What's so special about Nairobi?

What's so special about Nairobi?

Nairobi ni half London kabla hujaenda huko kwa wazungu hakikisha umepita Nairobi utoe tongo tongo

Ujamaa na Ccm vimetukosesha mambo mengi sana

Kigali ni ndogo sana kwa Nairobi kuanzia ukubwa wa eneo majengo na vingine ila kwa usafi Kigali ipo juu sana
Acha uongo nairobi nzima hakuna district kama sandton jburg in short kwa afrika katika miji mikubwa hakuna mji kama jburg na sio nairobi

Nairobi iko overrated sana
 
Kuna Rais wetu mmoja alituma vijana eti wakajifunze packaging Kenya
Yaani kufungasha matunda kwenye box 📦 wakaenda kujifundisha Kenya
Hawa ndio maana ukiwakuta kazini wako serious kuliko watz hata kama ni waalimu tu

Wanajali kazi zaidi kuliko watz wanaowaza kuiba tu hata awe na PhD
 
Acha uongo nairobi nzima hakuna district kama sandton jburg in short kwa afrika katika miji mikubwa hakuna mji kama jburg na sio nairobi

Nairobi iko overrated sana
Huu ni ukapuku tu ,ndiyo sababu tukisema maandamano katiba ibadilishwe inaambulia patupu kama nyie ndo tegemeo .
Multinationals nyingi mpaka JP morgan juzi wametangaza presence in nairobi .
Kenya nje ya Nairobi ni kama kwetu tu ila ule mji upo advanced sana .
Sandton unaisifia ???ipo area nlipelekwa na jamaa fulan inaitwa muthaiga sijui muthiga na westlands, daah sandton haitoboi .
Na ndio jburg nimesafiri abt 4 times since 2019 ,south africa inshort ipo on a decline nlitarajia utasema banana island ,lagos angalau .
Jburg ipo infested na crime ,power blackouts ,na mji ule ni mchafu sana .Afadhali niishi dar hii hii ye2 ila sio ile dampo inayoitwa south africa .
SA imebaki kuwa white elephant tu


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huu ni ukapuku tu ,ndiyo sababu tukisema maandamano katiba ibadilishwe inaambulia patupu kama nyie ndo tegemeo .
Multinationals nyingi mpaka JP morgan juzi wametangaza presence in nairobi .
Kenya nje ya Nairobi ni kama kwetu tu ila ule mji upo advanced sana .
Sandton unaisifia ???ipo area nlipelekwa na jamaa fulan inaitwa muthaiga sijui muthiga na westlands, daah sandton haitoboi .
Na ndio jburg nimesafiri abt 4 times since 2019 ,south africa inshort ipo on a decline nlitarajia utasema banana island ,lagos angalau .
Jburg ipo infested na crime ,power blackouts ,na mji ule ni mchafu sana .Afadhali niishi dar hii hii ye2 ila sio ile dampo inayoitwa south africa .
SA imebaki kuwa white elephant tu


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kadanganye watu wengine
Jburg ufananishe na nairobi acha ukichaaa
Unaijua jburg vizuri

Yaan unaijua nchi ya south afrika usingeongea huo upupu ile nchi ina-mapungufu yake ila huwezi iweka mstari mmoja na kenya katika nchi zote afrika hakuna colony lililojengwa kama south afrika kuanzia pretoria, jburg, durban, capetown wazungu ile nchi waliijenga

Hata kwa gdp ya miji jburg ina gdp kubwa kuliko nchi yote ya kenya
alafu unaifananisha na nairobi tena kwa kujiamini tuacheni ujuaji
 
Niliwah kusikia neno Simba Serengeti kwenye series ya kikorea nilishangaa sana
 
Kadanganye watu wengine
Jburg ufananishe na nairobi acha ukichaaa
Unaijua jburg vizuri

