What if New World Order becomes true?

Unataka isemeje!!!? Mbona kama unataka kulazimisha kitu hapa..???

xxxxx The cult xxxxx


ETI mtu unakua NA sala ya kuombea WAFU. Ukamuombee mtu aliekufa ili umsaidie nini? Utaweza kumuondolea zambi MFU wewe? Ndio Maana mnafikia hatua kuwatangaza Watu waliokufa Kua WATAKATIFU.

ETI mtu unakwenda KUUNGAMA DHAMBI KWA PADRI. Yani binadamu mwenzako unakwenda kumueleza madhambi yako weeeeeeeh NA YEYE bila ata Aibu anakuambia Nenda UMESAMEHEWA! amekua nani Huyo mpk aweze kuondolea Watu Dhambi? Hiyo ndio KIFURU KUBWA MBELE ZA MUNGU kwa kujifanya kuchukua nafasi ya MUNGU hapa DUNIANI kwa kuwaondolea Watu Dhambi!

Alafu ETI tedo anakazana kutupigia kelele hapa. Pole sn Bwana Mdogo!
 
Last edited by a moderator:

We mlaaniwa unajua nini.....Siwezi kukuelezea mambo matakatifu namna hiyo kwa mtu kams wewe.....

Sasa kwa kuwa wewe umeaminishwa kuwa 1+1=11 na kuapa kushikilia hayo kama ndo kweli, hakika nikuambia kuwa 1+1=2 hutakaa uamini hata Yesu arudi....

Ka hiyo siwezi.poteza muda wangu....

xxxSeventh adventist Church is the cult religion xxxx
 
Last edited by a moderator:

sema unachojua mbona huna hoja ni kejeli zisizo na msingi
 

Umeona jinsi unavyolialia?

Huna Hoja wewe! Unafikiri Watu hatujui hizo ibada zako batili?

Kajipange tena uje tujadiliane mpagani wewe muabudu WAFU!
 

Yesu alimfufua lazaro, kuna ufufuko wa wafu siku ya hukumu ikifika. Mama bikira Maria anatuasa tusali rozali tupate amani , ametuasa tuwaombee wasiomwamini Yesu mwokozi , wamuamini ili waokoke , kuna moto wa milele jamani.
 
Last edited by a moderator:
yesu alimfufua lazaro, kuna ufufuko wa wafu siku ya hukumu ikifika. Mama bikira maria anatuasa tusali rozali tupate amani , ametuasa tuwaombee wasiomwamini yesu mwokozi , wamuamini ili waokoke , kuna moto wa milele jamani.

biblia inamajibu yote
 
Yesu alimfufua lazaro, kuna ufufuko wa wafu siku ya hukumu ikifika. Mama bikira Maria anatuasa tusali rozali tupate amani , ametuasa tuwaombee wasiomwamini Yesu mwokozi , wamuamini ili waokoke , kuna moto wa milele jamani.


Cc: tedo

HAYO ndio mafundisho!
 
Last edited by a moderator:
Illusion zilizochanganyika na Allucination zikakorogwa na Dillusion

Haya ndiyo mawazo ya Sabato masalia wanaoota kurushwa kimiujiza kwenda India na wapi sijui eti kuhubiri injili.
Inasikitisha kuona mtu mmoja akiwateka mawazo hata wasomi!
Utter nonsense!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 


Mkuu Mashaxizo maelezo yako yako Vzr lkn haya mambo yote yanasukumwa Na mgongo Wa DINI!
 
Last edited by a moderator:
Mi nafikil 2silumbane kuhusu DINI kam mashaxizo alilvyosema wa2 hawa wantumia kivul cha dini kuipotosha dunia haxa wale wanao mtii mungu wa2hawa wamejkita xana ktk dini ya ki christo pia hata ya k islam kwan wamesha anza hata ku2nga misahaf bandia
 
mi nafikil 2silumbane kuhusu dini kam mashaxizo alilvyosema wa2 hawa wantumia kivul cha dini kuipotosha dunia haxa wale wanao mtii mungu wa2hawa wamejkita xana ktk dini ya ki christo pia hata ya k islam kwan wamesha anza hata ku2nga misahaf bandia

sio kutunga ni kutumia
 
YOHANA 20:23
Soma utapata jibu la swali lako la ondoleo la dhambi
 
Last edited by a moderator:
Kwani sasa hakuna new world order? Au wakitaka kuimplement watashindwa?
 

bado hamuoni kuwa mungu anatengenezwa hata wewe unaweza kutengeza mungu chumbani kwako?endeleeni kuumbuana
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…