What story dont you like to hear from Men?

What story dont you like to hear from Men?

Mazungumzo nisiyopenda kuskia kutoka kwa mwanaume ni,,,kujifisifia kulikopitiliza! its real boring.....

Will be back for another list...:israel:


Karibu sana with another list....atleast wewe umeongezea neno "KULIKOPITILIZA" kwenye kujisifu...tunakupata vema sana
 
Kuna maneno mengi sana as well as many themes... Na hii naizungumzia kwa wanaume woote wanao husika. Sipendi naneno au themes zinazohusiana na wanawake zikiwa na lengo za kukejeli, dhihaki, dharau uwezo na uwelewa wa mwanamke... Wanaume wakae wakijua nchi yetu hii ni nchi ya mfumo dume toka ilianza mpaka ilipo. Ni juzi tu wanawake wameanza kujitambua na kujihusisha katika mambo ya jamii - na ni wachache saana wameweza fanikiwa hilo. Hivyo basi anatokea mwanaume mwenye uelewa na asiye na uelewa na kunza kumdharau mwanamke kwa matendo na maneno wakisahau kua hizo confidence na positions ni mama zao waliwezesha; na pia kusahau kua dada zao bado wanasafari ndefu mpaka woote wapate uelewa na kujitambua....

Hii statement ya akili ya wanawake bwana!.... Hata niwe wapi, hata uwe na wadhifa gan, hata kama siruhusiwi kukohoa - I dont leave that room mpaka nikupashe na ni defend uwepo wetu wamama...
Kuna mdada aliniambia yeye anapenda mwanaume anayekoroma ila sio asiwe anakoroma sana
 
Kuna maneno mengi sana as well as many themes... Na hii naizungumzia kwa wanaume woote wanao husika. Sipendi naneno au themes zinazohusiana na wanawake zikiwa na lengo za kukejeli, dhihaki, dharau uwezo na uwelewa wa mwanamke... Wanaume wakae wakijua nchi yetu hii ni nchi ya mfumo dume toka ilianza mpaka ilipo. Ni juzi tu wanawake wameanza kujitambua na kujihusisha katika mambo ya jamii - na ni wachache saana wameweza fanikiwa hilo. Hivyo basi anatokea mwanaume mwenye uelewa na asiye na uelewa na kunza kumdharau mwanamke kwa matendo na maneno wakisahau kua hizo confidence na positions ni mama zao waliwezesha; na pia kusahau kua dada zao bado wanasafari ndefu mpaka woote wapate uelewa na kujitambua....

Hii statement ya akili ya wanawake bwana!.... Hata niwe wapi, hata uwe na wadhifa gan, hata kama siruhusiwi kukohoa - I dont leave that room mpaka nikupashe na ni defend uwepo wetu wamama...

Well noted Asha D.....Respect ni zawadi kubwa unayoweza kumpa mtu *(sio mwanamke tu) na inayodumu mioyoni zaidi ya zawadi zote...this is the best winning strategy kwa kusema ukweli..............Hope tutabadilika na kuelewa kwamba you worthy of our respect kama vile ambavyo tumekuwa tuki-demand respect from you

Ahsante Asha D
 
Kuna mdada aliniambia yeye anapenda mwanaume anayekoroma ila sio asiwe anakoroma sana


Simlaumu (it may be used for the purpose of special scenarios).. But siamini kua anataka huo ukoromaji uwe unam degrade.....
 
Simlaumu (it may be used for the purpose of special scenarios).. But siamini kua anataka huo ukoromaji uwe unam degrade.....
Hivi Asha bado haujaanza kufanya recruitment kuhisi lile hitaji langu, deadline karibia inafika lol
 
Well noted Asha D.....Respect ni zawadi kubwa unayoweza kumpa mtu *(sio mwanamke tu) na inayodumu mioyoni zaidi ya zawadi zote...this is the best winning strategy kwa kusema ukweli..............Hope tutabadilika na kuelewa kwamba you worthy of our respect kama vile ambavyo tumekuwa tuki-demand respect from you

Ahsante Asha D

Thank you, I appreciate...But Ingekua kila kaka ni muelewa ingekua ni rahisi, bahati nzuri wengi ni waelewa saizi na wanaongelea hilo suala - ila bahati mbaya inakuja pale kua si wote wanaongea wana maanisha hivyo hawana impact yoyote katika jamii kwani hawawezi elimisha wanaume wenzao wanao fanya hivyo.... Ni kweli kua kila mwanadamu ana command respect but hapa for women you have to earn your respect and for Men it is automatically there except in rare cases...
 
Hivi Asha bado haujaanza kufanya recruitment kuhisi lile hitaji langu, deadline karibia inafika lol


Dont worry TF, sipendi kufanya vitu kwa kubahatisha, kila kitu kiko in process na end result itakua astounding mpaka whether you like it or not utani reward ile mbaya...
 
Siwezi kuacha kujisifia ila nitapunguza:israel::israel::israel:lol hapo najua utanipenda

sitaki uache kujisifu ndo maana nikasema kujisifu kuliko pitiliza..kweli inachefua!otherwise kukupenda nakupenda lkn jirekebishe..
 
Dont worry TF, sipendi kufanya vitu kwa kubahatisha, kila kitu kiko in process na end result itakua astounding mpaka whether you like it or not utani reward ile mbaya...
Nakuaminia najua wewe unafanya kazi kama Magufuli lol
 
Ni fursa kwa wakina dada na wakina mama, uwanja wenu

Personally (sijui kama wapo na wengine) ningependa kufahamu ni aina gani ya mazungumzo (Neno au theme yenyewe) ambayo mara nyingi (kama sio mara zote) hupendi kuisikia kutoka kwa mumeo au mpenzi wako wa kiume?

Ni nini mara nyingi unapenda kukisikia kutoka kwake (neno au theme)?

Tusaidieni tufahamu

Kama nimekuelewa vizuri unamaanisha ni nini nisichopenda kukisikia au ni topic gani nisopenda kuisikia kutoka kwa mume wangu................. Discussion juu ya EX zake au wake.........iwe mbaya iwe nzuri (What has been burried should remain where it is). Kuna wanaume wengine yaani kila ufanyacho utasikia '....angekuwa Rose hapa angefanya hivi' Sipendi.
 
sitaki uache kujisifu ndo maana nikasema kujisifu kuliko pitiliza..kweli inachefua!otherwise kukupenda nakupenda lkn jirekebishe..
Hivi yule mbwa tuliyemuagiza dereva ameenda kumpokea airport, walisema anakuja na ndege ya saa nane nilimkatia tiketi ya first class
 
Kama nimekuelewa vizuri unamaanisha ni nini nisichopenda kukisikia au ni topic gani nisopenda kuisikia kutoka kwa mume wangu................. Discussion juu ya EX zake au wake.........iwe mbaya iwe nzuri (What has been burried should remain where it is). Kuna wanaume wengine yaani kila ufanyacho utasikia '....angekuwa Rose hapa angefanya hivi' Sipendi.
Hahahaha!!! Maneno Kuntu haya
 
"Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL (Twanga KoteKote)"~The Finest..

Ha ha haaaaaa.... ebana hii kibokoooo!!!!! duh...
 
"Mimi nitakuomba VODACOM (Kazi ni kwako), ukikataa nitakuomba AIRTEL (Feel Free) nayo ukikataa nakuomba ZANTEL (Twanga KoteKote)"~The Finest..

Ha ha haaaaaa.... ebana hii kibokoooo!!!!! duh...kweli wewe ni The Finest!!!
 
Kama nimekuelewa vizuri unamaanisha ni nini nisichopenda kukisikia au ni topic gani nisopenda kuisikia kutoka kwa mume wangu................. Discussion juu ya EX zake au wake.........iwe mbaya iwe nzuri (What has been burried should remain where it is). Kuna wanaume wengine yaani kila ufanyacho utasikia '....angekuwa Rose hapa angefanya hivi' Sipendi.


Nimekupata....mmmh, sijui huwa ni kupitiwa au! ....anyway, bad lucky ni kuwa "You are not Rose" and you will never be Rosie labda uji-force kitu ambacho ni hatari zaidi
 
Back
Top Bottom