What's so special about Nairobi?

What's so special about Nairobi?

Vp ukilinganisha nairobi na miji hiyo.
Mkuu siwezi kulinganisha Washington na Nairobi nachosema kuwa Nairobi wapo vizuri ila kwa wageni wa Safari wao wanataka Nairobi iwe sawa na New York City kitu ambacho sio kweli...ukiona Mbeya ina unafuu isifiwe kwa uwezo wake usilinganishe na London mazee...
 
Uje mtaala mpya..

Jinsi ya kumzuia mbongo kuiba kazini..
yaani haita kaa kutokea kila mbongo anaomba kazia aende akaibe aliyechoka kuiba anaanzisha biashara yake anaogopa kuajiri mtu aatamuibia.....anaajiri mtu amlinde asimuibie bongo wizi mtupu...
 
Kubishanq na mpuuzi ni kujidhalilisha
Sasa kama mimi ni mpuuzi kwa nini umeanza hata kubishana nami?

Na unaendelea kujibizana nami wakati unajua kubishana na mpuuzi ni kujidhalilisha?

Hapa nani mpuuzi sasa?
 
Benjamin Fernandez, Mtanzania aliyeanzisha mfumo wa malipo kimtandao wa NALA, alikuja Tanzania akataka kuweka makao makuu ya biashara zake Tanzania, akapata mpaka support ya rais, rais akasema atamsaidia kwa lolote analotaka. Lakini serikali ya Tanzania imem frustrate sana Benjamin mpaka akaenda kuanzisha makao makuu yake Nairobi. Maana yake analipa kodi Kenya badala ya Tanzania.
Na hili jamaa aliwahi kuulizwa akaliongelea kweli Bongo nyoso
 
Bado nakazia mpuuzi aliekuleta duniani
Wewe umezidi upuuzi kwa sababu umesema kubishana na mpuuzi ni upuuzi halafu bado unabishana na unayemuita mpuuzi.

Wewe guluguja usiye na ubongo wala uti wa mgongo.

Unaenda kwa hisiahisia tu.
 
Una umri gani sista
Nakufundisha ukimuona mtu mpuuzi unamfanyaje.

Ukimuona mtu mpuuzi unampeleka ignore list, ambako kuanzia hapo huoni post yake yoyote.

Katika ulimwengu wako wa JF anakuwa mtu mfu.

Na hivi ndivyo ninavyokufanyia wewe.

Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona post yako. Nakuzika kutoka ulimwengu wangu wa JF.

"When you have to shoot, shoot. Don't talk".


View: https://www.youtube.com/watch?v=JrYtD7gSWsI
 
Tumewafikia kimajengo..
Lakini sio business culture
Hata kimajengo bado sana , quality ya majengo yetu ni substandard! Construction na design ya majengo yetu bado sana; comparatively ni sustandard!
 
Back
Top Bottom