What happened to kenyan music jamani?

What happened to kenyan music jamani?

Usimpe roho yako waza kwanza
Wapi tofauti yake nao
Sina noma nae ....

Baby una smile fresh sijui nikuite Mariah vile ume carry
Ring kwenye ....na smile ya hale bery ..........

Nyashski ...Kile roho yangu imeshachagua ishachagua
Na hiyo ni kitu nipo sure hata yeye mwenyewe anaju ...
 
Hivi nature of politics ya Kenya imeweka mikakati dhid ya wasanii? Maaana huku tz naona hata leo wasanii wamekutana na president ..... General speaking inasaidia katika kuinua muzik
 
Itabidi wamfate Sonko kumlalamikia ili aingilie kati mpaka huyo waziri awajibike
Sonko ndo yule mbunge maaarufu? Kuna yule kiongoz wa wafanya kaz anaitwa fransis atwoli... Huyu jamaaa saf
 
Usimpe roho yako waza kwanza
Wapi tofauti yake nao
Sina noma nae ....

Baby una smile fresh sijui nikuite Mariah vile ume carry
Ring kwenye ....na smile ya hale bery ..........

Nyashski ...Kile roho yangu imeshachagua ishachagua
Na hiyo ni kitu nipo sure hata yeye mwenyewe anaju ...
Namna hii halafu mtu aseme mistari yao dhaifu ntaacha kumbishia kweli?
 
Hivi nature of politics ya Kenya imeweka mikakati dhid ya wasanii? Maaana huku tz naona hata leo wasanii wamekutana na president ..... General speaking inasaidia katika kuinua muzik
Kwa Kenya hata sielewi kabisa
 
Kuna hii juakali yupo na Sanaipei

Mtoto wa geti kali


mtoto mrembo, mtoto wa geti kali
toka uko juu ukuje utulie na Juacali
najua kwenu mko sawa mkona mali
lakini kuja nikuonyeshe yangu ya mtaani
wacha gari leo panda matatu
jua imewaka ntakuchukulia barafu ya ukwaju
lunch ya nguvu bakuli ya supu
dessert ya leo mahindi na njugu
saucer ya nguvu juo moja wazimu
baadaye utamaliza na uji ya ndimu
hakuna kebab hapa piga dondo
hakuna pizza hapa piga muhogo
usione haya kuteuka ni kawaida
wacha tutie raundi mtaani tukishikisha
hii ndo base si hutulia
pale ndo grao ball si hugusia
majioni movie pale ni mbao
lazima tuwe na za juu tukitokewa na karao
mtoto wa geti kali sikutishi
hivi ndio vile mtaani si huishi
 
Kuna hii juakali yupo na Sanaipei

Mtoto wa geti kali


mtoto mrembo, mtoto wa geti kali
toka uko juu ukuje utulie na Juacali
najua kwenu mko sawa mkona mali
lakini kuja nikuonyeshe yangu ya mtaani
wacha gari leo panda matatu
jua imewaka ntakuchukulia barafu ya ukwaju
lunch ya nguvu bakuli ya supu
dessert ya leo mahindi na njugu
saucer ya nguvu juo moja wazimu
baadaye utamaliza na uji ya ndimu
hakuna kebab hapa piga dondo
hakuna pizza hapa piga muhogo
usione haya kuteuka ni kawaida
wacha tutie raundi mtaani tukishikisha
hii ndo base si hutulia
pale ndo grao ball si hugusia
majioni movie pale ni mbao
lazima tuwe na za juu tukitokewa na karao
mtoto wa geti kali sikutishi
hivi ndio vile mtaani si huishi
Asee chief unaitoa wap... Duh we ni shida [emoji53]
 
Hili nalo ni tatizo kubwa....... Sa nini kifanyike?
inshu ya kulipa wasanii ilikuwepo kabla hata ya uhuru hapa tanganyika,baada ya maazimio yaliyo nyonga uchumi wa nchi 1967 baazi ya sheria za kikoloni hazikufuatwa tena na hii ni moja wapo,.
cha kufanya ni kuiga america kwa mfano;nyimbo inapokuwa mpya huwa kuna free promotion ndani ya miezi mitano,yaani mwanamuzi halipwi mpaka miezi ya promo ipite,hii inasaidia kidogo kuzipa nyimbo attention kuliko kutopigwa kabisa,mfano hapa bongo baazi ya radio zina bond na wasanii,sasa inshu ya kulipana ikianza tena baazi wasanii kazi zao hazitachezwa kabisa kwa sababu ya kukosa ukaribu na ma dj au mapresenter,hasa hasa watako teseka sana ni chipukizi na ambao hawana management za kuwa back up
 
Back
Top Bottom