Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ilichukua muda kidogo kuipata North Pole yake na kuweza kuzunguka niliweka KCB au pale Garden ndio sehemu nikifika ni rahisi kufika Hotel aisee ukijichanganya kidogo tu unatokea Ngara Saccos huko...Huyo hajazunguka labda kafikia kule slam mabanda
Hyu anasema alienda kibiashara kuna uwezekano alienda kule westland kwa wasomaliSio kweli Nairobi ni Jiji kubwa Mjini sio pa kawaida kama unavyopazungumzia...mimi nimeenda majiji mengi Duniani ila Nairobi nawapa Sifa yao ya uzuri...
Ukienda kibiashara hauzunguki kwanza mfuko unakubana kama unataka kuishia Kilinyaga Road utaishia hapo hapo ununue parts zako urudi Arusha harafu useme umefika Nairobi ni pa kawaida mno Nairobi...Hyu anasema alienda kibiashara kuna uwezekano alienda kule westland kwa wasomali
Nairobi kuna tongotongo gani la kutoa pale mazee 😀,sema wale watu mindset yao tu ya ubepari inawabeba sie ujamaa umetufanya tujione we are nothing at least sasa hivi kidogo ndio tumeanza kushtukaNairobi ni half London kabla hujaenda huko kwa wazungu hakikisha umepita Nairobi utoe tongo tongo
Ujamaa na Ccm vimetukosesha mambo mengi sana
Kigali ni ndogo sana kwa Nairobi kuanzia ukubwa wa eneo majengo na vingine ila kwa usafi Kigali ipo juu sana
Hii kitu nakubaliana nawe 100%,kenya mambo ya siasa na biashara wameyaweka mbali mbali japo wafanyabiashara wao wakubwa ni wanasiasaUkoloni wa Kenya ulikuwa wa ki settlers zaidi, waliwekeza sana wakati wa ukoloni mpaka leo kuna wazungu wanamiliki ardhi za kutisha Kenya. Hata kuondoka kwa wazungu Kenya ilikuwa kwa mbinde sana, rejea ishu ya maumau.
Wakati wa vita baridi Kenya wao waliamua kujiunga na West na kubaki katika ubepari. Haikuingia katika siasa za ujamaa.
Lugha ya Kingereza nayo inawebeba sana, Kiswahili sio lugha inayozungumzwa sana nje ya Africa Mashariki.
Serikali zote za Kenya zimekuwa wanaheshimu sana property rights na uwekezaji binafsi. Kenya sio rahisi serikali kuingilia mali au biashara binafsi kwa sababu ya siasa. Kuna watu walikwapua ardhi wakati wa uhuru lakini hawajawahi kunyang'anywa mpaka leo. Odinga alivyokuwa mpinzani wa serikali kwa miaka yote asingeweza kufanya biashara na kuwa na ukwasi mkubwa kama alio nao leo ingekuwa nchi nyingine za Africa Mashariki.
Pia Kenya wameweza kutumia rasilimali chache walizo nazo kwa ufanisi zaidi na pia kutumika kama kituo cha biashara na magendo ya rasilimali za madini kutoka nchi nyingine nyingi za Africa. Kuna kitu huwa kinaitwa laana ya rasilimali ambayo hupata nchi nyingi zenye rasilimali nyingi, huenda Kenya kutokuwa na rasilimali nyingi pia wameepuka hilo na kujikita zaidi katika biashara.
Upo Nairobi?Bado sana unatakiwa utenge muda
hizi fikra za kiujamaa zimepitwa na wakati, yakhee. njoo kenya utembee na ujionee yale mazuri tunayoyafanya na yale mabaya pia. usijifungie hapo kinondoni kama paka wa kiarabu.Nairobi ni shamba la bibi kwa wazungu [emoji16]
Mwalimu bwana..Enzi ya mwalimu alisema, "sio lazima uende Ulaya kushangaa magorofa, nenda Nairobi".
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Hivi kuibiwa muajiri wako ndio kutoabudu Wazungu?Umeongea vyote sawa kuna hili la wakenya "kuabudu Sana wazungu"..
Waajiriwa wa Kikenya huwa waaminifu Sana wanapoajiriwa na Wazungu.....
Wabongo Ile culture ya Ujamaa na kujitegemea imepelekea pia tuwe
"Masikini jeuri"...hatuwababaikii wazungu Sana na tuna culture ya "kuiba kazini "very very unique
Mtu anaajiriwa haulizi mshahara..anauliza wenzie "hapa mnaishi vipi"... culture ilianzia mashirika ya umma sasa imekuwa kila sehemu....mgeni akileta kampuni Tz anapaswa kuwa makini mno na kila mtu...dereva ataiba mafuta... secretary ataiba karatasi...etc ..
Sio kweli Nairobi ni Jiji kubwa Mjini sio pa kawaida kama unavyopazungumzia...mimi nimeenda majiji mengi Duniani ila Nairobi nawapa Sifa yao ya uzuri...
Yap safari ni kawaida tuu...Kwa hiyo umeenda Windhoek, Gaborone, pia Rabat mpaka Doha, lakini Nairobi ukaipa sifa yake!!!?
Watu mnasiri sanaAiseee nilienda juzi eeeee....I have some pictures.....hapana aiseee.pa kawaida mnoooo zaidi ya Sana.i was disappointed....
Maana nilikua na picha kubwa sana na matarajio
Yap safari ni kawaida tuu...