What's so special about Nairobi?

What's so special about Nairobi?

Sure walahi.....kweli....nilienda center kabisaaa Kuna biashara nilifata sehem tatu....nilipanda matatu zao nikazunguka so nilichek chek....jamani zaidi ya Ile express sijaona kitu kikubwa sana.... although Kuna mtu nilimuuuliza akasema umeenda sehem za viwamda/magodwn....hujaona sehem za ma elites....
Mwezi WA 9 naenda tena....natamani nipate campany nizunguke maana naona kabisa was not enough......sijaona ambacho nilitakiwa kuona ...Sasa ishu kwenye business trip unabana matumizi

Wale wanaoplan trips nje ya nchi changamkieni fursa watu wakajionee Nairobi haha
 
Uliposema Nairobi ni mbovu ulifikiria hilo? 😂
Anyway, you've given us the answer.
Ukweli ni kwamba mawazo niliyokua nayo mwanzo sikutegemea na nilivyokuta....lakini haimaanishi kwamba hakuna vitu vizuri
 
Back
Top Bottom