What's so special about Nairobi?

What's so special about Nairobi?

NAIROBI: Kenya imeunda bus lake la kwanza la umeme na lilianza kufanya kazi ya kubeba abilia mwezi uliopita.

Hapa Tanganyika vipi?.
 
Umeongea vyote sawa kuna hili la wakenya "kuabudu Sana wazungu"..
Waajiriwa wa Kikenya huwa waaminifu Sana wanapoajiriwa na Wazungu.....
Wabongo Ile culture ya Ujamaa na kujitegemea imepelekea pia tuwe
"Masikini jeuri"...hatuwababaikii wazungu Sana na tuna culture ya "kuiba kazini "very very unique
Mtu anaajiriwa haulizi mshahara..anauliza wenzie "hapa mnaishi vipi"... culture ilianzia mashirika ya umma sasa imekuwa kila sehemu....mgeni akileta kampuni Tz anapaswa kuwa makini mno na kila mtu...dereva ataiba mafuta... secretary ataiba karatasi...etc ..
We mbna haya unayoyaongelea mabo ya kawaida sana..
Km kuiba kw wa tz ndio hko basi bado sana..

Hayo ni km marupurupu ya kijanja ili kila moja aishi
 
V
Umeshafika london
Unaiweka london na nairobi kwenye sentensi moja serious
Waafrika huwaga tuna vituko sana
Nairobi haifikii london hata asilimia 1 mkuu

Mfano mdogo jiji la londono kwa asilimia 99 lina paving block au cobblestone njoo nairobi ni vumbi mwanzo mwisho huo ni mfano mdogo sana

London hakuna kibera au mathare slums yaan huwez kuta kuna watu wanaishi kwenye nyumba za mabati kwenye eneo kubwa kama kibera au mathare yaani nairobi asilimia 60 ya wakazi wake wanaishi kwenye slum zilizoizinguka nairobi alafu unalazimisha iko sawa na london
Hii inaonyesha hujawahi fika Nairobi,vumbi mwanzo mwisho ni huko huko matopeni tanganyika shamba la wakulima wa vijembe vya mkononi.
Halafu siku hizi mna viburi nyie sana ilhali Bado sana mpo mpo tu, labda miaka 25 ijayo ndiyo mtaweza fikia hali Kenya iliko Sasa,na hapo Kenya itakua imesonga hatua 100 mbele.
Sijui nani kawadanganya ,sijui ni hiko kijireli Cha ajabu ambacho hakitoweza kukamilika hususan ikumbukwe umeme wenyewe hamna.

Mitanganyoko makelb mahayawan.
 
V

Hii inaonyesha hujawahi fika Nairobi,vumbi mwanzo mwisho ni huko huko matopeni tanganyika shamba la wakulima wa vijembe vya mkononi.
Halafu siku hizi mna viburi nyie sana ilhali Bado sana mpo mpo tu, labda miaka 25 ijayo ndiyo mtaweza fikia hali Kenya iliko Sasa,na hapo Kenya itakua imesonga hatua 100 mbele.
Sijui nani kawadanganya ,sijui ni hiko kijireli Cha ajabu ambacho hakitoweza kukamilika hususan ikumbukwe umeme wenyewe hamna.

Mitanganyoko makelb mahayawan.
Nairobi hii ya kibera na mathare unasema haina vumbi
 
V

Hii inaonyesha hujawahi fika Nairobi,vumbi mwanzo mwisho ni huko huko matopeni tanganyika shamba la wakulima wa vijembe vya mkononi.
Halafu siku hizi mna viburi nyie sana ilhali Bado sana mpo mpo tu, labda miaka 25 ijayo ndiyo mtaweza fikia hali Kenya iliko Sasa,na hapo Kenya itakua imesonga hatua 100 mbele.
Sijui nani kawadanganya ,sijui ni hiko kijireli Cha ajabu ambacho hakitoweza kukamilika hususan ikumbukwe umeme wenyewe hamna.

Mitanganyoko makelb mahayawan.
Haya ni baadhi ya maene ya nairobi alafu unasema ni nusu ya london
Mda huo huo unatudanganya hakuna vumbi
 

Attachments

  • E6ECFC81-9981-4788-BABA-C32D2C84CA82.jpeg
    E6ECFC81-9981-4788-BABA-C32D2C84CA82.jpeg
    71.1 KB · Views: 3
  • A2B5DE5E-837C-4E41-B352-2E9504A5230B.jpeg
    A2B5DE5E-837C-4E41-B352-2E9504A5230B.jpeg
    145.1 KB · Views: 3
V

Hii inaonyesha hujawahi fika Nairobi,vumbi mwanzo mwisho ni huko huko matopeni tanganyika shamba la wakulima wa vijembe vya mkononi.
Halafu siku hizi mna viburi nyie sana ilhali Bado sana mpo mpo tu, labda miaka 25 ijayo ndiyo mtaweza fikia hali Kenya iliko Sasa,na hapo Kenya itakua imesonga hatua 100 mbele.
Sijui nani kawadanganya ,sijui ni hiko kijireli Cha ajabu ambacho hakitoweza kukamilika hususan ikumbukwe umeme wenyewe hamna.

