What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

The craziest conspiracy theory has got to be the existence of an all knowing, all capable and all loving God.

It doesn't get any crazier than that.

Sent from my typewriter using Tapatalk
[emoji848]
 
"Osama ni mtu mdogo sana".
" wengi walikuwa wanampinga".
" wachache ndio walikuwa wanamkubali".

Come on, How can I take your question seriously?

Chunguza, mimi nilikuwa naona nasaha anapewa na wanazuoni na wengi walijua ujinga wake kitambo sana, kiuhalisia ni mdogo, ila vyombo vya habari vimemkuza, a uongo haujawahi kuushinda ukweli hata kwa bahati mbaya.

Nikuulize, swali, hivi wewe habari za Usama unazipata toka kwenye vyanzo gani ? Bila shaka ni hivi maarufu, kama vile BBC, CNN, aljazeera na mfano wake, sasa kuna vyanzo vingine vya kuaminika na sahihi zaidi kuliko hivyo nilivyo vitaja.
 
Unawajua watoto wabishi? Atasema MIMI nafagia vizuri, I know what am doing.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo anapigwa makofi tu.

Au unamfunza kwa hekima, una muacha afagie kisha mkiamka salama, una muonyesha madudu yake, kisha unarudi kwenye kauli ya mwanzo ya kuwa "Hivi ndio huwa tunawafunza". Umemaliza.
 
Kuna uzi wa LIKUD kwamba mkewe Kobe Bryant anahusika kwenye kifo cha mumewe na mwanae. Tulibishana nae sana kwenye ule uzi ila ndio hivyo, nayo ni conspiracy theory whether imeanzia kwenye vijiwe vya bongo au mbele. Kutaka ku-prove au dis-prove conspiracy theories hakuna tija cause utata wake ndio unafanya ziwe conspiracy theories in the first place. Watu hadi walioneshwa birth certificate ya Obama ila bado kuna walio stick kwenye theory kwamba ile certificate ni fake na Obama si mmarekani !!!
 
Sasa mbona unataka kunirudisha katika line ya kuamini conspiracy[emoji53][emoji53]
Before someone uncovered the truth to the world about the Atomic City, and Los Alamos, before Hiroshima and Nagasaki got bombed by nukes everything about atomic bomb and Atomic City seemed to be a conspiracy theory.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama haya yameshatajwa:

1. Rais wa Marekani huwa hachaguliwi na wapiga kura siku ya kupiga kura, bali, kuna kikundi cha watu [kama Freemason...whatever the fcuk that is] ambao ndo huamua nani awe Rais. I say it’s bullshit just like the rest of the conspiracy theories.

2. Kile kifimbo cha Nyerere eti hakuna mtu aliyekuwa anaweza kukibeba zaidi yake yeye. Mfano, eti alipokuwa anakiacha mezani, hakuna mtu mwingine aliyekuwa na uwezo wa kukinyanyua. Eti kilikuwa ni kizito kupita maelezo. Bullshit.

3.The legendary, the late great Tupac Amaru Shakur, faked his own death. Over the years there have been so many Tupac ‘sightings’. Mara sijui anaishi Cuba. Mara kaonekana huko Belize. Mara yupo Ethiopia. Conspiracy theorists ni kama hawana[ga] common sense. Imagine mtu kama Tupac with his big mouth eti akae kimya huko aliko na hizi social media platforms zilizopo. Pata picha Tupac angekuwa hai halafu ana platform ya Twitter. Pac was woke before woke was woke. Way ahead of his time.

4. Kupotea kwa ndege ya Malaysia, MH370 miaka 6 iliyopita. Ndege hiyo iliyokuwa inatokea Kuala Lumpur kuelekea Beijing, China, ilipotea tarehe 8, Machi 2014!
Mpaka leo hakuna ajuaye kilichoitokea ndege hiyo zaidi ya kwamba ilipotea.
Kukosekana huko kwa sababu iliyoifanya ndege hiyo kupotea ndiko kumetoa mwanya kwa kila aina ya conspiracy theory. Kuanzia kumezwa na black hole hadi kutekwa na Warusi...Putin [emoji1787]. Bullshit.
namba 4 nadhani kuna conspirancy hapo or whatever the f*c it is...... haiwezekani ndege ipotee tu hewani kwa technology iliyopo leo!

naamini kuna wajanja wachache wanajua what happened ila hawataki kutoa taarifa!
 
