AmenIko hivi,swala la kutoboa kimaisha sio lazima uweze kuinteract na watu wengi ingawa kwa kiasi flani inasaidia.Kuna watu ambao ni introverts ambao kama ni marafiki anao mmoja au hawazidi hata watano lkn mambo yake ni makubwa sana,na kuna watu wana marafiki wengi sana lkn yeye kila siku mtu wa kupiga mizinga.Kwahiyo kufanikiwa ni NEEMA tu kutoka kwa Mungu,ila usiache kupambana na wala usikate tamaa kwa kile unachoamini....
Umemshauri vyema..hata mm nakua mzito kuzoeana na watukanisani ni sehemu nzuri ya kuanza kuzoeana na watu,
kanisani si unaenda??
Nimecheka hapo mwishoni eti mimacho😂😂Back in 2018,2019,2020 huko
Nilikuwa naringa 🤣🤣
Najikuta siwezi jimix na watu 😂😂
Najiona miss indoor
Nilikuwa napata watu/ marafiki nashindwa kuwakeep
2021. Nikaanza kutoka kwenye ile zone, nikaacha kuwa categorize watu, kunata kukaniisha. nina hakika miaka niliyokuwa nayo 2020 ndiyo anayo Miss macho now. Akatae
Aiii now nina watu
Ambao hata nisipowapigia wao watanipigia
Siwezi kaa siku nzima sijapigiwa
Na kuna wale wanaweza jileta wawe friends
Kumbe wanakuja kukujua mimacho ni nani
Uwe makini 🤣🤣🤣 Ms eyes
Sisi wasabato huwa kuna programu za kukutana kirika na kujadili dini,maisha,mahusiano,afya na mengineyoKanisani??? Labda km kwenye shughuli za kikanisa.
Imagine Katoliki, unafika unakaa kwa desk lako. Saa ngapi utatengeneza urafiki?
Kuwapata hao sahihi ndio kimbembeUsitafute watu wengi tafuta watu sahihi mm ninawasiliana na kujuana na watu kibao ila tunaopeana michongo na deals angalau mkono uende kinywani ni wachache alafu wa kawaida sana hawa wengine wanabaki kuwa watu kwenye maisha ila huwezi sema unamuomba akupe hata deal la kupata 50k tu kinachobaki wao wakiona umefanya kitu wanabaki kuita ah tajiri ah jamaa umeyapatia hizi kauli sizipendi basi tu.
Hujakutana tu na watu sahihiNilishawahi kufanya hivyo, kanisani kuna wanaf’ki balaa🚮💔
wewe una chuki binafsi na waimba kwaya😂Kabisa, na ukitoka unakutana na wamama waimba choir
mkuu msikilize huyu mdada kwa umakini sanaWatu 90?? Mbona wengi sana
Kama unao 50 kwenye maisha yako wanatosha sana...hata hivyo kujuana sana sio issue wala nini,kwanza unajiepusha na mengi
Kuhusu kutopigiwa nayo mbona fresh tu...wewe huwa unawapigia lakini?
Ningekuwa sijaoa ningekuoa wewe...maana tunaendana sanaa..na life linasonga sanaa....marafiki wengi masnitch sanaa...Mimi yalishanikuta..watu wakanitumia kama ngazi...lakini nayakumbuka mazuri yao hapo nahisi walivuta labda niweze kupush majukum yao piaa... lakini Mwenyezi Mungu ni mwemaa... namshukuru..maisha yanasongaaBoyfriend hapana, wanani heartbreak sana nakuwa sina hata amani ya kuwa kwenye mahusiano.
mkuu pole sanaNingekuwa sijaoa ningekuoa wewe...maana tunaendana sanaa..na life linasonga sanaa....marafiki wengi masnitch sanaa...Mimi yalishanikuta..watu wakanitumia kama ngazi...lakini nayakumbuka mazuri yao hapo nahisi walivuta labda niweze kupush majukum yao piaa... lakini Mwenyezi Mungu ni mwemaa... namshukuru..maisha yanasongaa
kwa sauti ile hata mimi ningekupigia kila leoBack in 2018,2019,2020 huko
Nilikuwa naringa 🤣🤣
Najikuta siwezi jimix na watu 😂😂
Najiona miss indoor
Nilikuwa napata watu/ marafiki nashindwa kuwakeep
2021. Nikaanza kutoka kwenye ile zone, nikaacha kuwa categorize watu, kunata kukaniisha. nina hakika miaka niliyokuwa nayo 2020 ndiyo anayo Miss macho now. Akatae
Aiii now nina watu
Ambao hata nisipowapigia wao watanipigia
Siwezi kaa siku nzima sijapigiwa
Na kuna wale wanaweza jileta wawe friends
Kumbe wanakuja kukujua mimacho ni nani
Uwe makini 🤣🤣🤣 Ms eyes
itakuwa ila umeona zamani ya dada yetu pededshee Depal ? 😂 😂 😂Itakua zamani za kale😅
Lenie pia ni mzima wa afya bestie 🤗
[emoji120][emoji120] shukrani sana mkuu.mkuu pole sana
kama ni kula sawa njoo nilikuwa sijui kama kuna kula 😋susa
Wenzako wanakula
ni hapo zamani mnamo mwaka afu mbili na kumi na nane 😂 😂Sijaiona jamani
Jamani si juzi tu hapo🤣🤣🤣ni hapo zamani mnamo mwaka afu mbili na kumi na nane 😂 😂