What does kisumu port construction means to Mwanza, Bukoba and Port Bell?

Hii wagon ferry yenu ilikufa miaka mingi sana haifanyi kazi, prove me wrong.
 
Heheeee!!!mta force sana
Tatizo hujui biashara na uchumi, unachojua ni porojo tupu. Mfanya biashara vitu anavyotaka ni gharama za usafirishaji kuwa chini, jambo ambalo bandari ya Mwanza kufikisha Dar ni cheap by 40% ukilinganisha na Kisumu Mombasa kwa kutumia Diesel SGR.
 
Hawa jamaa ni wajinga...yani wameanza kujenga barabara vijijini juzi..basi wanajiona hapa duniani hamna vitu km hvo..

Halafu wanaile kasumba ya modern pia
Hawa hawajui chochote,wakiongea kuhusu Kenya utadhani hata wamefika border ya Kenya na TZ....
 
Tatizo hujui biashara na uchumi, unachojua ni porojo tupu. Mfanya biashara vitu anavyotaka ni gharama za usafirishaji kuwa chini, jambo ambalo bandari ya Mwanza kufikisha Dar ni cheap by 40% ukilinganisha na Kisumu Mombasa kwa kutumia Diesel SGR.
What measures have you used to conclude that Dar to Mwanza is 40% cheap compared to Mombasa to Nairobi?
 
You are always full of rumours, are you sure China wamekataa kutoa pesa?
 
Hii wagon ferry yenu ilikufa miaka mingi sana haifanyi kazi, prove me wrong.
You are full of rumours kijana, punguza kidogo. I know you don't like any project going on in Kenya.
 
Acha porojo ndugu.

 
What measures have you used to conclude that Dar to Mwanza is 40% cheap compared to Mombasa to Nairobi?
Running cost za electric trains are 50% cheaper than Diesel Engines, ingia Google utafahamu haya yote.
 
Running cost za electric trains are 50% cheaper than Diesel Engines, ingia Google utafahamu haya yote.
Acha ujinga wewe,Kwani wafanyabiashara nd'o watakuwa wanarun the train ama govt?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…