joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hii wagon ferry yenu ilikufa miaka mingi sana haifanyi kazi, prove me wrong.Kunazo kama Mv.Norris (If i remember correctly) ambazo ilikua ni wagon-ferry na bado iko na deck ya kupakia contena
Hata hivyo ukiangalia hio mv. Uhuru from the front side utaona kwamba ina urefu wa kutosha
Tena enzi hizo ilikua si lazima ibebe treni
Zote mmkopa kwa mchina na mchina anataka aziendeshe.. hata kodi hampati
Hiyo ni design speed train inaweza safari chini ya hapo na kumbuka hiyo route ni ndefu sana plus ukiritimba bandarini
Tatizo hujui biashara na uchumi, unachojua ni porojo tupu. Mfanya biashara vitu anavyotaka ni gharama za usafirishaji kuwa chini, jambo ambalo bandari ya Mwanza kufikisha Dar ni cheap by 40% ukilinganisha na Kisumu Mombasa kwa kutumia Diesel SGR.
Unajua umuhimu wa miundombinu ya barabara za mikoani katika kujenga uchumi imara vijijini? Sio kukazania kujenga flyovers Nairobi wakati Wajir na Garisa hawahahi kuona lami.
Hawa hawajui chochote,wakiongea kuhusu Kenya utadhani hata wamefika border ya Kenya na TZ....Aaaaweeee...naona garissa na wajir hakuna lami kwel...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1166329View attachment 1166330View attachment 1166331View attachment 1166332
Hawa hawajui chochote,wakiongea kuhusu Kenya utadhani hata wamefika border ya Kenya na TZ....
What measures have you used to conclude that Dar to Mwanza is 40% cheap compared to Mombasa to Nairobi?Tatizo hujui biashara na uchumi, unachojua ni porojo tupu. Mfanya biashara vitu anavyotaka ni gharama za usafirishaji kuwa chini, jambo ambalo bandari ya Mwanza kufikisha Dar ni cheap by 40% ukilinganisha na Kisumu Mombasa kwa kutumia Diesel SGR.
Unapizungumzia bandari ya Kisumu, unazunfumzia reli IPI?. SGR ya Kenya pamoja na kwamba ni diesel lakini pia wameshindwa kuifikisha Kisumu. Wachina wamekata kutoa pesa, na Kenya imeshindwa kuifikisha hata Naivasha, badala yake wameitelejeza porini, kilometa 40 kufika Naivasha, sasa unapizungumza bandari ya Kisumu, ni reli ipi unayozungumzia?
U said they r been renovated evidence? Mv Victoria not Kenyan but Tanzanian while Mv Uhuru is being renovated not operating!
Check the table n compare the numBer of vessels btn Kenya n Tanzania. https://en.m.wikipedia.org/wiki/Lake_Victoria_ferries
Halafu walivyo wapumbavu ati Tanzania joined Uganda-Kenya on NGR sie tumeanza kitambo ku-revamp old gauge. From central railway and then Dar-Tanga-Moshi-Arusha now!Tanzania joins Kenya, Uganda in fall back to old railway
Blamed on uncertainty, lack of progress over joint Northern Corridor SGR due to lack of funding.www.theeastafrican.co.ke
Soma hiyo taarifa ya Leo, ndio utajua hakuna pesa mtapata toka China.
Ako na rumours mob sana.Aaaaweeee...naona garissa na wajir hakuna lami kwel...[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1166329View attachment 1166330View attachment 1166331View attachment 1166332
Acha porojo ndugu.Tanzania joins Kenya, Uganda in fall back to old railway
Blamed on uncertainty, lack of progress over joint Northern Corridor SGR due to lack of funding.www.theeastafrican.co.ke
Soma hiyo taarifa ya Leo, ndio utajua hakuna pesa mtapata toka China.
Ako na rumours mob sana.
Running cost za electric trains are 50% cheaper than Diesel Engines, ingia Google utafahamu haya yote.What measures have you used to conclude that Dar to Mwanza is 40% cheap compared to Mombasa to Nairobi?
That is if you have enough power and money to run it.Running cost za electric trains are 50% cheaper than Diesel Engines, ingia Google utafahamu haya yote.