Yaan unaijua nchi ya south afrika usingeongea huo upupu ile nchi ina-mapungufu yake ila huwezi iweka mstari mmoja na kenya katika nchi zote afrika hakuna colony lililojengwa kama south afrika kuanzia pretoria, jburg, durban, capetown wazungu ile nchi waliijenga

Hata kwa gdp ya miji jburg ina gdp kubwa kuliko nchi yote ya kenya
alafu unaifananisha na nairobi tena kwa kujiamini tuacheni ujuaji
Mandhari ya Nairobi ni kama London,yaani miti miti ,majengo,hali ya hewa,Sheria za mji,mpango mji na muonekano wa kiasili yaani tamaduni ya uingereza.
Wewe hukuelewa mada Wala siyo GDP sijui ukubwa Wala idadi ya majengo,Bure kabisa weye mtu hovyo.
Hushafika London?
 
Mandhari ya Nairobi ni kama London,yaani miti miti ,majengo,hali ya hewa,Sheria za mji,mpango mji na muonekano wa kiasili yaani tamaduni ya uingereza.
Wewe hukuelewa mada Wala siyo GDP sijui ukubwa Wala idadi ya majengo,Bure kabisa weye mtu hovyo.
Hushafika London?
Umeshafika london
Unaiweka london na nairobi kwenye sentensi moja serious
Waafrika huwaga tuna vituko sana
Nairobi haifikii london hata asilimia 1 mkuu

Mfano mdogo jiji la londono kwa asilimia 99 lina paving block au cobblestone njoo nairobi ni vumbi mwanzo mwisho huo ni mfano mdogo sana

London hakuna kibera au mathare slums yaan huwez kuta kuna watu wanaishi kwenye nyumba za mabati kwenye eneo kubwa kama kibera au mathare yaani nairobi asilimia 60 ya wakazi wake wanaishi kwenye slum zilizoizinguka nairobi alafu unalazimisha iko sawa na london
 
Huu ni ukapuku tu ,ndiyo sababu tukisema maandamano katiba ibadilishwe inaambulia patupu kama nyie ndo tegemeo .
Multinationals nyingi mpaka JP morgan juzi wametangaza presence in nairobi .
Kenya nje ya Nairobi ni kama kwetu tu ila ule mji upo advanced sana .
Sandton unaisifia ???ipo area nlipelekwa na jamaa fulan inaitwa muthaiga sijui muthiga na westlands, daah sandton haitoboi .
Na ndio jburg nimesafiri abt 4 times since 2019 ,south africa inshort ipo on a decline nlitarajia utasema banana island ,lagos angalau .
Jburg ipo infested na crime ,power blackouts ,na mji ule ni mchafu sana .Afadhali niishi dar hii hii ye2 ila sio ile dampo inayoitwa south africa .
SA imebaki kuwa white elephant tu


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hapa umetupiga...
Nairobi kwa sandton ni kijiji..kimsingi bado sana Nairobi kuifikia hata Durban ya south ni mtihani...kwa mji ule ni mchafu sana..

Nakubaliana na mtoa hoja Nairobi iko overrated...

Dar ikijengwa barabara za juu nyingi tu Nairobi haitakuwa kitu chochote mbele ya Dar...

Hapo chini ni sandton South Africa
1693040239115.jpg
1689083930373.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hapa umetupiga...
Nairobi kwa sandton ni kijiji..kimsingi bado sana Nairobi kuifikia hata Durban ya south ni mtihani...kwa mji ule ni mchafu sana..

Nakubaliana na mtoa hoja Nairobi iko overrated...

Dar ikijengwa barabara za juu nyingi tu Nairobi haitakuwa kitu chochote mbele ya Dar...

Hapo chini ni sandton South Africa View attachment 2742636View attachment 2742637

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wakenya hawashindwi kukuambia nchi yao iko sawa na nchi za ulaya na siku ukienda kama hujawah kuenda utakua dissapoint sana pa kawaida mno tofauti na tunavyoaminishwa
 
Back
Top Bottom