NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Uliposema Nairobi ni mbovu ulifikiria hilo? πKila sehem Ina uzuri wake na ubaya wake my dear...
Hakuna haja ya kuumiza sana ubongo...
Sisi mbona kwenye madocumentary ya wanyama tunatajwa sana [emoji1] utasikia serengeri ngoroungorou
Sure walahi.....kweli....nilienda center kabisaaa Kuna biashara nilifata sehem tatu....nilipanda matatu zao nikazunguka so nilichek chek....jamani zaidi ya Ile express sijaona kitu kikubwa sana.... although Kuna mtu nilimuuuliza akasema umeenda sehem za viwamda/magodwn....hujaona sehem za ma elites....
Mwezi WA 9 naenda tena....natamani nipate campany nizunguke maana naona kabisa was not enough......sijaona ambacho nilitakiwa kuona ...Sasa ishu kwenye business trip unabana matumizi
Ukweli ni kwamba mawazo niliyokua nayo mwanzo sikutegemea na nilivyokuta....lakini haimaanishi kwamba hakuna vitu vizuriUliposema Nairobi ni mbovu ulifikiria hilo? π
Anyway, you've given us the answer.