What if New World Order becomes true?

What if New World Order becomes true?

Unataka isemeje!!!? Mbona kama unataka kulazimisha kitu hapa..???

xxxxx The cult xxxxx


ETI mtu unakua NA sala ya kuombea WAFU. Ukamuombee mtu aliekufa ili umsaidie nini? Utaweza kumuondolea zambi MFU wewe? Ndio Maana mnafikia hatua kuwatangaza Watu waliokufa Kua WATAKATIFU.

ETI mtu unakwenda KUUNGAMA DHAMBI KWA PADRI. Yani binadamu mwenzako unakwenda kumueleza madhambi yako weeeeeeeh NA YEYE bila ata Aibu anakuambia Nenda UMESAMEHEWA! amekua nani Huyo mpk aweze kuondolea Watu Dhambi? Hiyo ndio KIFURU KUBWA MBELE ZA MUNGU kwa kujifanya kuchukua nafasi ya MUNGU hapa DUNIANI kwa kuwaondolea Watu Dhambi!

Alafu ETI tedo anakazana kutupigia kelele hapa. Pole sn Bwana Mdogo!
 
Last edited by a moderator:
ETI mtu unakua NA sala ya kuombea WAFU. Ukamuombee mtu aliekufa ili umsaidie nini? Utaweza kumuondolea zambi MFU wewe? Ndio Maana mnafikia hatua kuwatangaza Watu waliokufa Kua WATAKATIFU.

ETI mtu unakwenda KUUNGAMA DHAMBI KWA PADRI. Yani binadamu mwenzako unakwenda kumueleza madhambi yako weeeeeeeh NA YEYE bila ata Aibu anakuambia Nenda UMESAMEHEWA! amekua nani Huyo mpk aweze kuondolea Watu Dhambi? Hiyo ndio KIFURU KUBWA MBELE ZA MUNGU kwa kujifanya kuchukua nafasi ya MUNGU hapa DUNIANI kwa kuwaondolea Watu Dhambi!

Alafu ETI tedo anakazana kutupigia kelele hapa. Pole sn Bwana Mdogo!

We mlaaniwa unajua nini.....Siwezi kukuelezea mambo matakatifu namna hiyo kwa mtu kams wewe.....

Sasa kwa kuwa wewe umeaminishwa kuwa 1+1=11 na kuapa kushikilia hayo kama ndo kweli, hakika nikuambia kuwa 1+1=2 hutakaa uamini hata Yesu arudi....

Ka hiyo siwezi.poteza muda wangu....

xxxSeventh adventist Church is the cult religion xxxx
 
Last edited by a moderator:
We mlaaniwa unajua nini.....Siwezi kukuelezea mambo matakatifu namna hiyo kwa mtu kams wewe.....

Sasa kwa kuwa wewe umeaminishwa kuwa 1+1=11 na kuapa kushikilia hayo kama ndo kweli, hakika nikuambia kuwa 1+1=2 hutakaa uamini hata Yesu arudi....

Ka hiyo siwezi.poteza muda wangu....

xxxSeventh adventist Church is the cult religion xxxx

sema unachojua mbona huna hoja ni kejeli zisizo na msingi
 
We mlaaniwa unajua nini.....Siwezi kukuelezea mambo matakatifu namna hiyo kwa mtu kams wewe.....

Sasa kwa kuwa wewe umeaminishwa kuwa 1+1=11 na kuapa kushikilia hayo kama ndo kweli, hakika nikuambia kuwa 1+1=2 hutakaa uamini hata Yesu arudi....

Ka hiyo siwezi.poteza muda wangu....

xxxSeventh adventist Church is the cult religion xxxx

Umeona jinsi unavyolialia?

Huna Hoja wewe! Unafikiri Watu hatujui hizo ibada zako batili?

Kajipange tena uje tujadiliane mpagani wewe muabudu WAFU!
 
ETI mtu unakua NA sala ya kuombea WAFU. Ukamuombee mtu aliekufa ili umsaidie nini? Utaweza kumuondolea zambi MFU wewe? Ndio Maana mnafikia hatua kuwatangaza Watu waliokufa Kua WATAKATIFU.

ETI mtu unakwenda KUUNGAMA DHAMBI KWA PADRI. Yani binadamu mwenzako unakwenda kumueleza madhambi yako weeeeeeeh NA YEYE bila ata Aibu anakuambia Nenda UMESAMEHEWA! amekua nani Huyo mpk aweze kuondolea Watu Dhambi? Hiyo ndio KIFURU KUBWA MBELE ZA MUNGU kwa kujifanya kuchukua nafasi ya MUNGU hapa DUNIANI kwa kuwaondolea Watu Dhambi!

Alafu ETI tedo anakazana kutupigia kelele hapa. Pole sn Bwana Mdogo!

Yesu alimfufua lazaro, kuna ufufuko wa wafu siku ya hukumu ikifika. Mama bikira Maria anatuasa tusali rozali tupate amani , ametuasa tuwaombee wasiomwamini Yesu mwokozi , wamuamini ili waokoke , kuna moto wa milele jamani.
 
Last edited by a moderator:
yesu alimfufua lazaro, kuna ufufuko wa wafu siku ya hukumu ikifika. Mama bikira maria anatuasa tusali rozali tupate amani , ametuasa tuwaombee wasiomwamini yesu mwokozi , wamuamini ili waokoke , kuna moto wa milele jamani.

biblia inamajibu yote
 
Yesu alimfufua lazaro, kuna ufufuko wa wafu siku ya hukumu ikifika. Mama bikira Maria anatuasa tusali rozali tupate amani , ametuasa tuwaombee wasiomwamini Yesu mwokozi , wamuamini ili waokoke , kuna moto wa milele jamani.


Cc: tedo

HAYO ndio mafundisho!
 
Last edited by a moderator:
Illusion zilizochanganyika na Allucination zikakorogwa na Dillusion

Haya ndiyo mawazo ya Sabato masalia wanaoota kurushwa kimiujiza kwenda India na wapi sijui eti kuhubiri injili.
Inasikitisha kuona mtu mmoja akiwateka mawazo hata wasomi!
Utter nonsense!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Niko poa Ntuzu! How about you?
Umepotea sana kiongozi!!!

Mkuu nimesearch google na kujiridhisha NWO ni mpango wa Freemansons ingawa hilo neno lina historia ndefu! Embu husisha ile dream ya Sir Adolf!

Ntuzu NWO ni agenda ya institutions tofauti tofauti!
Na zote ni powerfull institutions!
  • Freemansons under the umbrella of U.S.A! Wamarekani wanajifanya kusimamia haki za binadamu na kupinga ugaidi! Ivi unajua kwanini zile nchi za kiarabu zinashukiwa ugaidi?
  • Powerfull states under the umbrella of UN! Lengo kuu la UNO ilikuwa ni kutuliza amani ya dunia [dunia = white races] but for now na kwa sera za siri za U.S.A [Freemansons] wanataka kuitawala dunia! Hata hivyo kuna kusalitiana kutokana na kutoaminiana!
  • Hidden agenda ya USSR kuhusu SOCIALISM! Hawa jamaa bado wanaamini the highest stage of development ni Socialism!
    Bado wanaamini matheory ya Karl Marx! Hata hivyo hawakubali kuburuzwa na U.S.A!
  • Religion institution especially Christian!
    Nadhani unaona usanii unaotendeka ktk hiyo dini! Nakubali wapo christian wengi wa ukweli but na Mafreemansons wanaitumia hiyo dini kuhakikisha matakwa yao yanatimia!