Mitanganyoko makelb mahayawan.
Nairobi hii au kuna nyingine[emoji23][emoji23]...

Tazama hii video usome na comments za foreigners ambavyo wanakuwa disappointed wakifika Nairobi...


View: https://youtu.be/vio5LVbgj9s?si=7UyUdJxn1UpS0-Ii
 
Sure walahi.....kweli....nilienda center kabisaaa Kuna biashara nilifata sehem tatu....nilipanda matatu zao nikazunguka so nilichek chek....jamani zaidi ya Ile express sijaona kitu kikubwa sana.... although Kuna mtu nilimuuuliza akasema umeenda sehem za viwamda/magodwn....hujaona sehem za ma elites....
Mwezi WA 9 naenda tena....natamani nipate campany nizunguke maana naona kabisa was not enough......sijaona ambacho nilitakiwa kuona ...Sasa ishu kwenye business trip unabana matumizi
Shida ya wakenya ni uchafu, kingine ni ujuaji uliopitiliza, ni kweli wazungu walijitahidi kuwajengea ule mji lkn wao wakashindwa kuendeleza kutokana na ujuaji na kutokuwa wazalendo, unakuta barabara inatengenezwa leo we nenda wiki ijayo utakutana na uchafu wa kila aina. Kingine ni wizi, Kenya kila mtu ni mwizi aisee.

Nenda tena kwa ajili ya utalii alafu urudi kutueleza hapa.
 
Shida ya wakenya ni uchafu, kingine ni ujuaji uliopitiliza, ni kweli wazungu walijitahidi kuwajengea ule mji lkn wao wakashindwa kuendeleza kutokana na ujuaji na kutokuwa wazalendo, unakuta barabara inatengenezwa leo we nenda wiki ijayo utakutana na uchafu wa kila aina. Kingine ni wizi, Kenya kila mtu ni mwizi aisee.

Nenda tena kwa ajili ya utalii alafu urudi kutueleza hapa.
Twende wote basi
 
Nairobi ni half London kabla hujaenda huko kwa wazungu hakikisha umepita Nairobi utoe tongo tongo

Ujamaa na Ccm vimetukosesha mambo mengi sana

Kigali ni ndogo sana kwa Nairobi kuanzia ukubwa wa eneo majengo na vingine ila kwa usafi Kigali ipo juu sana
Ulishawahi kukanyaga Kigali?
 
Shida ya wakenya ni uchafu, kingine ni ujuaji uliopitiliza, ni kweli wazungu walijitahidi kuwajengea ule mji lkn wao wakashindwa kuendeleza kutokana na ujuaji na kutokuwa wazalendo, unakuta barabara inatengenezwa leo we nenda wiki ijayo utakutana na uchafu wa kila aina. Kingine ni wizi, Kenya kila mtu ni mwizi aisee.

Nenda tena kwa ajili ya utalii alafu urudi kutueleza hapa.
Umeongea ukweli. Kenya ubabe mwingi,wizi uchafu but anyway tusisahau na lugha inawabeba kwenye movies nyingi .
12 years slave-lupita nyong'o
 
Sure walahi.....kweli....nilienda center kabisaaa Kuna biashara nilifata sehem tatu....nilipanda matatu zao nikazunguka so nilichek chek....jamani zaidi ya Ile express sijaona kitu kikubwa sana.... although Kuna mtu nilimuuuliza akasema umeenda sehem za viwamda/magodwn....hujaona sehem za ma elites....
Mwezi WA 9 naenda tena....natamani nipate campany nizunguke maana naona kabisa was not enough......sijaona ambacho nilitakiwa kuona ...Sasa ishu kwenye business trip unabana matumizi
Mwezi wa Tisa Huu. Uko wapi dada? Ulienda industrial area ukaona umetembea Nairobi? Ama ni zile zenu za 'nimebahatika kufika Nailobi' wakati hata mpakani hujakanyaga.
 
Mwezi wa Tisa Huu. Uko wapi dada? Ulienda industrial area ukaona umetembea Nairobi? Ama ni zile zenu za 'nimebahatika kufika Nailobi' wakati hata mpakani hujakanyaga.
Hahahahahahaha uwiiiii...ulikua wapo kunipopoa tangu zamani... actually nishaenda more than 3 times kuanzia hiyo siku...
Ukweli nimeenda industrial area both times
 

Attachments

  • PXL_20230824_063236553.mp4
    15.7 MB
  • PXL_20230824_063247113.mp4
    7.3 MB
  • VID-20230824-WA0104.mp4
    5.5 MB
Hahahahahahaha uwiiiii...ulikua wapo kunipopoa tangu zamani... actually nishaenda more than 3 times kuanzia hiyo siku...
Ukweli nimeenda industrial area both times
Compare Nairobi's Industrial area with Dar's Industrial area and give us the report.
 
Back
Top Bottom