave for followers to flock to, so they opted to bury him at sea.

Walitaka kuepusha hilo, unadhani ni option gani ilibaki mbali na kumzika baharini watu wasipopajua?
ka ushahidi basi mamy👼👼👼👼
 
Wanaodai Osama bin Laden hakuuawa 2011 ukiwaambia hiyo hoja yako kuhusu picha ya maiti ya Osama watakuuliza mbona picha za maiti ya Abu Musab al-Zarqawi, gaidi maarufu wa Iraq aiiyeuliwa na wamarekani mwaka 2006 zilioneshwa? Au huyo maiti yake haikustahili kusitiriwa ila ya Osama ndio imestahili kusitiriwa?

Wapo wengine wanaodai Osama alifariki tokea mwaka 2001.

Binafsi nakubali kwamba Osama aliuliwa na wamarekani mwaka 2011.

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda hawakutaka hata alama yake ibaki.
Na pengine wana picha ila hawajataka kuziachilia kwa sababu wanazozijua wenyewe.
Pangine waliona wafuasi wake wangeona hizo picha pangeinua mihemko isiyo ya lazima.
Pengine waliamua kutokuziachia ili wafuasi waendelee kuamini hajafa. Aaahhh hata sijui, ila nina imani wana sababu ya kufanya vile.
 
ka ushahidi basi mamy[emoji72][emoji72][emoji72][emoji72]
Ushahidi gani , wa mazishi ya baharini?
Si umesikia hamna picha jamani. Au maandiko yanayoonesha kwamba maziko ya baharini yanakubalika kiislam?
If yes, unaweza tuu ukagoogle kuhusu hilo maana sina ushahidi. Sijasoma popote kuhusu hilo ila nimeyasikia yakizungumzwa na hao hao waislam.
 
Ushahidi gani , wa mazishi ya baharini?
Si umesikia hamna picha jamani. Au maandiko yanayoonesha kwamba maziko ya baharini yanakubalika kiislam?
If yes, unaweza tuu ukagoogle kuhusu hilo maana sina ushahidi. Sijasoma popote kuhusu hilo ila nimeyasikia yakizungumzwa na hao hao waislam.
duh hii ngumu kumeza

Btw, tuachane nayo😑😑😑😑😑
 
Unazungumzia habari gani? Kwamba mazishi ya kwenye maji ni aina ya maziko yanayokubalika kiislam au?

Ndio option iliyokuwa imebaki kwa sababu, kumzika eneo linalojulikana pangeleta mikusanyiko isiyo ya msingi and no country would take his body, providing a grave for followers to flock to, so they opted to bury him at sea.

Walitaka kuepusha hilo, unadhani ni option gani ilibaki mbali na kumzika baharini watu wasipopajua?

Ndio nazungumzia hilo hilo kuzikwa mtu baharini.

Option ilikuwepo, ndio maana kuna watu kwa kupitia hoja hii, wanakataa juu ya kifo cha Usama na kuzikwa kwenye maji.

Swali kwanini Usama tu ? Usama mtu mdogo sana na wengi walikuwa wanampinga ila wachache sana ndio walio wanamkubali, kwa lipi wahofie kaburi lake lisijulikane ? Usama mtu mdogo sana.
 
Ndio nazungumzia hilo hilo kuzikwa mtu baharini.

Option ilikuwepo, ndio maana kuna watu kwa kupitia hoja hii, wanakataa juu ya kifo cha Usama na kuzikwa kwenye maji.

Swali kwanini Usama tu ? Usama mtu mdogo sana na wengi walikuwa wanampinga ila wachache sana ndio walio wanamkubali, kwa lipi wahofie kaburi lake lisijulikane ? Usama mtu mdogo sana.

"Osama ni mtu mdogo sana".
" wengi walikuwa wanampinga".
" wachache ndio walikuwa wanamkubali".

Come on, How can I take your question seriously?
 
Kwa hiyo kumbe nyumbani kwetu ni wapi
Another one ni kwamba "we (humans) are prisoners and the earth is the prison, our ancestors commited crimes and were sent here.." the proof that supports this conspiracy is that our bodies are not compartible with life on earth thats why we get diseases also UFO ndio prison guards wanaokuja kutucheki kama tunaendelea vizuri huku..

Dimension of time ni different kati ya duniani na our mother (orign ) planet so wao wanaona kama wametufunga kwa miaka michache lakini kwa time ya duniani tupo kwa millions of years... siku kifungo chetu kikisha ndio siku ambayo christians wanareffer kama second comming ya messiah ambapo tutakuja kuchukuliwa na kupelekwa nyumbani kwetu ambapo hakuna magonjwa wala kifo sababu maisha ya huko ni compartible na miili yetu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawajua watoto wabishi? Atasema MIMI nafagia vizuri, I know what am doing.
Hizi zilikuwa busara za wazee, ili kumakinisha jambo na kulifanya kwa ufanisi mkubwa zaidi, kwa ufupi njia walizo kuwanatumia sio nzuri sababu huwajenga vijana bila kujua sababu, lakini kwa mfano kama huu ni kufanya usije kujiumiza au kuonekana kituko kimuonekanao, kama vile tulivyokuwa tunaambiwa ukifagia usiku unakimbiza au unafukuza RIZKI, lakini pale walikuwa wanatumia hekima kwa kulipa uzito jambo, kwani kufafia usiku ilikuwa inabakiza uchafu mwingi yaani kama hujafagia vile.

Nachokiona mimi bora tu wangekuwa wana tuchana wazi wazi, kwamba usifagie usiku, sababu ufanisi wa jambo hilo unakuwa mdogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom