What are some crazy interesting conspiracy theories?

What are some crazy interesting conspiracy theories?

Real people have lost their relatives and friends in those ships,
Safi kabia, unaweza kutaja majina hata ya watu watatu tu ambao walipoteza ndugu na marafiki katika Meli hizo ?

Meli hizo zimefika ngapi mpaka sasa ?
and before accidents the ships were communicating with the authorities controlling marine traffic.

Unaweza kutaja hizo marine traffic ?
Tracking devices lost signals around that area,
Umesikia toka kwa nani habari hizi ? Je ulizihakiki kabla au ulizibeba na kuzisambaza ?
what proof do you want?

Naona umejihami kaka mkubwa. Ushahidi lazima uwafikiane na hali halisi, ndio maana tunahoji ili tuafikiane na hali halisi.
If you are not satisfied by that evidence then show us your counter example proof.
Huku bado sijafika, ndio maana nimetaka ushahidi. Ikitokea sijaridhika na haya maelezo yako,maswali yangu yatathibitisha hilo au nitakwambia.

Nimeona una kitu cha ziada ndio maana nauliza maswali mengi, ili nipate majibu yenye kutosheleza na kukidhi haja.
 
Kuna kitu watu wanaita deja vu.. hii huwa ni feeling ya familiarity kwa situation au sehemu ambayo hujawahi fika au experience before..
Mfano uko unapiga story flani na washkaji zako mnacheka then akaja mtu mwingine kuwajoin. Sasa wewe unahisi kama hilo tukio lilishawahi kutokea mazingira hayo hayo.. au unaenda sehemu mpya ambayo hukawahi kufika lakini unahisi kama umewahi kuiona hio sehemu mahala flani... hio ndio inaitwa deja vu..

Sasa wazee wa conspiracy wanasema kwamba tukifa tunarudi tena duniani kama watu wengine.. so inawezekana wewe hapo kwenye maisha yako yaliyopita ulikua unaishi Nairobi una mke na watoto. Baada ya kufa ndo umezaliwa bongo.. kwahio siku utakapoenda nairobi utahisi kama vile unapafananisha flani hivi..


NB.. deja vu ni moja ya sign ya mental disorder..
 
That Jesus is black, Ronald Reagan is the devil (Look at his name, six letters each) and the government (US) is lying about 9/11.
 
Safi kabia, unaweza kutaja majina hata ya watu watatu tu ambao walipoteza ndugu na marafiki katika Meli hizo ?

Meli hizo zimefika ngapi mpaka sasa ?


Unaweza kutaja hizo marine traffic ?

Umesikia toka kwa nani habari hizi ? Je ulizihakiki kabla au ulizibeba na kuzisambaza ?


Naona umejihami kaka mkubwa. Ushahidi lazima uwafikiane na hali halisi, ndio maana tunahoji ili tuafikiane na hali halisi.

Huku bado sijafika, ndio maana nimetaka ushahidi. Ikitokea sijaridhika na haya maelezo yako,maswali yangu yatathibitisha hilo au nitakwambia.

Nimeona una kitu cha ziada ndio maana nauliza maswali mengi, ili nipate majibu yenye kutosheleza na kukidhi haja.
I knew it.
Ulikuwa unatafuta ligi, tutaharibu uzi wa watu.
Fanya hivi anzisha thread maalumu ya kupinga habari ya Bermuda Triangle kisha ninukuu nije tujadili yote.

Angalizo sipendelei mabishano ya kutafuta sifa au nani mkali.
Mabishano ya kutaka kuona nani kashinda au kashindwa, ikiwa lengo lako ni hili basi mimi nimesha shindwa kabla hatuja anza mjadala wenyewe. Case closed.
Najadiliana kutafuta ukweli na kujifunza tu.

Mfano sioni faida au mantiki ya mabishano kati ya kuku na yai kipi kilitangulia?
 
Unaweza kutaja hizo marine traffic ?
Hili ni mfano wa maswali ambayo hayana maana sababu imeonesha lugha imekusumbua kidogo sijui katika kuandika au kuelewa maana!
Sijui umeelewa nini maana ya marine traffic controllers?
Maana ulicho uliza ni kama umeuliza nikutajie vyombo vyote vya baharini!!
Wakati mimi nimesema mamlaka za uongozaji vyombo vya usafiri wa baharini (au kwenye maji/majini).

Ili kusiwe na mikanganyiko kama hii ulitakiwa uniulize maswali au unipinge kwa lugha niliyojengea hoja (kiingereza).
 
I knew it.
Ulikuwa unatafuta ligi, tutaharibu uzi wa watu.
Fanya hivi anzisha thread maalumu ya kupinga habari ya Bermuda Triangle kisha ninukuu nije tujadili yote.

Angalizo sipendelei mabishano ya kutafuta sifa au nani mkali.
Mabishano ya kutaka kuona nani kashinda au kashindwa, ikiwa lengo lako ni hili basi mimi nimesha shindwa kabla hatuja anza mjadala wenyewe. Case closed.
Najadiliana kutafuta ukweli na kujifunza tu.

Mfano sioni faida au mantiki ya mabishano kati ya kuku na yai kipi kilitangulia?
Unaweza ukaanzisha hiyo mada kisha ukajibu maswali yangu niliyo kuuliza, uzuri maswali yangu yako wazi sana, sababu mimi nahoji na wewe ndio unathibitisha. Sasa labda kama ni mwiko kuhojiwa ziaid ya kuchukua tu mambo, hili ni tatizo.

Kijana unaonekana hupendi kuulizwa maswali ya msingi,yaani mihimili, sisi wengine hatuko hivyo, halafu kitu kama unakijua unakijua tu haina haja ya kutoa udhuru au kupanga muda au hivi na vile.

Huu ni muendelezo wako katika kujihami, haiwezekani unaulizwa maswali kisha unajihami kwa kudai natafuta ushindi au kushindana, hii sio kweli kabisa na unaikosea adabu elimu na watu wake. Hapo hakuna swali hata moja linalo onyesha ubishani zaidi ya kitaka kujua. Kujihami kwako kunaonyesha ya kuwa hulijui jambo zaidi ya kulichukia kama stori na kufurahia uandishi wa habari za watu husika.

Kama uko makini,hayo maswqli yangu yamejikita katika kuutafuta ukweli, labda kama huna elimu ya uhakiki wa habari.

Nilitaka nisijikujibu, ila imenibidi nifanye kwa ufupi na kadiri ya haja.

Nimemaliza ....
 
Ili kusiwe na mikanganyiko kama hii ulitakiwa uniulize maswali au unipinge kwa lugha niliyojengea hoja (kiingereza).
Sijui Kiingereza kaka mkubwa, ndio maana nimeuliza swali kwa mtindo huo. Kwahiyo cha msingi, rekebisha nilipo kosea kisha jibu unachokijua tupate faida.

Pili, ondoa suala la kupingwa inaonekana hujiamini,sipo hapa kukupinga bali nataka kuujua ukweli kwa kuhoji. Sasa kama maswali yangu ya msingi yamekushinda, unaweza kusema tu kwamba,umeshindwa kuliko kupoteza muda na kulalama,hapa hatushindani na hakuna shani za ushindi.
 
maswali yangu ya msingi yamekushinda
Hii ni dhahana yako na sio uhalisia.
Anzisha uzi uliza maswali hayo hayo niite nitakuja usihofu.
Mashariti kuwe na maswali yenye manufaa au yawe na mantiki sio kama swali nililo kunukuu kukuonesha tatizo la maswali yako.
 
Hii ni dhahana yako na sio uhalisia.
Anzisha uzi uliza maswali hayo hayo niite nitakuja usihofu.
Mashariti kuwe na maswali yenye manufaa au yawe na mantiki sio kama swali nililo kunukuu kukuonesha tatizo la maswali yako.

Ushawahi kumokosoa mtu kisha umekosea kumkosoa ? Nakujuza ya kuwa wewe umekosea kunikosoa. Ulipokosoa mimi kuandika "...hizo marine traffic" kisha ukatibibisha usahihi wa kile nilichokiandika. Ndio maana nilitaka nisikujibu.

Kijana, mimi sina shida ya kuanzisha uzi huu, kama umeshindwa kujibu hapa hata kama kungekuwa na haja ya kuandika uzo huo, huko kwenye uzi nina uhakika usingeweza kujibu haya maswali.

Ukitaka kuona kama ni uhalisia ni wewe kutaka mimi nifungue uzi wakati sio lazima mimi kufungua huo uzi. Ungekuwa wewe umeniuliza maswali hayo ningekuwa nimeshakujibu kitambo sana, aidha kama najua au kama sijui ningekwambia sijui. Sasa msipende kuzidhulumu nafsi zenu kwa kuzioa mizigo isiyo stahili.
 
Ushawahi kumokosoa mtu kisha umekosea kumkosoa ? Nakujuza ya kuwa wewe umekosea kunikosoa. Ulipokosoa mimi kuandika "...hizo marine traffic" kisha ukatibibisha usahihi wa kile nilichokiandika. Ndio maana nilitaka nisikujibu.

Kijana, mimi sina shida ya kuanzisha uzi huu, kama umeshindwa kujibu hapa hata kama kungekuwa na haja ya kuandika uzo huo, huko kwenye uzi nina uhakika usingeweza kujibu haya maswali.

Ukitaka kuona kama ni uhalisia ni wewe kutaka mimi nifungue uzi wakati sio lazima mimi kufungua huo uzi. Ungekuwa wewe umeniuliza maswali hayo ningekuwa nimeshakujibu kitambo sana, aidha kama najua au kama sijui ningekwambia sijui. Sasa msipende kuzidhulumu nafsi zenu kwa kuzioa mizigo isiyo stahili.
Unasikia mkuu?
Umeshinda, nimeshindwa, sijui, unajua, hujakosea, nimekosea.
Nimemaliza kesi mkuu wangu.

Tunaharibu mada kuu, kuna aina nyingi za uraibu.
Kuna wengine wana uraibu (addiction) wa kupenda kushindana kwa mabishano hata yasiyo na ulazima.

Kuna wakati unaweza ukahisi wanao kusomeni au kusikilizeni wanakuona wewe bingwa au unajua sana kumbe unajiaibisha tu.
Unachohisi umeshinda kumbe kiuhalisia umeongea kitu cha ajabu na kudhihirisha udhaifu wako.
Msimamo wangu siku zote ni kwamba kauli yangu sio sheria na sijui mambo yote. Na kila nilijualo kuna mtu mwingine anaye jua zaidi kuhusu hilo jambo.
 
Safi kabia, unaweza kutaja majina hata ya watu watatu tu ambao walipoteza ndugu na marafiki katika Meli hizo ?
Kuna wakati ukiona mtu hapendi muendelee mjadala usiokuwa na mabishano yenye tija unatakiwa uachane nae huenda anakuokoa na aibu ya kuuliza maswali ya kitoto kama ya majibishano ya kwenye vijiwe vya kahawa.

Nikujibu uone uzembe wako wa kutafuta taarifa
Meli zilizo potea hapo zinazidi 50 na ndege zaidi ya 20.

Baadhi ya abiria waliopotea kwanye meli moja tu iitwayo USS Cylops Tarehe 4 Machi 1918 wapo hapo chini na majina ya ndugu zao, anuani za makazi yao kabla ya kupotea, tarehe ya kujiunga na kazi n.k.

CAIN, JOHN J, Ensign, USNRF, (sister, Mrs Ellen Purcell, Fairview, Colo; appointed Colorado), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

CALLAHAN, JOHN, Chief Machinist's Mate, (Cousin, James Haynes, Weals, Mass; enlisted Boston, Mass, March 16, 1911), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

CALLAHAN, THOMAS OSCAR, Fireman, 3rd class, (father, Thomas Callahan, 606 Oak Street, Toledo, Ohio; enlisted Cincinnati, Ohio, July 6, 1917), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

CAREY, THOMAS, Fireman, 2nd class, (father, John Carey, R F D 4, Cedar Springs, Mich; enlisted Detroit, Mich, April 9, 1917), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

CARPENTER, PERCY LEON, Chief Water Tender, (wife, Mabel Carpenter, 2128 Newkirk Street, Philadelphia Pa; enlisted Philadelphia, Pa, December 10, 1913), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

Majina zaidi nenda kwenye tovuti ya wahanga wa matukio ya Jeshi la maji na kikosi cha ulinzi wa pwani ya huko Marekani link hii USS Cyclops and other US Warships, killed and died

Naweza kuendelea maana orodha ya wahanga ni ndefu ndio maana nikasema tunachafua thread ya mdau Paula Paul, wewe anzisha thread yako kisha niite nije nitiririke na ushahidi zaidi.

Pia tafuta Encyclopedia Britannica Bermuda Triangle | Description & Facts upate maelezo zaidi ya Bermuda triangle.
 
Alafu siku nyingine Zurri usishangae nikakunyamazia kukujibu hoja zako sababu unapenda kubishana kama watu wa mitaani wasiokuwa na elimu au maarifa ya kutafuta kujua ukweli.

Wewe unabishana sababu unapenda ubishi tu na sio kutaka kujua ukweli au kuweka kumbukumbu sawa sawa pale anapokosea mtu.
 
Alafu siku nyingine Zurri usishangae nikakunyamazia kukujibu hoja zako sababu unapenda kubishana kama watu wa mitaani wasiokuwa na elimu au maarifa ya kutafuta kujua ukweli.

Wewe unabishana sababu unapenda ubishi tu na sio kutaka kujua ukweli au kuweka kumbukumbu sawa sawa pale anapokosea mtu.
Poa.
 
Umeshinda, nimeshindwa, sijui, unajua, hujakosea, nimekosea.
Nimemaliza kesi mkuu wangu.
Huwa sishindani ila ninao jadiliana nao huwa wanahisi nashindana na hayo yanabaki kuwa madai tu kwani, hawajawahi kuthibitisha madai yao.
Kuna wakati unaweza ukahisi wanao kusomeni au kusikilizeni wanakuona wewe bingwa au unajua sana kumbe unajiaibisha tu.
Unachohisi umeshinda kumbe kiuhalisia umeongea kitu cha ajabu na kudhihirisha udhaifu wako.
Watu wa jf huwa mnanipa raha sana, uzuri wote mnafanana.

Ajabu unashindwa kuonyesha hicho kitu cha ajabu kinacho dhihirisha udhaifu wangu.

Pili, haya uliyo yaandika niko mbali nayo, ndio maana huwa nikiandika hoja zangu huwa sisubiri kufikia mufaka na sisubiri kuona mtu amekubali au amekataa, kazi yangu ni kufikisha cha kweli kisha nashika njia.
Msimamo wangu siku zote ni kwamba kauli yangu sio sheria na sijui mambo yote. Na kila nilijualo kuna mtu mwingine anaye jua zaidi kuhusu hilo jambo.
Poa.
 
Huwa sishindani ila ninao jadiliana nao huwa wanahisi nashindana na hayo yanabaki kuwa madai tu kwani, hawajawahi kuthibitisha madai yao.

Watu wa jf huwa mnanipa raha sana, uzuri wote mnafanana.

Ajabu unashindwa kuonyesha hicho kitu cha ajabu kinacho dhihirisha udhaifu wangu.

Pili, haya uliyo yaandika niko mbali nayo, ndio maana huwa nikiandika hoja zangu huwa sisubiri kufikia mufaka na sisubiri kuona mtu amekubali au amekataa, kazi yangu ni kufikisha cha kweli kisha nashika njia.

Poa.
Kuna wakati busara lazima itumike unapofanya mijadala.
Mimi nilikuambia na kukuomba hapa tutachafua mada kuu hivyo anzisha mada yako ihusu hii Bermuda Triangle tu tujadili vizuri na ushahidi.
Wewe unang'ang'ania tuendeleze hapa hapa.

Mada kuu ya thread ya Paula Paul hii inahusisha hizo conspiracy theories nyingi sana, ikiwa kila theory moja inabishaniwa na kujazwa viambatanisho vingi itakuwa vurugu na watu watakosa kuona theories nyingi na mijadala ya watu wengine.

Tunajaza mabishano yetu wawili tu huo sio ustaharabu. Hiiyo mada unayotaka ushahidi ni pana na ndefu.

Sio rahisi mtu mwenye udhaifu flani kujiona na kujitambua udhaifu wake hadi aambiwe na wengine.
Siku akijikubali au akiukubali udhaifu wake na kuuona ni tatizo anakuwa amemaliza tatizo lake.
 
Kuna wakati ukiona mtu hapendi muendelee mjadala usiokuwa na mabishano yenye tija unatakiwa uachane nae huenda anakuokoa na aibu ya kuuliza maswali ya kitoto kama ya majibishano ya kwenye vijiwe vya kahawa.

Nikujibu uone uzembe wako wa kutafuta taarifa
Meli zilizo potea hapo zinazidi 50 na ndege zaidi ya 20.

Baadhi ya abiria waliopotea kwanye meli moja tu iitwayo USS Cylops Tarehe 4 Machi 1918 wapo hapo chini na majina ya ndugu zao, anuani za makazi yao kabla ya kupotea, tarehe ya kujiunga na kazi n.k.

CAIN, JOHN J, Ensign, USNRF, (sister, Mrs Ellen Purcell, Fairview, Colo; appointed Colorado), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

CALLAHAN, JOHN, Chief Machinist's Mate, (Cousin, James Haynes, Weals, Mass; enlisted Boston, Mass, March 16, 1911), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

CALLAHAN, THOMAS OSCAR, Fireman, 3rd class, (father, Thomas Callahan, 606 Oak Street, Toledo, Ohio; enlisted Cincinnati, Ohio, July 6, 1917), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

CAREY, THOMAS, Fireman, 2nd class, (father, John Carey, R F D 4, Cedar Springs, Mich; enlisted Detroit, Mich, April 9, 1917), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

CARPENTER, PERCY LEON, Chief Water Tender, (wife, Mabel Carpenter, 2128 Newkirk Street, Philadelphia Pa; enlisted Philadelphia, Pa, December 10, 1913), USS Cyclops, collier (No.4), ship disappeared in western Atlantic after leaving Barbados on March 4, 1918, declared lost, June 14, 1918

Majina zaidi nenda kwenye tovuti ya wahanga wa matukio ya Jeshi la maji na kikosi cha ulinzi wa pwani ya huko Marekani link hii USS Cyclops and other US Warships, killed and died

Naweza kuendelea maana orodha ya wahanga ni ndefu ndio maana nikasema tunachafua thread ya mdau Paula Paul, wewe anzisha thread yako kisha niite nije nitiririke na ushahidi zaidi.

Pia tafuta Encyclopedia Britannica Bermuda Triangle | Description & Facts upate maelezo zaidi ya Bermuda triangle.

Ndio maana najiuliza mbona unashupalia sana kuhusu ushindani na kupingwa ? Jibu linaonyesha ya kuwa hauko makini juu ya kuhakiki habari, na kila anaye nituhumu kwa ubishi na ushindani mwisho wake aibu inarudi kwake kwani wengi huwa hawajui wanachokiegemea au kukurupuka.

Swali langu halijakutaka unitajie abiria walio potea, swali langu limekuta unitajie watu japo watatu tu ambao wamepotelewa na ndugu na jamaa zao, ungekuwa makini hili swali ungekaa na ukajiuliza kwanini nimeuliza walio potelewa na ndugu na sio walio potea ? Sasa umakimi unatakiwa uwe nao.

Usichokijua ni kuwa, nimefunzwa kuutafuta ukweli tokea shinani yaani kwenye msingi,msingi ambao bilo huo msingi jengo halisimami.

Sasa nimekuliza "A" unajibu "B" yaani unajibu nisicho kuuliza. Kwa kutokuwa kwako makini, kule mwanzo ukajidai unanikosoa, hatimae ukakosea kunikosoa.

Nahitimisha ya kuwa, sina haja ya kuanzisha uzi sababu maswali yangu yako wazi na yamejitosheleza, narudia tena na tena, kama hivi tu hujibu ulichoulizwa nikianzisha mada itakuwaje ?

Umenikumbusha kitabu fulani kiitwacho "The Incoherence of the Incoherence" cha Ibn Rushd. Yaani kuna watu mnakosea kukosoa, yaani unahisi unamkosoa fulani kumbe unakosea wewe unaekosea.

Ukirudi tena, uongeze umakini mzee,ujibi unachoulizwa.
 
Kuna wakati busara lazima itumike unapofanya mijadala.
Mimi nilikuambia na kukuomba hapa tutachafua mada kuu hivyo anzisha mada yako ihusu hii Bermuda Triangle tu tujadili vizuri na ushahidi.
Wewe unang'ang'ania tuendeleze hapa hapa.

Mada kuu ya thread ya Paula Paul hii inahusisha hizo conspiracy theories nyingi sana, ikiwa kila theory moja inabishaniwa na kujazwa viambatanisho vingi itakuwa vurugu na watu watakosa kuona theories nyingi na mijadala ya watu wengine.

Tunajaza mabishano yetu wawili tu huo sio ustaharabu. Hiiyo mada unayotaka ushahidi ni pana na ndefu.

Sio rahisi mtu mwenye udhaifu flani kujiona na kujitambua udhaifu wake hadi aambiwe na wengine.
Siku akijikubali au akiukubali udhaifu wake na kuuona ni tatizo anakuwa amemaliza tatizo lake.

Achana nae ana ubishani wa kugombania kombe la mbuzi 😂🤣🤣
 
Kuna wakati busara lazima itumike unapofanya mijadala.
Mimi nilikuambia na kukuomba hapa tutachafua mada kuu hivyo anzisha mada yako ihusu hii Bermuda Triangle tu tujadili vizuri na ushahidi.
Wewe unang'ang'ania tuendeleze hapa hapa
Hivi unaelewa nini mtu anapo kwambia, hawezi kuanzisha mada husika, sio kwamba sina uwezo bali sina haja ya kifanya hivyo, madamu maswali ya msingi yako wazi na umeyaona, anzisha uzi uyajibu moja baada ya lingine, kuna moja umejibi ila sio kile nilicho kiuliza ?? Hili tatizo la kukurupuka.

Lakini,tukiweka kwenye mizani tunachodaliana kimo kwenye mada, na watu wanataka kujua sio kuwatoa sehemu husika na kuwapeleka sehemu ambayo sio husika, huko mi kuwadhulumu. Lakini anae jua anajua tu mzee.
Mada kuu ya thread ya @Paula Paul hii inahusisha hizo conspiracy theories nyingi sana, ikiwa kila theory moja inabishaniwa na kujazwa viambatanisho vingi itakuwa vurugu na watu watakosa kuona theories nyingi na mijadala ya watu wengine.
Vurugu kwako wewe au kwa mtoa mada ? Vipi iwe vurugu wakati hapa ndio mahala husika ?
 
Back
Top Bottom