What happened to Eliud Kipchoge?

What happened to Eliud Kipchoge?

Gikuyu, lugha anayotumia Ngugi wa Thiong'o kuandika vitabu
IMG_20201008_230342.jpg

Nimekosa kitu Kama hiyo kwa vitabu zake.
 
Uongo mmezidisha, acheni uongo.
Inawezekana vipi kuziba sikio kuhusiane na miguu??, angesema labda kichwa kilimuuma kwa ghafla kiasi fulani ningekubali.

Mtu unapoamua kudanganya tafuta UONGO unaingia akilini.

Huyo mtu wenu hakutumia PED, aliogopa kunaswa.-- mseme kweli tu.🤣
Sikio ndio linakupa balance ya kutembea na kukimbia usipepesuke au kuyumbayumba au kuanguka kabisa.

Kama sikio moja kutofanya kazi hiyo ni sababu tosha.
 
Sikio ndio linakupa balance ya kutembea na kukimbia usipepesuke au kuyumbayumba au kuanguka kabisa.

Kama sikio moja kutofanya kazi hiyo ni sababu tosha.



Siyo kweli, mimi mwenyewe nimewahi kuziba sikio moja karibu mwezi mmoja wala sikupatwa na imbalance yoyote katika kutembea au kufanya kazi za mwili na hata watu wa karibu yangu hawakujua hali yangu hadi nilipowajulisha, isipokuwa siku mbili za mwanzo nilipata "discomforts" lakini hali hiyo kamwe haikuathiri utendaji kazi wa viungo vyangu, ndiyo maana napinga kwasababu ni jambo lililonitokea mimi binafsi.
 
Kwahiyo kama alishashinda huko nyuma lakini amezembea katika kujitayarisha hawezi kushindwa? Hakuna cha kisingizio, ameshindwa tena vibaya sana kwa aibu kubwa, arudi akajipange upya.
Hii mtu umri umemtupa mkono! Inagonga above 45!
 
Bakele alijitoa mapema alipoona ameumia hawezi kushiriki, ukiamua kushiriki ina maana upo vizuri, mbona aliposhinda tulimpongeza, sasa aneshindwa hutaki tuseme ukweli badala yake mnajaribu kutoa visingizio.

Umri wake umeshakua mkubwa, enzi zake zimeanza kwisha, hilo ni jambo la kawaida lazima mkubaliane na matokeo na kuanza kumtayarisha mwengine badala ya kuanza kutoa sabababu za ajabu ajabu kama kwamba hawezi kushindwa.
No human is Limited....!!Kashinda Tena. Una neno Juu Yake tafadhali??
 
Kwahiyo kama alishashinda huko nyuma lakini amezembea katika kujitayarisha hawezi kushindwa? Hakuna cha kisingizio, ameshindwa tena vibaya sana kwa aibu kubwa, arudi akajipange upya.
Aibu iko kwako tu, wasemaje sahi! Midomo imepigwa zipu kudadadeki! 🤣 🤣 🤣
 
Aibu iko kwako tu, wasemaje sahi! Midomo imepigwa zipu kudadadeki! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hivi Sasa amejiandaa vizuri sio Kama wakati ule, hongera zake. Ninyi wakenya ni watu wa ajabu Sana, hamtaki kukubali mapungufu yenu, mnadhani ninyi ni "Perfect people", hamkubali kwamba alishindwa kihalali kabisa, lazima mtoe visingozio, stupidity at the highest degree
 
Siyo kweli, mimi mwenyewe nimewahi kuziba sikio moja karibu mwezi mmoja wala sikupatwa na imbalance yoyote katika kutembea au kufanya kazi za mwili na hata watu wa karibu yangu hawakujua hali yangu hadi nilipowajulisha, isipokuwa siku mbili za mwanzo nilipata "discomforts" lakini hali hiyo kamwe haikuathiri utendaji kazi wa viungo vyangu, ndiyo maana napinga kwasababu ni jambo lililonitokea mimi binafsi.
Ukipata infection ya sikio linaweza kabisa kukuangusha mwereka bila kutarajia. Naongea kutokana na uzoefu.
 
EjfFhOQWsAIVAmd


======

What Happened to Eliud Kipchoge in London?

By Cathal Dennehy

Eliud Kipchoge said he experienced an issue with his right ear during the London Marathon, which led to his subpar performance.
In cold and rainy conditions, the world-record holder finished eighth in 2:06:49, more than a minute behind winner Shura Kitata of Ethiopia. He began to lose contact with the leaders with about 5K left to run.

After the race, a visibly upset Kipchoge explained what occurred. “I started off well. But I just got a slight problem with my right ear. It got blocked, and I tried to do all necessary, I tried to hold back, but it was not possible. But this is sport. Today you are up, tomorrow you are down.

“I am truly disappointed. I always wanted to win to show people you can always win if you focus yourself and always get good results. I’m sorry about this, but that’s how sport is.”

“His right ear got fully blocked. From then he also didn’t go for the drinks anymore, and it somehow affected the whole system,” Valentijn Trouw, Kipchoge’s manager, said via text message.

While some feared it might spell the early signs of a demise for Kipchoge, the 35-year-old said he would return to the top level.
“Sport is unpredictable, but you know what they say: If you want to enjoy sport then you accept the results. So I accept the result and congratulate all finishers.”

Asked if he would be back running the marathon, he said, “I am going back and hopefully I will come next year here in London and the Olympic Games. It’s not the end of the world.”

Source: What Happened to Eliud Kipchoge in London?
Anafuwata ilani ya chama cha madudu
 
Ukipata infection ya sikio linaweza kabisa kukuangusha mwereka bila kutarajia. Naongea kutokana na uzoefu.


Hapa hatuzungumzii juu ya infection, tunazungumzia juu ya sikio kuziba ghafla, kumbuka kwamba huyo kipchoge anadai sikio liliziba ghafla wakati alipokuwa akikimbia, au kuziba ghafla kwa sikio ni kunaletwa na infection??
 
Hivi Sasa amejiandaa vizuri sio Kama wakati ule, hongera zake. Ninyi wakenya ni watu wa ajabu Sana, hamtaki kukubali mapungufu yenu, mnadhani ninyi ni "Perfect people", hamkubali kwamba alishindwa kihalali kabisa, lazima mtoe visingozio, stupidity at the highest degree
Hakuna perfect person hii dunia, acha udwanzi. Na pia yeye mwenyewe kalalamika juu ya sikio wakati ule, sio wakenya wote kama unavyosema. Mwisho, kwenye mashindano kuna mshindi na mshindwa, sasa kama alishindwa, hiyo ilkuwa bad day in office, so sio lazima yeye(Kipchoge) ashinde kila siku, kwani hakuna wanariadha wengine duniani? Vipi fikra zako wewe? 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom