Hivi yule mbwa tuliyemuagiza dereva ameenda kumpokea airport, walisema anakuja na ndege ya saa nane nilimkatia tiketi ya first class
Waiting anxiously for the outcome
:lol::lol::lol::lol::lol: Nisamehe mama mimi mkosaji nisije filisiwa bure hata hizo share ndogo zilizobaki nazo ukaninyang'anya.
kwanza hebu nitake radhi kabla cjakunyang'anya share zako huku,mm na mbwa wapi na wapi!
Nitamwambia for the time being he should step aside, i will play my part anything you want to know and ask from me let me knowIt wont be a long wait... But i think nawee u-play part yako. Mshauri your elder aache kua too demanding, inanifanya nisiwe na mda wa ziada for ratiba kidogo imekua ngumu... Ndio na enjoy lakini....
Nimekupata....mmmh, sijui huwa ni kupitiwa au! ....anyway, bad lucky ni kuwa "You are not Rose"
Nitamwambia for the time being he should step aside, i will play my part anything you want to know and ask from me let me know
Aisee the Finest, WL na Asha D ntawapiga Ban kwa kututoa nje ya Maada..............
BACK TO TOPIC PLZ..............
Yeah You can say that again................ and sometimes utakuta the guy spend a lot of time blaming that 'Rose' of his yaani anataka kukufanya ujione wewe ni bora na anaregret kukutana na huyo 'Rose' kwanza kabla yako..........wanasahau kuwa teh only message we anre getting ni kuwa .....he is still into 'Rose'..................phweee :israel:
I am back to topic mazee
Aisee the Finest, WL na Asha D ntawapiga Ban kwa kututoa nje ya Maada..............
BACK TO TOPIC PLZ..............
Halafu wamama/wadada wengi huwa hawasemi/hawaambii waenzi/wapenzi wao what they don't like to hear kwa kuwa waogopa kuachwa that's one of the reason.Yeah You can say that again................ and sometimes utakuta the guy spend a lot of time blaming that 'Rose' of his yaani anataka kukufanya ujione wewe ni bora na anaregret kukutana na huyo 'Rose' kwanza kabla yako..........wanasahau kuwa teh only message we anre getting ni kuwa .....he is still into 'Rose'..................phweee :israel:
Halafu wamama/wadada wengi huwa hawasemi/hawaambii waenzi/wapenzi wao what they don't like to hear kwa kuwa waogopa kuachwa that's one of the reason.
eeeeeeenhe endelea,nakusikiliza.......mmmh haya we kweli mapenzi yana run dunia
Mi napenda kumskikia akinisifia nimependeza,ninampikia chakula kizuri,mm mzuri (naamini hakuna mwanamke mbaya),anapenda nikimnyoshea nguo zake,anapenda navyonukia,anapenda mechi zetu za mchangani lol:A S-baby::A S-baby::A S-baby::bange::bange::bange:
SIPENDI MWANAMME ANIITE"WE MWANAMKE"
sipendi mwanamme mchafu(harufu ya jasho,zo kunajasho lile linanukia vizuri but kuna hili lingine hili mmmh)
Sipendi mwanamme mlevi kupindukia(awe mnywaji kiasi)
Sipendi mwanamme asofanya kazi ajishughulishe japo mkono uende kinywani,(japo baba arudi hme na kipande cha samaki)
Sipendi mwanamme anopenda maisha ya kucopy na kupaste eti coz rafiki yake yuko hivi na ss(mm na yy tuwe hivyo)
Sipendi mwanamme MMBEA
sipendi mwanamme mwenye dharau hasa kwa wanawake
Sipendi mwanamme asomsaidia mkewe hata kuangalia homework za watoto
Sipendi mwanamme aniombe TIGO agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr(huyu shetani simtaki kabisaaaaaaaaaaaaaa)
NTARUDI BADAE NA SIPENDI!
I beg to differ AshaD,hii stereotyping nanyi kinamama mnatufanyia tena kwa sana,si kila siku mnasema sisi wanaume ni kama fisi maji kokote tutatumbukiza nonino zetu,au sio nyie mnasema?Kuna maneno mengi sana as well as many themes... Na hii naizungumzia kwa wanaume woote wanao husika. Sipendi naneno au themes zinazohusiana na wanawake zikiwa na lengo za kukejeli, dhihaki, dharau uwezo na uwelewa wa mwanamke... Wanaume wakae wakijua nchi yetu hii ni nchi ya mfumo dume toka ilianza mpaka ilipo. Ni juzi tu wanawake wameanza kujitambua na kujihusisha katika mambo ya jamii - na ni wachache saana wameweza fanikiwa hilo. Hivyo basi anatokea mwanaume mwenye uelewa na asiye na uelewa na kunza kumdharau mwanamke kwa matendo na maneno wakisahau kua hizo confidence na positions ni mama zao waliwezesha; na pia kusahau kua dada zao bado wanasafari ndefu mpaka woote wapate uelewa na kujitambua....
Hii statement ya akili ya wanawake bwana!.... Hata niwe wapi, hata uwe na wadhifa gan, hata kama siruhusiwi kukohoa - I dont leave that room mpaka nikupashe na ni defend uwepo wetu wamama...
It wont be a long wait... But i think nawee u-play part yako. Mshauri your elder aache kua too demanding, inanifanya nisiwe na mda wa ziada for ratiba kidogo imekua ngumu... Ndio na enjoy lakini....
Kama nimekuelewa vizuri unamaanisha ni nini nisichopenda kukisikia au ni topic gani nisopenda kuisikia kutoka kwa mume wangu................. Discussion juu ya EX zake au wake.........iwe mbaya iwe nzuri (What has been burried should remain where it is). Kuna wanaume wengine yaani kila ufanyacho utasikia '....angekuwa Rose hapa angefanya hivi' Sipendi.
I beg to differ AshaD,hii stereotyping nanyi kinamama mnatufanyia tena kwa sana,si kila siku mnasema sisi wanaume ni kama fisi maji kokote tutatumbukiza nonino zetu,au sio nyie mnasema?
what else would a baby gal like you like from a MAN....LOL:israel:
Tumekuwa na ile hulka wote wanaume/wanawake kwamba ukimwambia mtu fulani haupendi kitu fulani unakuwa unaogopa kuwa atajisikia vibaya, kama alivyosema MwanajamiiOne hata mimi ile tabia ya mtu kuanza kuniambia "Sijui angekuwa John au Edward yaani hili suala angekuwa ameishanifanyia" hii kitu huwa inakera sana
Mkuu hapo kwenye kuogopa kusema ni sehemu ya kuendelea kwa tatizo lililopo
Katika hili naona matatizo mawili makuu
1. Ladies hawasemi bali hukenua na kumfanya mwanaume aone Yes, hapa ni penyewe hapa....
2. Wanaume wakiambiwa huwa wanang'aka na kuacha kutorudia tena
So ni pande zote kufanya inavyostahili.........A lady must be strong and speak out her emotions and feelings and Men must accept the feelings/emotions of his partner and stop fumbling.....at least will serve kwa maana hakuna faida sana katika hili zaidi ya kumuumiza mwingine