Osama alikuwa ni muislam.
Islamic law requires burial within 24 hrs
Maziko waliyomfanyia ya kuzikwa baharini ni aina ya maziko ambayo uislam unayakubali if was the probably option available.
Sababu ya kumzika baharini ni kuepusha eneo lake la maziko to become a shrine or monument to him for other terrorists.
Kumbuka al-Qaeda hawakupendezwa na hiko kitendo cha kuuliwa.

Kwanini unadhani ilikuwa ni lazima kupiga picha ya marehemu na kuwawekea mtandaoni? Hata marehemu anastahili kustiriwa haijalishi enzi za uhai wake alikuwa tishio vipi.
So kumzika mapema, bila picha, na baharini was the only way they could avoid committing an offense against Islam.
kifo cha osama ni story ya upande mmoja, kwa jinsi US wanavyopenda sifa sidhani kama kuna uhalisia katika maneno yao!


anyway, hii dunia ina mambo mengi ambayo kwa akili ya kawaida doesnt make sense, ila kwa mtu anaetazama nje ya box kuna vitu haviko sawa!
 
namba 4 nadhani kuna conspirancy hapo or whatever the f*c it is...... haiwezekani ndege ipotee tu hewani kwa technology iliyopo leo!

naamini kuna wajanja wachache wanajua what happened ila hawataki kutoa taarifa!

Well, sawa. Ili mradi kama unaweza tu kuthibitisha unachosema au unachokidhania....

Zaidi ya hapo, ni mwendelezo ule ule tu wa porojo za vijiweni.
 
Labda hawakutaka hata alama yake ibaki.
Na pengine wana picha ila hawajataka kuziachilia kwa sababu wanazozijua wenyewe.
Pangine waliona wafuasi wake wangeona hizo picha pangeinua mihemko isiyo ya lazima.
Pengine waliamua kutokuziachia ili wafuasi waendelee kuamini hajafa. Aaahhh hata sijui, ila nina imani wana sababu ya kufanya vile.
...... pengine hawakumuua siku ile........[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Well, sawa. Ili mradi kama unaweza tu kuthibitisha unachosema au unachokidhania....

Zaidi ya hapo, ni mwendelezo ule ule tu wa porojo za vijiweni.
Nyani, sina uthibitisho zaidi ya kujiuliza maswali kama binadamu wa kawaida tu......

huwa najiuliza, ilikuaje ndege kubwa vile, ipoteee tu bila kunaswa na vyombo vya kisasa vilivyopo duniani leo, na wasijue hata ilikopotelea!

hakuna mtu mpaka leo amewahi kuelezea nini kiliikumba ile ndege, na hapo ndipo maswali yanaibuka!
 
Nyani, sina uthibitisho zaidi ya kujiuliza maswali kama binadamu wa kawaida tu......

huwa najiuliza, ilikuaje ndege kubwa vile, ipoteee tu bila kunaswa na vyombo vya kisasa vilivyopo duniani leo, na wasijue hata ilikopotelea!

hakuna mtu mpaka leo amewahi kuelezea nini kiliikumba ile ndege, na hapo ndipo maswali yanaibuka!

Nimekupata.

Nami nina maswali kama hayo hayo yako.

Yaani kweli kabisa na teknolojia iliyopo iweje hilo lidege likubwa hivyo lipotee tu hivi hivi bila hata kuwepo na fununu limepotelea wapi?

Ila kwa upande mwingine, teknolojia nayo si mwarobaini wa kila kitu.

Kuna mambo mengi tu ambayo binadamu hatuyajui.
 
Nimekupata.

Nami nina maswali kama hayo hayo yako.

Yaani kweli kabisa na teknolojia iliyopo iweje hilo lidege likubwa hivyo lipotee tu hivi hivi bila hata kuwepo na fununu limepotelea wapi?

Ila kwa upande mwingine, teknolojia nayo si mwarobaini wa kila kitu.

Kuna mambo mengi tu ambayo binadamu hatuyajui.
Hiyo ndege mbona vipande viliokotwa pwani ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom