What is energy in spirituality

Yeah ila kumwambia mtu kwa maneno tu haitoshi tu mpe njia za kufanya ili athibitishe mwenyewe tu .
Hivyo vitu vinajulikana na yeyote anaweza kuamua kujaribu yeye mwenyewe ili kujiridhisha kama ni kweli ama sio kweli ila cha kusikitisha huwa haiwi hivyo bali mtu yeye anapinga na hoja yake ni kwamba hakuna uthibitisho wa kisayansi.
 
Hivyo vitu vinajulikana na yeyote anaweza kuamua kujaribu yeye mwenyewe ili kujiridhisha kama ni kweli ama sio kweli ila cha kusikitisha huwa haiwi hivyo bali mtu yeye anapinga na hoja yake ni kwamba hakuna uthibitisho wa kisayansi.
Kama vipo na anauwezo wa kuthibitisha na wewe unaweza mfanya aweze thibitisha mwenyewe , hilo litakua tatizo lake na sio lako sasa.
 
Kama vipo na anauwezo wa kuthibitisha na wewe unaweza mfanya aweze thibitisha mwenyewe , hilo litakua tatizo lake na sio lako sasa.
Sio mimi nimfanye aweze kuthibitisha, hapo ndio kwenye tatizo nanalolisema. Nimekutajia hivyo vitu ambavyo vinajulikana ila tatizo ni kwamna kuna watu hata hawataki kuvielewa na kujaribu ili kujua ukweli bali wao huchagua kupinga hivyo vitu kwa hoja ya kwamba hakuna maelezo ya kisayansi kuelezea ufanyaje kazi wa hivyo vitu.
 
Sio rahisi kila mtu kuelewa tu bila uthibitisho , sioni tatizo wakibaki hivyo tu kama utakosa uthibitisho wa kisayansi wanaoutaka wao.
 
Kaka Kama nakupata hivi embu endelea kutupa vitu, hata kama una different literatures we weka tupitie tupate maarifa
A
 
I understand the language used has so many literatures concerning this topic comparing to our native language (Bongoman 🤗😄).
 
Can you please go further deeper 🙏, it's so interesting topic and I hope finally through discussions in this platform we can gain some understanding about this invisible realm.
 
Sio rahisi kila mtu kuelewa tu bila uthibitisho , sioni tatizo wakibaki hivyo tu kama utakosa uthibitisho wa kisayansi wanaoutaka wao.
Ndio nikasema kwamba watu wa aina hiyo hawana tofauti na watu wa dini.
 
Sio rahisi kila mtu kuelewa tu bila uthibitisho , sioni tatizo wakibaki hivyo tu kama utakosa uthibitisho wa kisayansi wanaoutaka wao.
Mkuu ujue sayansi ni sehem tu ya maarifa, hivo haiwezi kuthibitisha kila kitu.
 
Hauwezi kuniambia tu jambo fulani lipo au marekani pako hivi au vile bila mimi kupata uthibitisho na uzoefu wa mimi mwenyewe. Muafaka au suluhisho la kukomesha imani ni kujua .
Imani haigeuzi ndoto kuwa ukweli. Haibadilishi uongo kuwa ukweli au kinyume chake.

Na si chochote zaidi ya neno la kiimani ambalo watu hulitumia kuhalalisha kuamini katika mambo mbalimbali. Pia ni dhana ambayo hutumiwa tu na watu wakati hawana sababu au ushahidi wa kuamini katika kile ambacho kina ushahidi wa ukweli.

In belief,
you are afraid to question, because you know that the question will shake the belief. Have you ever wondered why you don’t question your beliefs? Because you know that the question will shatter your beliefs.

In Faith,
you play with the questions. You say, “Come, keep questioning. It is not that I have great answers, but I know that the issue at hand is beyond your questions.” It’s like trying to shoot a high flying plane with arrows. Your arrows will not reach there.

Faith has nothing to do with the questions. It is neither afraid of them, nor does it invite them. In front of Faith, if you toss questions, it would not feel disturbed. Belief would get disturbed and angry. It would react sometimes violently. Faith just wouldn’t take those questions seriously. Do you understand the difference?

Belief is very serious about questions, serious about not allowing questions. Faith does not take questions seriously, because faith knows something far deeper than the questions. It knows a point where no question can reach.
 
Hauwezi kuniambia tu jambo fulani lipo au marekani pako hivi au vile bila mimi kupata uthibitisho na uzoefu wa mimi mwenyewe. Muafaka au suluhisho la kukomesha imani ni kujua .
Iman huzipa uhalisia abstract ideas, hivo hakuna kujua bila imani.
 
Imani ndo msingi wa maarifa yetu, bila kuziamini abstruct ideas hakuna maarifa.
 
Hauwezi kuniambia tu jambo fulani lipo au marekani pako hivi au vile bila mimi kupata uthibitisho na uzoefu wa mimi mwenyewe. Muafaka au suluhisho la kukomesha imani ni kujua .
Kwa nini ukomeshe imani? Nakumbuka hata Kiranga huwa anasema kwamba kulala huku ukitegemea kuamka salama kesho ni imani kwa maana lolote linaweza kutokea usiweze kuamka hai kesho.
 
Kwa nini ukomeshe imani? Nakumbuka hata Kiranga huwa anasema kwamba kulala huku ukitegemea kuamka salama kesho ni imani kwa maana lolote linaweza kutokea usiweze kuamka hai kesho.
Nikijua kitu sihitaji tena kuamini, hakuna mtu anamnyima mtu kuamini ni haki ya kila mmoja ila ukisema spiritual ipo nitahitaji uthibitisho, kama ni kulala nimesha lala mara nyingi nakuamka angalau hilo jambo ninauzoefu nalo wala sihitaji kuaminishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…