What could be agenda of Magufuli Uhuru meeting

Kwa hilo Idi Amini alifanya vizuri sana, hilo tu.
 
Wakenya si watu wa hivyo, ingekua tuko na hizo hisia tungekua tulifanya hivyo kitambo sana enzi za rais Moi ambapo maisha yalikua magumu zaidi..
Sidhani kama kipindi hicho Watanzania walikuwa wanazidi 100 ndani ya Kenya, kwa kifupi Watanzania hawajasambaa sana kwenye nchi zinazozungumza lugha za kigeni au duniani kwa ujumla,

Pia ni advantage kubwa kwa Tanzania kutokupokea wageni wengi tegemezi kutoka nchi za kigeni sababu ya language barrier na hii ina manufaa mengi sana kama kiusalama, identity na mengine mengi, ni rahisi sana mnaijeria kuzamia na kukaa Kenya bila kushtukiwa ukilinganisha na kuja Tanzania.
 



Haya Msikilize mkubwa wako hapa

Kwenye speech amesema anamshukuru JPM kwa mwaliko !!!!!!!!!!!

Ajenda kuu ya Uhuru ukisikiliza hotuba ni Tanzania ifungue mipaka!, hayo ya Jagwa aliongelea tu kamamfano ya watu ambao hawajawai tembea mbali na kijiji chao!
Pia amesema sababu ya kuja ziaza ya kibinafsi ni ili baadae akija ziara rasmi mambo yawe yanaenda "smoothly" bila uhasama wowote! Just like I had predicted earlier kwamba intention ya Uhuru ni kutengeneza urafiki na JPM ili kuondoa uhasama ndo mambo ya kidiplomasia yawe yanasonga bila sababu ndogo ndogo





 
Jagwa anaongelewa na viongozi wa kuu wa nch, kweli kawa maarufu.
 
Hahahaha, unasubiri kwa hamu kubwa mipaka ifunguliwe sio?, mpo wengi sana mnaosubiri, endeleeni kuvuta subira, muda sio mrefu tutawafungulia.
Kama mnajiamini mbona uoga hivi? Tutaingia Hadi ujinyonge kwa wivu....btw my family has been residents in Tz for more than 40 years na hakuna utakalolifanya hata mashamba na biashara tuko nazo huko.
 
Kama mnajiamini mbona uoga hivi? Tutaingia Hadi ujinyonge kwa wivu....btw my family has been residents in Tz for more than 40 years na hakuna utakalolifanya hata mashamba na biashara tuko nazo huko.
Sisi kamwe hatuwakatazi, muhimu muwe na adamu na mjifunze kuwa " humble" kama sisi.
 
Acheni kelele jamani kenyatta kaenda chato kwaajili ya kumuona Mama yake na Maghufuli ambaye ni mgonjwa siku nyingi hata Magu yupo huko kwaajili hiyo hayo mengine ni ziada tu.
 
Ninavyomjua rais wangu huwa yupo kimaslahi zaidi, sio mtu wa kuzurura ovyoo, hivyo kwa hiyo safari lazima pazaliwe kitu. Nchi zote alizokwenda, hatimaye kuna kitu huja kujitokeza kama mazao ya safari yake huko. Watanzania wamekomalia la kuombwa msamaha kwa mambo ya Jaguar, yaani fikra za Kitandale Tandale, yaani rais wa super power ya EAC aondoke kwa ndege kwenda kuomba msamaha kwa matamshi ya kijinga ya mtu mmoja.

Ni wazi atawakosha Watanzania kwa kuwaomba msamaha, ila kwa wenye ubongo wa kuwaza nje ya kifurushi, wataweza kutabanaisha nini kipo nyuma ya pazia.
 
Sisi kamwe hatuwakatazi, muhimu muwe na adamu na mjifunze kuwa " humble" kama sisi.
Next time usikurupuke na usiwe humble juu umegundua hamna lolote unaweza fanya. Be wise as a serpent, silent as a dove otherwise utaonyeshwa Nyang'aus ni kina Nani....SI mlikurupuka mkisema hata gwaride la heshima halitakuwepo? Mkaangukia pua Tena.
 
Next time usikurupuke na usiwe humble juu umegundua hamna lolote unaweza fanya. Be wise as a serpent, silent as a dove otherwise utaonyeshwa Nyang'aus ni kina Nani....SI mlikurupuka mkisema hata gwaride la heshima halitakuwepo? Mkaangukia pua Tena.
Njaa mbaya sana, husababisha unyafuzi wa akili, tutaendelea kuwapa chakula hadi Ubongo wenu utakapokua sawasaw
 
Kama mnajiamini mbona uoga hivi? Tutaingia Hadi ujinyonge kwa wivu....btw my family has been residents in Tz for more than 40 years na hakuna utakalolifanya hata mashamba na biashara tuko nazo huko.
Kwani kuna mtu kakataza wakenya kuishi tz??? Mbona wapo wengi sana hata mnavosema tufungue mipaaka cjui mnamaanisha aje mbona wakenya wanakuja kila siku huku au mnatakaje??? Nyosheni maelezo
 
ziara binafsi means yaweza kuwa kaja kwa masuala binafsi,mfano kusalimia mama wa rais,au mambo yake ya bussines,uhuru is a big bussinesman
 
Njaa mbaya sana, husababisha unyafuzi wa akili, tutaendelea kuwapa chakula hadi Ubongo wenu utakapokua sawasaw
Msaada unakuja lini njaa unaniumiza Sana Hadi inanifanya kuuliza maswali very logical. Mahindi(msaada) kutoka Tanzania tunanunua pesa ngapi? Ama nimuulize kina Pombe na Uhuru? 🤔🤔🤔
 
Your browser is not able to display this video.
 
Labda amekuja kutafuta soko la mirungi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…