joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Sasa kama mnajua hivyo, kwanini mnasingizia sikio kuziba [emoji23][emoji23]Sasa ukishajua hivyo mbona inakusumbua akili? Mtu huwezi kuwa kileleni milele. It reaches a point makali yako yanaisha na walio nyuma yako wakakupita. Do you know that Wayne Rooney still plays football? But is he the same Wayne Rooney mwenye alikuwa Manchester United?
Bravooo Kenyans, Tatizo sisi Watanzania tuna Husda, Wivu Na Roho Mbaya.
Wewe huwa unapenda ligi za kitoto sana na kufungua nyuzi zisizo za maana. Eliud Kipchoge is the greatest marathoner, ever and his records will be there to stay for a very long time. Kushindwa juzi kule London won't erase that fact. And if you thought he'd remain at the top of his game forever then you need to come back to your senses. Form is temporary but class is permanent. Wait for the day a Tanzanian will run such marathons then come back later for engagementSasa kama mnajua hivyo, kwanini mnasingizia sikio kuziba [emoji23][emoji23]
Most important is that now you are back to normal, that he lost like all others, not because of ear problems, stop your nonsense excusesWewe huwa unapenda ligi za kitoto sana na kufungua nyuzi zisizo za maana. Eliud Kipchoge is the greatest marathoner, ever and his records will be there to stay for a very long time. Kushindwa juzi kule London won't erase that fact. And if you thought he'd remain at the top of his game forever then you need to come back to your senses. Form is temporary but class is permanent. Wait for the day a Tanzanian will run such marathons then come back later for engagement
I wish a Tanzanian had won 😂Most important is that now you are back to normal, that he lost like all others, not because of ear problems, stop your nonsense excuses
Music industry ya kiswahili inawapeleka wapi??Sisi hatupo katika riadha, huko tumewaachia ninyi, kama ambavyo ninyi hampo katika music & film industry.
Jambo la kushanga ni kwamba, hakuna mtanzania anayedai kuhusika kwa aina yoyote katika kuchangia mafanikio ya wanariadha wa Kenya, ila utasikia wakenya wakidai kuhusika au hata kusema " Bila wakenya bongo musicians wasingefanikiwa.
Apart from kipchoge nani mwingine alisema hivyo???Sasa kama mnajua hivyo, kwanini mnasingizia sikio kuziba [emoji23][emoji23]
Wasanii wenye followers wengi kwenye mitandao ya kijamii hapa East Africa ni kutoka Tanzania,Music industry ya kiswahili inawapeleka wapi??
Sisi hatuwezi kutoa visingizio vya kijinga, katika kukimbia uwezo wetu ni mdogo, punguzeni kutoa visingizio, hii dunia wakimbiaji sio wakenya pekee, kuna siku mnashinda na siku mtashindwa.I wish a Tanzanian had won [emoji23]
Ulitaka tuimbe kijaluo au gikuyu?[emoji23][emoji23][emoji23]Music industry ya kiswahili inawapeleka wapi??
Mlipokua mkishangilia na kurukaruka mliposikia habari za watanzania kudondoka barabara kwasababu ya Corona " weren't you haters? [emoji23][emoji23]. Malipo ni hapahapa duniani, Mungu anawapa adhabu, tumikieni adhabu ya Mungu wacheni kulalamikaHaters never win anything in life
Kama wewe sio hater unawashwawashwa kwaniniMlipokua mkishangilia na kurukaruka mliposikia habari za watanzania kudondoka barabara kwasababu ya Corona " weren't you haters? [emoji23][emoji23]. Malipo ni hapahapa duniani, Mungu anawapa adhabu, tumikieni adhabu ya Mungu wacheni kulalamika
Ninawashwa kwasababu mlituombea tukufe lakini Mungu ametulinda badala yake ninyi ndio mnakufa [emoji23][emoji23]Kama wewe sio hater unawashwawashwa kwanini
Huwa wanasahau mapema sana [emoji23][emoji23][emoji23]Ninawashwa kwasababu mlituombea tukufe lakini Mungu ametulinda badala yake ninyi ndio mnakufa [emoji23][emoji23]
Hiyo ndio sifa kuu ya watu wenye roho mbaya, siku zote hujihisi kuwa ni "victims".Huwa wanasahau mapema sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ni wewe unajua ni lugha gani itakupeleka out of Africa.Ulitaka tuimbe kijaluo au gikuyu?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo yoote inatuonyesha vile Tanzanians wanakuwaga idle most of their time..Wasanii wenye followers wengi kwenye mitandao ya kijamii hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Wasanii wenye youtube subscribers wengi hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Wasanii wenye youtube views wengi hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Wasanii wenye international awards nyingi hapa East Africa ni kutoka Tanzania mfano MTV, BET, AFRIMMA, AFRIMA nk,
Wasanii maarufu zaidi Afrika na duniani kwa hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Wasanii wanaoimba nyimbo zenye content safi na zinazoeleweka vizuri hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Wasanii wanaofanya matamasha makubwa mbalimbali Africa na kwinginepo kwa hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Msanii aliyefanikiwa kufikisha views billion moja kwa hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Msanii mwenye views zaidi ya milioni mia kwenye video moja kwa hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Msanii mwenye youtube subscribers zaidi ya million nne kwa hapa East Africa ni kutoka Tanzania,
Niendelee ama nisiendelee!
Naam hapo ndipo music industry ya kiswahili imetupeleka.
Gikuyu, lugha anayotumia Ngugi wa Thiong'o kuandika vitabuSasa ni wewe unajua ni lugha gani itakupeleka out of Africa.