What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Nachukizwa na wale mapadri na mashehe waliokua wanapiga kelele kuhusu freemason. Wao kila kitu freemason mara usivae hiki, mara usiweke vidole hivi. Walivyo wajinga wanajifanya hawatumii vitu vya freemason halafu wanatumia Teknolojia ya freemason kama vile Frequency, Waves, Wireless, Recording, CD nk nk. Katika kurekodi.

Sasa mtu kama huyu ni mpumbavu tu hutaki kutumia vitu vya freemason halafu unawahubiria watu na kurekodi kwenye CD zente Teknolojia ya Blueray ambayo imetoka kwa makafiri Marekani.

Ukiwa mjinga unakua mtaji wa kila mtu, Majamaa sijui waneishia wapi. Au Freemason wenyewe wamekwisha?
Pumzika kwa Amani Kanumba. Kifo chako ndio kilileta yote haya.

1. Freemason ni nini?
2. Ni ipi hiyo teknolojia ya freemason?
3. Kuna ushahidi gani kwamba Frequency, Waves, Wireless, Recording, na CD ni teknolojia ya freemason ?
Elezea kwa ufupi tu mkuu nitakuelewa na wengine utakuwa umetupa mwanga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That Apple products are among Satan’s own technological inventions on earth, and that’s why he honors himself with the bitten apple as the logo for all Apple products. The bitten apple is said to signify his (Satan’s) victory in Eden. So Steve Jobs is just an errand boy being remote-controlled by the top dog himself who is operating from the unknown corners of the universe.
 
Nachukizwa na wale mapadri na mashehe waliokua wanapiga kelele kuhusu freemason. Wao kila kitu freemason mara usivae hiki, mara usiweke vidole hivi. Walivyo wajinga wanajifanya hawatumii vitu vya freemason halafu wanatumia Teknolojia ya freemason kama vile Frequency, Waves, Wireless, Recording, CD nk nk. Katika kurekodi.

Sasa mtu kama huyu ni mpumbavu tu hutaki kutumia vitu vya freemason halafu unawahubiria watu na kurekodi kwenye CD zente Teknolojia ya Blueray ambayo imetoka kwa makafiri Marekani.

Ukiwa mjinga unakua mtaji wa kila mtu, Majamaa sijui waneishia wapi. Au Freemason wenyewe wamekwisha?
Pumzika kwa Amani Kanumba. Kifo chako ndio kilileta yote haya.
Unataka watumie nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
That Apple products are among Satan’s own technological inventions on earth, and that’s why he honors himself with the bitten apple as the logo for all Apple products. The bitten apple is said to signify his (Satan’s) victory in Eden. So Steve Jobs is just an errand boy being remote-controlled by the top dog himself who is operating from the unknown corners of the universe.
umeleta na prove zako safii👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
The craziest conspiracy theory has got to be the existence of an all knowing, all capable and all loving God.

It doesn't get any crazier than that.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
George Bush is a lizard.

Sent from my typewriter using Tapatalk
Mkuu ni kwanini wanasema hivyo?

Halafu kuna Finland conspiracy and the state of Wyoming doesn't exist. Government ina fake na ya kwamba popote pale hauwezi kusikia mtu ametoka kwenye hiyo state. Najua ni Conspiracy theory lakini inaweza ikawa na fact inayoweza fanya mtu aiamini amini.
Unalizungumziaje mkuu?
 
1.Freemason ni nini?
2.Ni ipi hiyo teknolojia ya freemason?
3.kuna ushahidi gani kwamba Frequency, Waves, Wireless, Recording, na CD ni teknolojia ya freemason ?
Elezea kwa ufupi tu mkuu nitakuelewa na wengine utakuwa umetupa mwanga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mmeelewa comment yangu.?
Kunasehem umeona nasema naamini masuala ya Freemason?
Hizo teknolojia zote zinatoka kwa watu ambao hao mashehe na wachubgaji wanasema ni freemason/makafiri. Ndio nawashangaa kwanini watumie.?
 
Mkuu ni kwanini wanasema hivyo?

Halafu kuna Finland conspiracy and the state of Wyoming doesn't exist. Government ina fake na ya kwamba popote pale hauwezi kusikia mtu ametoka kwenye hiyo state. Najua ni Conspiracy theory lakini inaweza ikawa na fact inayoweza fanya mtu aiamini amini.
Unalizungumziaje mkuu?
Hiyo George Bush is a lizard ilikuwa conspiracy theory inasema Bush, pamoja na wanasiasa wengi, si watu, ni aina fulani ya mijusi kutoka nje ya dunia waliojibadilisha kuwa wanaonekana kama watu.

Lizard people: the greatest political conspiracy ever created

Wyoming ipo mpaka Makamu wa Rais wa zamani Dick Cheney ninkwao uko, ila kuna watu wachache sana mpaka inakuwa vigumu kukutana na mtu anayetoka huko. Halafu wengi hawatoki kwao.

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
That Corona virus was actually man made in a lab by China in Wuhan and it was accidentally realised into the city by a lab employee. They made this Virus as a bioweapons on their own people.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dean Koontz wrote about it in one of his books I think is "The Eyes of Darkness "in the 80s.
 
Tusiojua kiinglish tunaruhusiwa kuchangia chochote?

Yaani kama Doomsday conspiracy... mambo ya UFO?

Kama tunaruhusiwa basi muwege mnatutafsiria mlichoandika maana wengine wazazi wetu hawakuwa na ada ya kutusomesha St. Mtakatifu english medium academy schools
 
Back
Top Bottom