What happened to Eliud Kipchoge?

What happened to Eliud Kipchoge?

Ebu tuambie kuhusu wanariadha wenu.🤣🤣


Sisi hatuna wanariadha wanaotumia PEDs ndiyo maana huwezi kusikia wanariadha wa Tz wakivuma, wanariadha wenu are under influence of banned PEDs, sasa mnajivunia nini???, shame on you.🤣🤣
 
Sisi hatuna wanariadha wanaotumia PEDs ndiyo maana huwezi kusikia wanariadha wa Tz wakivuma, wanariadha wenu are under influence of banned PEDs, sasa mnajivunia nini???, shame on you.🤣🤣
Nataka jina moja tuu, sii nyingi.🤣🤣 Usiwe tu Yule jamaa jirani akinunua gari unasema ameiba wakati kwako hata baiskeli hakuna.🤣🤣
 
Nataka jina moja tuu, sii nyingi.🤣🤣 Usiwe tu Yule jamaa jirani akinunua gari unasema ameiba wakati kwako hata baiskeli hakuna.🤣🤣


Kama kaiba na ushahidi upo kwanini tusiseme kaiba??!--- tukisema kaiba bila ushahidi hiyo ni unfair.

Mimi kuwa au kutokuwa na mwanariadha hakunifungi kusema ukweli, ukweli ni kitu kingine, mbaya zaidi mnataka kutuaminisha sisi uongo wenu, eti sikio kuziba kwa mfanya mtu ashindwe kukimbia??!!,🤣--- huyo hakutumia PEDs alizozoea kutumia kwa kuhofia asijeumbuka from the stringent rules of inspection for PEDs in the race.

Poleni sana Wakenya.
 
Kama kaiba na ushahidi upo kwanini tusiseme kaiba??!--- tukisema kaiba bila ushahidi hiyo ni unfair.

Mimi kuwa au kutokuwa na mwanariadha hakunifungi kusema ukweli, ukweli ni kitu kingine, mbaya zaidi mnataka kutuaminisha sisi uongo wenu, eti sikio kuziba kwa mfanya mtu ashindwe kukimbia??!!,🤣--- huyo hakutumia PEDs alizozoea kutumia kwa kuhofia asijeumbuka from the stringent rules of inspection for PEDs in the race.

Poleni sana Wakenya.
Nawe mbona usiibe? Utabaki kwa umaskini ukiita wengine wezi? Wivu ni mbaya🤣🤣
 
Ameanza kushinda back to back mara ngapi, gap ya dk 1 ni ndogo sana bado ataleta changamoto kwenye riadha.
Hufuatilii riadha wewe... Eliud kipchoge mwenyewe kuhojiwa alisema ilimchukua miaka mitatu kurun under 2 hours maana mgogoro anakiri ulikuwa second 20 ...1 min kwa riadha unaweza kuwa mtihani mkubwa Sana hasa ukifika level ya maximum kukimbia...
 
Wabongo watu wa ajabu Sana yaan mnashindwa kupongeza na kutia moyo Watanzania wenzenu wafike mbali..kila siku mnakazana kupost Wakenya etc. . Kuna wabongo hizi 10km wanaenda 30 min, Km 21.1 wanaenda 1:02 katika hizi marathon zilizofanyika majuzi.. Mi naona vipaji vipo ila Kuna shida mahali...
 
Nawe mbona usiibe? Utabaki kwa umaskini ukiita wengine wezi? Wivu ni mbaya🤣🤣


Hiyo ndiyo sababu wakenya wengi ni Mafisadi, ninyi kwenu wizi ni pride of kenyans.🤣, Hakuna watu wa dini to teach you morallity??
 
Kwahiyo kama alishashinda huko nyuma lakini amezembea katika kujitayarisha hawezi kushindwa? Hakuna cha kisingizio, ameshindwa tena vibaya sana kwa aibu kubwa, arudi akajipange upya.
Aliyekuambia mtu ni lazima awe mshindi kila siku ni nani? Ni mtanzania yupi amewahi shinda marathon? Ama ni matayarisho ndio hawajui vile Kipchoge hajui? This is sport ramapithecus, it's not some sort of comedy action. Today you are a winner, tomorrow you are a loser
 
Aliyekuambia mtu ni lazima awe mshindi kila siku ni nani? Ni mtanzania yupi amewahi shinda marathon? Ama ni matayarisho ndio hawajui vile Kipchoge hajui? This is sport ramapithecus, it's not some sort of comedy action. Today you are a winner, tomorrow you are a loser
Now you are talking. Kipchoge na wakenya wanaojaribu kutoa kisingizio cha sikio walipaswa kujua huu ukweli badala ya kutoa visingizio vya ajabu, anajidhalilisha na wale wanaomuunga mkono wanaonekana wajinga mbele ya jamii. This is a sport, you either win or....
 
Mbona hatuwaoni wanariadha wa Tanzania na N.Korea(nchi mbili duniani ambazo 'hazina' corona) kwenye Top 10, 20 au hata Top 100? [emoji1] Meanwhile kwa kina dada mkenya Brigid Kosgei, ambaye ndiye aliyeshinda mwaka wa 2019, aliibuka wa kwanza kwa mara ya nne kwenye London Marathon. Tena aliwaacha wanariadha wengine wote nyuma na mwanariadha wa pili alimaliza mbio dakika 4 baada ya Brigid. Mkiona [emoji1139][emoji1139][emoji1139] muwe mnashika adabu zenu tafadhali.
40b873d8592745e96b85d8801a0f5dd4

We as Banana Republic Citizens Are Busy At Gossiping.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Now you are talking. Kipchoge na wakenya wanaojaribu kutoa kisingizio cha sikio walipaswa kujua huu ukweli badala ya kutoa visingizio vya ajabu, anajidhalilisha na wale wanaomuunga mkono wanaonekana wajinga mbele ya jamii. This is a sport, you either win or....
Sasa ukishajua hivyo mbona inakusumbua akili? Mtu huwezi kuwa kileleni milele. It reaches a point makali yako yanaisha na walio nyuma yako wakakupita. Do you know that Wayne Rooney still plays football? But is he the same Wayne Rooney mwenye alikuwa Manchester United?
 
If you don't know without googling, that means no tribalism, let me mention some of big five in Kenya in descending order

1)Kikuyu
2)Luhya
3)Kalenjin
4)Jaluo
5)Kamba
6)Maasai
7)Kisii
8)Mijikenda
9)Somali
10)Kipsigis
11)Turkana
12)Samburu
13)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sasa angalia nani ndo mkabila
 
Back
Top Bottom