    Nadhani unaona madhehebu yanavyoongezeka! Unaona miujiza inavyozidi na hata clear signs za mafreemanson umeziona zinavyotumika makanisani!
  • Hata taasisi za hela zinatumika, WB, IMF na Paris Bank! Wanatumia loans and aid kuhakikisha wanapitisha sera zao! Wanachokifanya kwanza ni kuharibu maadili! Kumbuka Ndoa za jinsia moja alafu niambie zinamausiano gani na mikopo au misaada kwa nchi masikini, mkumbuke na Museven!
...
For somehow wameanza kufanikiwa but kuna vikwazo vingi sana vinavyowafanya wasitimize ndoto zao!
Wanataka Serikali 1!
Pesa 1
Wanataka kupunguza population! Hili wanafanikiwa kidogo (kumbuka bidhaa zao kama soda) but kwa idadi ya watu wanaotaka wao hawawezi kuipata!

Ningeona kwenye bibleni vipi wameliongelea hili, ingekua poa sana!


Mkuu Mashaxizo maelezo yako yako Vzr lkn haya mambo yote yanasukumwa Na mgongo Wa DINI!
 
Last edited by a moderator:
Mi nafikil 2silumbane kuhusu DINI kam mashaxizo alilvyosema wa2 hawa wantumia kivul cha dini kuipotosha dunia haxa wale wanao mtii mungu wa2hawa wamejkita xana ktk dini ya ki christo pia hata ya k islam kwan wamesha anza hata ku2nga misahaf bandia
 
mi nafikil 2silumbane kuhusu dini kam mashaxizo alilvyosema wa2 hawa wantumia kivul cha dini kuipotosha dunia haxa wale wanao mtii mungu wa2hawa wamejkita xana ktk dini ya ki christo pia hata ya k islam kwan wamesha anza hata ku2nga misahaf bandia

sio kutunga ni kutumia
 
YOHANA 20:23
Soma utapata jibu la swali lako la ondoleo la dhambi
ETI mtu unakua NA sala ya kuombea WAFU. Ukamuombee mtu aliekufa ili umsaidie nini? Utaweza kumuondolea zambi MFU wewe? Ndio Maana mnafikia hatua kuwatangaza Watu waliokufa Kua WATAKATIFU.

ETI mtu unakwenda KUUNGAMA DHAMBI KWA PADRI. Yani binadamu mwenzako unakwenda kumueleza madhambi yako weeeeeeeh NA YEYE bila ata Aibu anakuambia Nenda UMESAMEHEWA! amekua nani Huyo mpk aweze kuondolea Watu Dhambi? Hiyo ndio KIFURU KUBWA MBELE ZA MUNGU kwa kujifanya kuchukua nafasi ya MUNGU hapa DUNIANI kwa kuwaondolea Watu Dhambi!

Alafu ETI tedo anakazana kutupigia kelele hapa. Pole sn Bwana Mdogo!
 
Last edited by a moderator:
Kwani sasa hakuna new world order? Au wakitaka kuimplement watashindwa?
 
ETI mtu unakua NA sala ya kuombea WAFU. Ukamuombee mtu aliekufa ili umsaidie nini? Utaweza kumuondolea zambi MFU wewe? Ndio Maana mnafikia hatua kuwatangaza Watu waliokufa Kua WATAKATIFU.

ETI mtu unakwenda KUUNGAMA DHAMBI KWA PADRI. Yani binadamu mwenzako unakwenda kumueleza madhambi yako weeeeeeeh NA YEYE bila ata Aibu anakuambia Nenda UMESAMEHEWA! amekua nani Huyo mpk aweze kuondolea Watu Dhambi? Hiyo ndio KIFURU KUBWA MBELE ZA MUNGU kwa kujifanya kuchukua nafasi ya MUNGU hapa DUNIANI kwa kuwaondolea Watu Dhambi!

Alafu ETI tedo anakazana kutupigia kelele hapa. Pole sn Bwana Mdogo!

bado hamuoni kuwa mungu anatengenezwa hata wewe unaweza kutengeza mungu chumbani kwako?endeleeni kuumbuana
 
Last edited by a moderator:
bado hamuoni kuwa mungu anatengenezwa hata wewe unaweza kutengeza mungu chumbani kwako?endeleeni kuumbuana
559621_355826774585051_1303708805354478917_n.jpg
 
Back
Top Bottom